Sababu zinazofanya Waislam Gaza wasikate tamaa

Sababu zinazofanya Waislam Gaza wasikate tamaa

Watu wanaandika lkn akili sijui hua zimehama au ni ulevi wa dini tu ambao tunaambiwa ni mbaya kushinda wa pombe.

Huelewi kwamba miongoni mwa wapalestina kuna wakristo karibu asilimia 20 ambapo ukiwatafuta wasomi kabisa wa kipalestina ndio unakowapata na wengi wao ndio wale mnaowaona wakiandamana katika nchi za magharibi na wao mabikra 72 wale hawawahusu kabisa.

Wao wanaandamana huko kwa amani na wala huwezi kuwaona wakifanya fujo kwa sababu wanaamini ni kinyume na mafundisho ya dini yao ila wanataka waishi tu sambamba na waisrael na huko mashariki ya kati wengi wao wanafanya kazi nchini Israel.
 
Kitu wanachokitaka masuhuyuni ni hakiwezekani kutendeka kwa urahisi, kwani ingekuwa rahisi kwa nguvu alizokuwa nazo myahudi ni rahisi sana kuwasambaratisha wale vijana pale Gaza ndani ya dakika chache tu, pamoja kuwa na support ya wamarekani na wazungu wote. Lakini haya mambo lazima yatendeke kutokana na maandiko.
 
Watu wanajiuliza kwanini mwaka wa 50 mataifa yenye nguvu duniani wanaipiga Palestina lakini bado vidume vipo pale pale na wanasubiri NATO na Israel waingie kwa miguu wateketee. Ingalikuwa nchi nyengine kama sio waislam wote wangalikuwa washakimbia na washahama kabisa kila kitu Chao.

Tunaona Rais wa Ukrain anavyohangaika duniani kulia na kuomba misaada ya kijeshi kila sehemu. Tunaona NATO yote ipo Ukrain na bado Rais wao anawasiwasi.

Tofauti na Palestina wametulia wanasubiri wiki ya 6 hii waingie kwa miguu wawashe.

Kwanini Gaza bado jamaa wapo fiti;

1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

2. Kuna jeshi kubwa nyuma ambalo Isreal na NATO wanaliona kinyume na matarajio yao.

3. Dua za waislam duniani zinawatia hofu kabisa.

Hivi vita mwisho mbaya kwa Letanyahu, inasemekana amepooza mikono.
Umri wako tafadhali
 
Watu wanajiuliza kwanini mwaka wa 50 mataifa yenye nguvu duniani wanaipiga Palestina lakini bado vidume vipo pale pale na wanasubiri NATO na Israel waingie kwa miguu wateketee. Ingalikuwa nchi nyengine kama sio waislam wote wangalikuwa washakimbia na washahama kabisa kila kitu Chao.

Tunaona Rais wa Ukrain anavyohangaika duniani kulia na kuomba misaada ya kijeshi kila sehemu. Tunaona NATO yote ipo Ukrain na bado Rais wao anawasiwasi.

Tofauti na Palestina wametulia wanasubiri wiki ya 6 hii waingie kwa miguu wawashe.

Kwanini Gaza bado jamaa wapo fiti;

1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

2. Kuna jeshi kubwa nyuma ambalo Isreal na NATO wanaliona kinyume na matarajio yao.

3. Dua za waislam duniani zinawatia hofu kabisa.

Hivi vita mwisho mbaya kwa Letanyahu, inasemekana amepooza mikono.
Upuuzi Mtupu huyo Mungu wao hafanyi kazi Watapigwa mpaka mwisho wa Dunia. Vita ni fitina, mipango, Mchakato mkali siyo Dua huyo Mungu wao hafanyi kazi .
 
