Sababu zinazofanya Waislam Gaza wasikate tamaa

Sababu zinazofanya Waislam Gaza wasikate tamaa

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Watu wanajiuliza kwanini mwaka wa 50 mataifa yenye nguvu duniani wanaipiga Palestina lakini bado vidume vipo pale pale na wanasubiri NATO na Israel waingie kwa miguu wateketee. Ingalikuwa nchi nyengine kama sio waislam wote wangalikuwa washakimbia na washahama kabisa kila kitu Chao.

Tunaona Rais wa Ukrain anavyohangaika duniani kulia na kuomba misaada ya kijeshi kila sehemu. Tunaona NATO yote ipo Ukrain na bado Rais wao anawasiwasi.

Tofauti na Palestina wametulia wanasubiri wiki ya 6 hii waingie kwa miguu wawashe.

Kwanini Gaza bado jamaa wapo fiti;

1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

2. Kuna jeshi kubwa nyuma ambalo Isreal na NATO wanaliona kinyume na matarajio yao.

3. Dua za waislam duniani zinawatia hofu kabisa.

Hivi vita mwisho mbaya kwa Letanyahu, inasemekana amepooza mikono.
 
Watu wanajiuliza kwanini mwaka wa 50 mataifa yenye nguvu duniani wanaipiga Palestina lakini bado vidume vipo pale pale na wanasubiri NATO na Israel waingie kwa miguu wateketee. Ingalikuwa nchi nyengine kama sio waislam wote wangalikuwa washakimbia na washahama kabisa kila kitu Chao.

Tunaona Rais wa Ukrain anavyohangaika duniani kulia na kuomba misaada ya kijeshi kila sehemu. Tunaona NATO yote ipo Ukrain na bado Rais wao anawasiwasi.

Tofauti na Palestina wametulia wanasubiri wiki ya 6 hii waingie kwa miguu wawashe.

Kwanini Gaza bado jamaa wapo fiti;

1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

2. Kuna jeshi kubwa nyuma ambalo Isreal na NATO wanaliona kinyume na matarajio yao.

3. Dua za waislam duniani zinawatia hofu kabisa.

Hivi vita mwisho mbaya kwa Letanyahu, inasemekana amepooza mikono.
Ukatibiwe Malaria 2
 
Watu wanajiuliza kwanini mwaka wa 50 mataifa yenye nguvu duniani wanaipiga Palestina lakini bado vidume vipo pale pale na wanasubiri NATO na Israel waingie kwa miguu wateketee. Ingalikuwa nchi nyengine kama sio waislam wote wangalikuwa washakimbia na washahama kabisa kila kitu Chao.

Tunaona Rais wa Ukrain anavyohangaika duniani kulia na kuomba misaada ya kijeshi kila sehemu. Tunaona NATO yote ipo Ukrain na bado Rais wao anawasiwasi.

Tofauti na Palestina wametulia wanasubiri wiki ya 6 hii waingie kwa miguu wawashe.

Kwanini Gaza bado jamaa wapo fiti;

1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

2. Kuna jeshi kubwa nyuma ambalo Isreal na NATO wanaliona kinyume na matarajio yao.

3. Dua za waislam duniani zinawatia hofu kabisa.

Hivi vita mwisho mbaya kwa Letanyahu, inasemekana amepooza mikono.
Hizi stori mnazodanganyana redio Imani na vijiwe vya kahawa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Watu wanajiuliza kwanini mwaka wa 50 mataifa yenye nguvu duniani wanaipiga Palestina lakini bado vidume vipo pale pale na wanasubiri NATO na Israel waingie kwa miguu wateketee. Ingalikuwa nchi nyengine kama sio waislam wote wangalikuwa washakimbia na washahama kabisa kila kitu Chao.

Tunaona Rais wa Ukrain anavyohangaika duniani kulia na kuomba misaada ya kijeshi kila sehemu. Tunaona NATO yote ipo Ukrain na bado Rais wao anawasiwasi.

Tofauti na Palestina wametulia wanasubiri wiki ya 6 hii waingie kwa miguu wawashe.

Kwanini Gaza bado jamaa wapo fiti;

1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

2. Kuna jeshi kubwa nyuma ambalo Isreal na NATO wanaliona kinyume na matarajio yao.

3. Dua za waislam duniani zinawatia hofu kabisa.

Hivi vita mwisho mbaya kwa Letanyahu, inasemekana amepooza mikono.
Kitu kikubwa ambacho kinawafanya wapalestina wasikate tamaa ni kwamba wametabiriwa ushindi na hicho ndicho kitu pekee ambacho kinawafanya waendelee kupigania ardhi yao ambayo wazayuni wanataka kuwahamisha kwa kisingizio cha wao kurudi kwenye ardhi yao ya ahadi.
 
1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

Hapo ungemalizia tu anapewa bikira 72 za motomoto
Hii ni mojawapo ya ahadi ya hovyo toka kwa allah.
Haha kuni siku ya siku
 
Watu wanajiuliza kwanini mwaka wa 50 mataifa yenye nguvu duniani wanaipiga Palestina lakini bado vidume vipo pale pale na wanasubiri NATO na Israel waingie kwa miguu wateketee. Ingalikuwa nchi nyengine kama sio waislam wote wangalikuwa washakimbia na washahama kabisa kila kitu Chao.

Tunaona Rais wa Ukrain anavyohangaika duniani kulia na kuomba misaada ya kijeshi kila sehemu. Tunaona NATO yote ipo Ukrain na bado Rais wao anawasiwasi.

Tofauti na Palestina wametulia wanasubiri wiki ya 6 hii waingie kwa miguu wawashe.

Kwanini Gaza bado jamaa wapo fiti;

1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

2. Kuna jeshi kubwa nyuma ambalo Isreal na NATO wanaliona kinyume na matarajio yao.

3. Dua za waislam duniani zinawatia hofu kabisa.

Hivi vita mwisho mbaya kwa Letanyahu, inasemekana amepooza mikono.
Acha bangi basi..
Nchi za Afrika zisizo na hiyo dini yako walipigania vipi uhuru?!
 
Hakuna cha dini wala nini, Palestinian wapo wakristo pia..
Wanapigana sababu wao wanaona pale ndio kwenye ardhi yao, wataenda wapi?
Leo tuanze kuwatimua wangoni warudi kwao sauzi, au wamasai waende huko kwenye jamii zao, huo ni mtiti.
Hii ndio changamoto, lile eneo kila mtu anaona ni kwake kiasili.
 
1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

Hapo ungemalizia tu anapewa bikira 72 za motomoto
Hii ni mojawapo ya ahadi ya hovyo toka kwa allah.
Marehemu Mtume Muhhamad kwenye hiyo Aya alizingua mnoo,,alileta mazoea ya kiboya mnoo na Baba Muumba Wa Mbingu na nchi,,""Allah""!!
 
1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

Hapo ungemalizia tu anapewa bikira 72 za motomoto
Hii ni mojawapo ya ahadi ya hovyo toka kwa allah.
Sasa huko peponi au kuzimu?
 
Back
Top Bottom