Sababu zinazochangia mikoa ya kusini kudumaa kimaendeleo ni hizi

Sababu zinazochangia mikoa ya kusini kudumaa kimaendeleo ni hizi

Kibosho1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
2,621
Reaction score
4,293
Hapa nazungumzia mikoa ya Lindi Mtwara na Ruvuma

Kwanza kabisa watu hawa wana utamaduni tofauti na wa mikoa mingine. Ni mikoa yenye wakosoaji wachache sana nchini,ni mikoa yenye maendeleo duni sana,ni mikoa ya mwisho mwisho kabisa.

Huwezi kusikia mbunge fulani au mwanaharakati hata wa mtandaoni akikosoa au akiiomba serikali ifanye jambo fulani ndani yao.

Hawa a utamaduni wa kujenga wala kurudi kwao kabisa. Kwa mfano watu Songea wengi wao wakishaondoka huwa hawageuki nyuma na kuangalia au kupeleka maendeleo nyumbani ni Edo Kumwembe tu ndio huwa anarudi nyumbani mwisho wa mwaka. Wengine wakipa likizo lazima wakalie Serengeti, Ngorongoro na sehemu nyingine nzuri nzuri.

Kuna rafiki yangu mmoja anatoka Lihuli anapiga mishe Dodoma lakini amekuja Dar kula bata badala ya kwenda kwao. Nilimuuliza una muda gani hujaenda kwenu anasema ana miaka mi5 na hana mpango nako. Hapamvutii.

Hata ukiangalia mwamko wa kisiasa bado uko chini sana. Wengi huamini siasa hazina faida kwa wananchi.

Kaskazini inaongoza kwa kurudi mwisho wa mwaka na kurudi huko ni kwenda kurekebisha nyumbani kwao,kutoa aibu kipindi akipata wageni. Kwenda kuona mwenzake kaja na nini ili na yeye akirudi apambane aweze kumfikia au hata kumpita.

Sio kila anaerudi anaenda kutambika na kusherehekea Krismas sababu watu wa dini zote hurudi kipindi hicho hicho.

Asanteni.
 
Tabia ya kutokurudi nyumbani, ulipozaliwa au kwa wazazi wako ni ujinga wa hali ya juu. Ni jambo la kusisitizwa kwa watu wote. Lazima uwe na makao makuu.
 
Tofauti kubwa inaweza kuonekana vijijini. Kuna tofauti kubwa ya hali ya maendeleo na umaskini katika vijiji vya mikoa ya Mbeya, Kilimanjaro na hali ya vijiji katika mikoa ya Singida na Dodoma. Tofauti ya kuonekana kabisa kwa macho.
 
Asilimia tisini ya maendeleo huchangiwa na mazingira na si utamaduni au watu walivyo.
 
Hapa nazungumzia mikoa ya Lindi Mtwara na Songea.

Kwanza kabisa watu hawa wana utamaduni tofauti na wa mikoa mingine. Ni mikoa yenye wakosoaji wachache sana nchini,ni mikoa yenye maendeleo duni sana,ni mikoa ya mwisho mwisho kabisa.

Huwezi kusikia mbunge fulani au mwanaharakati hata wa mtandaoni akikosoa au akiiomba serikali ifanye jambo fulani ndani yao.

Hawa a utamaduni wa kujenga wala kurudi kwao kabisa. Kwa mfano watu Songea wengi wao wakishaondoka huwa hawageuki nyuma na kuangalia au kupeleka maendeleo nyumbani ni Edo Kumwembe tu ndio huwa anarudi nyumbani mwisho wa mwaka. Wengine wakipa likizo lazima wakalie Serengeti, Ngorongoro na sehemu nyingine nzuri nzuri.

Kuna rafiki yangu mmoja anatoka Lihuli anapiga mishe Dodoma lakini amekuja Dar kula bata badala ya kwenda kwao. Nilimuuliza una muda gani hujaenda kwenu anasema ana miaka mi5 na hana mpango nako. Hapamvutii.

Hata ukiangalia mwamko wa kisiasa bado uko chini sana. Wengi huamini siasa hazina faida kwa wananchi.

Kaskazini inaongoza kwa kurudi mwisho wa mwaka na kurudi huko ni kwenda kurekebisha nyumbani kwao,kutoa aibu kipindi akipata wageni. Kwenda kuona mwenzake kaja na nini ili na yeye akirudi apambane aweze kumfikia au hata kumpita.

Sio kila anaerudi anaenda kutambika na kusherehekea Krismas sababu watu wa dini zote hurudi kipindi hicho hicho.

Asanteni.
Mkoa unaitwa Ruvuma, sio songea
 
Mbona sijaona sababu zaidi ya personal attacks na kaskazini kurudi nyumbani.

Au kuna mtu kaona sababu.

Sababu kuu na ya msingi ni CCM
 
hapana huo ni mtazamo wako matatizo ya kusini ni haya 4
(1) hakuna viwanda
(2) elimu -elimu ya juu vyou unavihisababu yaan kama bahati mbaya kuwepo
(3) mzunguko wa pesa ni mdogo kwa kipindi cha miezi 10 kwa mwaka mzunguko wa pesa kuwa mkubwa ni kipindi cha mavuno kwa miezi 2 kwa mwaka mahindi ,ufuta na korosho
(4) vijana ni wavivu sio wabunifu kuna maardhi makubwa yenye rutaba lakini awataki kulima zao lolote la biashara wao wanalingalia ni zao moja la ufuta na kama akili ufuta akapata pesa basi ananunua boda boda msimu ujao halimi
 
Kabisa.Jamani nimekaa Songea mjini kwa miaka 10,utakuta wageni ndo wamiliki wa biashara kama maduka nk lakini huwezi ona mngoni ana jumba la maana hapana,wanapenda starehe sana
hapana huo ni mtazamo wako matatizo ya kusini ni haya 4
(1) hakuna viwanda
(2) elimu -elimu ya juu vyou unavihisababu yaan kama bahati mbaya kuwepo
(3) mzunguko wa pesa ni mdogo kwa kipindi cha miezi 10 kwa mwaka mzunguko wa pesa kuwa mkubwa ni kipindi cha mavuno kwa miezi 2 kwa mwaka mahindi ,ufuta na korosho
(4) vijana ni wavivu sio wabunifu kuna maardhi makubwa yenye rutaba lakini awataki kulima zao lolote la biashara wao wanalingalia ni zao moja la ufuta na kama akili ufuta akapata pesa basi ananunua boda boda msimu ujao halimi
 
mkataa kwao ni mtumwa siku zote

Kuna matatizo yamerithishwa huko sio bure
 
Back
Top Bottom