Upuuzi Mtupu huyo Mungu wao hafanyi kazi Watapigwa mpaka mwisho wa Dunia. Vita ni fitina, mipango, Mchakato mkali siyo Dua huyo Mungu wao hafanyi kazi .
Eti hafanyi kazi? Itakuwa robot wa mayahudi
 
Watu wanajiuliza kwanini mwaka wa 50 mataifa yenye nguvu duniani wanaipiga Palestina lakini bado vidume vipo pale pale na wanasubiri NATO na Israel waingie kwa miguu wateketee. Ingalikuwa nchi nyengine kama sio waislam wote wangalikuwa washakimbia na washahama kabisa kila kitu Chao.

Tunaona Rais wa Ukrain anavyohangaika duniani kulia na kuomba misaada ya kijeshi kila sehemu. Tunaona NATO yote ipo Ukrain na bado Rais wao anawasiwasi.

Tofauti na Palestina wametulia wanasubiri wiki ya 6 hii waingie kwa miguu wawashe.

Kwanini Gaza bado jamaa wapo fiti;

1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

2. Kuna jeshi kubwa nyuma ambalo Isreal na NATO wanaliona kinyume na matarajio yao.

3. Dua za waislam duniani zinawatia hofu kabisa.

Hivi vita mwisho mbaya kwa Letanyahu, inasemekana amepooza mikono.
Vp kuhusu umeme wetu?
 
Watu wanajiuliza kwanini mwaka wa 50 mataifa yenye nguvu duniani wanaipiga Palestina lakini bado vidume vipo pale pale na wanasubiri NATO na Israel waingie kwa miguu wateketee. Ingalikuwa nchi nyengine kama sio waislam wote wangalikuwa washakimbia na washahama kabisa kila kitu Chao.

Tunaona Rais wa Ukrain anavyohangaika duniani kulia na kuomba misaada ya kijeshi kila sehemu. Tunaona NATO yote ipo Ukrain na bado Rais wao anawasiwasi.

Tofauti na Palestina wametulia wanasubiri wiki ya 6 hii waingie kwa miguu wawashe.

Kwanini Gaza bado jamaa wapo fiti;

1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

2. Kuna jeshi kubwa nyuma ambalo Isreal na NATO wanaliona kinyume na matarajio yao.

3. Dua za waislam duniani zinawatia hofu kabisa.

Hivi vita mwisho mbaya kwa Letanyahu, inasemekana amepooza mikono.
Inaleta mshangao na kustaajabisha wamama watoto watuwazima wanalia wanahuzunika ila hawalaumu viongozi wao na hawakimbia nchi na sehemu yao ila wananyanyua mikono juu na kuomba mungu na kusema tutakufa hapa hapa kwa heshima ktk ardhi yetu tukufu
Kwa kweli nimshangao mno ama kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni
No food ,no water ,no electricity
Sisi huku mgao tu makelele yake si kidogo sasa wao no food ,no water no electricity.
Hii ni kama jahanamu kwao
Tunaombea amani kwa watu wote na maeneo yote waliotekwa warudi makwao na wanaopigwa mabomu wapate usalama peace to middle east peace to the whole world and peace to both israel and palestine and no to war and destruction mungu awape hekima wakubwa wa dunia waache kuchochea vita ila wachochee mazungumzo maeleweano na maridhiano kama imewezakan Africa kusini makaburu kuishi na wafrica nchi moja kwa amani despite historia ya nyuma basi inawezekana wapalestina na waisrael kuishi pamoja kwa amani.
 
Watu wanajiuliza kwanini mwaka wa 50 mataifa yenye nguvu duniani wanaipiga Palestina lakini bado vidume vipo pale pale na wanasubiri NATO na Israel waingie kwa miguu wateketee. Ingalikuwa nchi nyengine kama sio waislam wote wangalikuwa washakimbia na washahama kabisa kila kitu Chao.

Tunaona Rais wa Ukrain anavyohangaika duniani kulia na kuomba misaada ya kijeshi kila sehemu. Tunaona NATO yote ipo Ukrain na bado Rais wao anawasiwasi.

Tofauti na Palestina wametulia wanasubiri wiki ya 6 hii waingie kwa miguu wawashe.

