Sababu zinazofanya Waislam Gaza wasikate tamaa

Sababu zinazofanya Waislam Gaza wasikate tamaa

Sasa huko peponi au kuzimu?
Yaani nipigane mpaka nife alafu allah ananimbia atanipa mademu wa kiarabu wenye macho makubwa ya ulegevu
allah angekuwa karibu yangu ningemkata kibao ni mwambie acha uduwanzi.
 
Watu wanajiuliza kwanini mwaka wa 50 mataifa yenye nguvu duniani wanaipiga Palestina lakini bado vidume vipo pale pale na wanasubiri NATO na Israel waingie kwa miguu wateketee. Ingalikuwa nchi nyengine kama sio waislam wote wangalikuwa washakimbia na washahama kabisa kila kitu Chao.

Tunaona Rais wa Ukrain anavyohangaika duniani kulia na kuomba misaada ya kijeshi kila sehemu. Tunaona NATO yote ipo Ukrain na bado Rais wao anawasiwasi.

Tofauti na Palestina wametulia wanasubiri wiki ya 6 hii waingie kwa miguu wawashe.

Kwanini Gaza bado jamaa wapo fiti;

1. Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

2. Kuna jeshi kubwa nyuma ambalo Isreal na NATO wanaliona kinyume na matarajio yao.

3. Dua za waislam duniani zinawatia hofu kabisa.

Hivi vita mwisho mbaya kwa Letanyahu, inasemekana amepooza mikono.
Naomba Google tu kuna wapalestina milioni 25 nje ya Gaza hao ni mara 10 ya waliopo Gaza, pili wanapigwa sana na kuuliwa mno kwa sababu ya ujinga mkubwa wa kikundi kidogo kinachojiita Hamas wanaodai haki yao kwa mtutu. mtutu unatakiwa ujipime je unaweza kustahimili? Safari hii watauliwa zaidi ya elfu 50 taratibu taratibu na nadhani zaidi ya elfu 10 wapo knye vifusi raia wasio na hatia kabisa kisa wajinga Hamas tu
 
Watu wanaandika lkn akili sijui hua zimehama au ni ulevi wa dini tu ambao tunaambiwa ni mbaya kushinda wa pombe.

Huelewi kwamba miongoni mwa wapalestina kuna wakristo karibu asilimia 20 ambapo ukiwatafuta wasomi kabisa wa kipalestina ndio unakowapata na wengi wao ndio wale mnaowaona wakiandamana katika nchi za magharibi na wao mabikra 72 wale hawawahusu kabisa.

Wao wanaandamana huko kwa amani na wala huwezi kuwaona wakifanya fujo kwa sababu wanaamini ni kinyume na mafundisho ya dini yao ila wanataka waishi tu sambamba na waisrael na huko mashariki ya kati wengi wao wanafanya kazi nchini Israel.
Kudai haki kwa kufanya Ugaidi ni ujinga kwa sababu unaua ndugu zako wasio na hatia revenge inapoanza na Israel anafanya makusudi sana kuwapunguza nguvu ya kiuchumi , kapata sababu sasahivi ya kuwaonea kwa miaka zaidi ya 40 tena
 
Muislam akiuliwa anapigania nchi yake anaingia peponi anaongia peponi.

2. Kuna jeshi kubwa nyuma ambalo Isreal na NATO wanaliona kinyume na matarajio yao.
Hivi ni mbingu gani hii inasemwa na hawa ndugu ?
Nahisi ni sehe,mu tofauti kabisa na mbinguni
 
wakorofi ni wapalestina , vita vya wapalestina na waarabu ni kuwaondoa waisrael sijui wao wana taka israrl ikaishi wap ? na mara zote wanaanzisha vamizi ili kuiondoa Israel hapo
Kwanini unasema wakorofi ni wapalestina!?
Je eneo alilopewa muisrael ndio hili la leo!?
Kifupi baina ya hao wawili hakuna anaemtaka mwenzie,
Israel eneo lote anataka liwe lake, na mpalestina hivyo hivyo.
Ilibidi kila mtu aishi kwenye eneo alilopewa mwaka 47.
 
Back
Top Bottom