Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aiseeeMKUU HEBU CHUKUA KIDOLE KISHA CHOVYA KWENYE ASALI KISHA LAMBA.JE KATIA YA MDOMO NA KIDOLE KIPI KIMEPATA UTAMU??!!!!UKIMALIZA NI TAG
UnknownKumekuwa na dhana kuwa wanaume ndio wanaofurahia ngono zaidi ikilinganishwa na wanawake ambao sio rahisi kufikia upeo wa raha ya kujamiiana. Aidha imebainishwa kuwa wanaume chini ya umri wa miaka 60 hufikiria kuhusu ngono mara isiyopungua moja kwa siku.
![]()
Utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha Florida State University ulibainisha kuwa wanaume wanafurahia ngono kuliko wanawake. Hii ni kwa sababu ya maumbile kuwa wanaume hawakumbwi na mawazo mengi wanaposhiriki ngono.
Kwa upande wao, wanawake hutafuta wanaume wanaoingiliana nao kihisia na mtu atakayejitwika jukumu la kuwalea watoto. Aidha, utafiti mwingine ulionyesha kuwa wanawake wengi husononeka wanaposhindwa kuwatosheleza waume wao kuliko wanaume wanaposhindwa kuwarithisha wanawake wao.
Nipe maoni yako, unadhani nini kinafanya wanaume wafurahie ngono kuliko wanawake?
daah sielew kabisa mim naona wana wake ndo wana enjoy kuliko cc sema hawana ujasil wakusema