Kwanini Gaza bado jamaa wapo fiti;

1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

2. Kuna jeshi kubwa nyuma ambalo Isreal na NATO wanaliona kinyume na matarajio yao.

3. Dua za waislam duniani zinawatia hofu kabisa.

Hivi vita mwisho mbaya kwa Letanyahu, inasemekana amepooza mikono.
watu wanataka kuondoka ila Hamas wanazuia , HAMAS ni kundi dhaifu kwanini wao wanajificha kwenye mahandaki wanaacha raia juu...... HAMAS ni kundi la kuondolewa hapa Palestina , ni kundi dhaifu, kama Hamas wana mungu wanamtegemea basi mungu wao ni dhaifu sana, anashindwa kujipigania wanaacha raia wanapigika sana huu ni ukweli naongea .... kwamba tunaona kwa Vitendo kuwa Palestina inachakaa wao wapo chini kwenye mahandaki wamejificha , halafu unadanganya watu kuhusu NATO hivi unaijua NATO vizuri wewe?

PALESTINA inahitaji jeshi na serikali inayo jielewa ili kuweka kupata uhuru, HAMAS waondolewe hapa kwa ajili ya uhuru wa Pestina , kwanini watoto wafe sababu yao? hawahitajiki hawa wahuni tu,,,,,,hamna AKILI kubwa , Hamas wanadhibitisha kwamba mungu wao ni dhaifu kuliko wa ISRAEL angalia game live kwa Vitendo ,,,ukiachana na SIASA za DINI

uonezi wa Israel kwa Wapalestina hauta Isha kwa kupitia Hamas.......HAMAS will never bring peace to Palestine NEVER

HAMAS will never set PALESTINE FREE ....
 
Watu wanajiuliza kwanini mwaka wa 50 mataifa yenye nguvu duniani wanaipiga Palestina lakini bado vidume vipo pale pale na wanasubiri NATO na Israel waingie kwa miguu wateketee. Ingalikuwa nchi nyengine kama sio waislam wote wangalikuwa washakimbia na washahama kabisa kila kitu Chao.

Tunaona Rais wa Ukrain anavyohangaika duniani kulia na kuomba misaada ya kijeshi kila sehemu. Tunaona NATO yote ipo Ukrain na bado Rais wao anawasiwasi.

Tofauti na Palestina wametulia wanasubiri wiki ya 6 hii waingie kwa miguu wawashe.

Kwanini Gaza bado jamaa wapo fiti;

1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

2. Kuna jeshi kubwa nyuma ambalo Isreal na NATO wanaliona kinyume na matarajio yao.

3. Dua za waislam duniani zinawatia hofu kabisa.

Hivi vita mwisho mbaya kwa Letanyahu, inasemekana amepooza mikono.
hv kichwan upo timamu ? uv unafananisha nguvu ya Urusi na Israel ? wapalestina wangekuwa wamefutwa dunian mpk ss , Urusi kageuza mavumbi miji sio mitaa kama hiyo Gaza ila Waukraine bado wanafanikiwa kumrudisha nyuma taifa imara namba 2 dunian kijeshi , Hao kipigo kdg cha Idf wanapost pcha mitandaon PRAY FOR PALESTINA
 
Sababu kubwa lile ni eneo lao, ardhi yao, Taifa lao kwingine kote utakapo wapeleka watakuwa wakimbizi hivyo hawana chaguo. Wanapigana vitadhidi ya mataifa makubwa kwa muda wa miaka 75 na maeneo yao mengi kutekwa ila hawana namna

sio dini , dua wala nini
ilikuwaje mpk wakafikia huko kama sio ujinga wao ? walikuwa na eneo kubwa ila wao wakataman kaeneo kadogo ka Israel leo hii wao wanakaeneo kadogo hlf wenzao wana kaeneo kakubwa , kuwaonesha upumbav wao Israel katia fensi wabakie huko kudogo walipalilia mwanzon wapumbav hao
 
Watu wanajiuliza kwanini mwaka wa 50 mataifa yenye nguvu duniani wanaipiga Palestina lakini bado vidume vipo pale pale na wanasubiri NATO na Israel waingie kwa miguu wateketee. Ingalikuwa nchi nyengine kama sio waislam wote wangalikuwa washakimbia na washahama kabisa kila kitu Chao.

Tunaona Rais wa Ukrain anavyohangaika duniani kulia na kuomba misaada ya kijeshi kila sehemu. Tunaona NATO yote ipo Ukrain na bado Rais wao anawasiwasi.

Tofauti na Palestina wametulia wanasubiri wiki ya 6 hii waingie kwa miguu wawashe.

Kwanini Gaza bado jamaa wapo fiti;

1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

2. Kuna jeshi kubwa nyuma ambalo Isreal na NATO wanaliona kinyume na matarajio yao.

3. Dua za waislam duniani zinawatia hofu kabisa.

Hivi vita mwisho mbaya kwa Letanyahu, inasemekana amepooza mikono.
Umeandika kwa kujidaaaaii wakati jamaa zako wanalia huko.Unajitwika matumaini mfu!🤔
 
Hakuna cha dini wala nini, Palestinian wapo wakristo pia..
Wanapigana sababu wao wanaona pale ndio kwenye ardhi yao, wataenda wapi?
Leo tuanze kuwatimua wangoni warudi kwao sauzi, au wamasai waende huko kwenye jamii zao, huo ni mtiti.
Hii ndio changamoto, lile eneo kila mtu anaona ni kwake kiasili.
wakorofi ni wapalestina , vita vya wapalestina na waarabu ni kuwaondoa waisrael sijui wao wana taka israrl ikaishi wap ? na mara zote wanaanzisha vamizi ili kuiondoa Israel hapo
 
Watu wanaandika lkn akili sijui hua zimehama au ni ulevi wa dini tu ambao tunaambiwa ni mbaya kushinda wa pombe.

Huelewi kwamba miongoni mwa wapalestina kuna wakristo karibu asilimia 20 ambapo ukiwatafuta wasomi kabisa wa kipalestina ndio unakowapata na wengi wao ndio wale mnaowaona wakiandamana katika nchi za magharibi na wao mabikra 72 wale hawawahusu kabisa.

Wao wanaandamana huko kwa amani na wala huwezi kuwaona wakifanya fujo kwa sababu wanaamini ni kinyume na mafundisho ya dini yao ila wanataka waishi tu sambamba na waisrael na huko mashariki ya kati wengi wao wanafanya kazi nchini Israel.
wapalestina ndo hawataki kuish na waisrael ila waisrael wapo tyr tangu day one
 
Watu wanajiuliza kwanini mwaka wa 50 mataifa yenye nguvu duniani wanaipiga Palestina lakini bado vidume vipo pale pale na wanasubiri NATO na Israel waingie kwa miguu wateketee. Ingalikuwa nchi nyengine kama sio waislam wote wangalikuwa washakimbia na washahama kabisa kila kitu Chao.

Tunaona Rais wa Ukrain anavyohangaika duniani kulia na kuomba misaada ya kijeshi kila sehemu. Tunaona NATO yote ipo Ukrain na bado Rais wao anawasiwasi.

Tofauti na Palestina wametulia wanasubiri wiki ya 6 hii waingie kwa miguu wawashe.

Kwanini Gaza bado jamaa wapo fiti;

1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

2. Kuna jeshi kubwa nyuma ambalo Isreal na NATO wanaliona kinyume na matarajio yao.

3. Dua za waislam duniani zinawatia hofu kabisa.

Hivi vita mwisho mbaya kwa Letanyahu, inasemekana amepooza mikono.
Ujinga ni mzigo aise, kila sehemu anasubiriwa NATO aingie duh, Tanzania ni ngumu kupata maendeleo kwa elimu na fikra za vijana hawa ni shida sana

Nimeamini ni kwanini Samia anataka elimu kwanza ya katiba itolewe kwa miaka mitatu aise, Tanzania kuna ombwe la ujinga!!
 
Back
Top Bottom