SABATO SABATO SABATO wanafunzi 8 wa teku wafukuzwa baada ya kukaidi kufanya mtihani jumamosi!

Status
Not open for further replies.
c umeona unarudi palepale kumbuka yesu alitoa msaada kwa kuponya siku ya sabato, vivyo hvyo hata leo, umeuguliwa na ndugu au jamaa waweza kumpeleka hospitali siku ya sabato kwani co kazi bali ni msaada. hlf kaka samahani me sio boya
 
Mkuu wasabato sio wakristu!!
 

Sio mimi ila ni Paul ndiye aliyeandika.
 

Mwita maranya! Pamoja sana Mkuu! Wale wote waliokua wanauponda usabato naona kasi Yao imeanza kupungua! Moreover.I also gave them my Sabbaths, to be a Sign between them and Me, that they might know that I am the Lord who sanctifies them! Ezekiel 20:12. Kumbe sabato ni njia ya kuweza kupata utakaso wa Mungu?! Haya kazi kwenu mnaopinga huu ukweli!
 
Hahha,haya mkuu,profesa,kuona mbali inategemea ni muono upi,anaweza kuwa kweli anaona mbali,lakini swali Je ni katika direction gani???
Ha ha ha ha ha Mkuu mi sicheki kuwa ni mazuri ila huyo Profesa anaona mbali sana.
 
Mwanakwetu ushie? Mli mwinza mwendi? Uli wha whi, karibu idimi mi msafwa niwe na ugomvi na nani?

Indaga. Khaya wha whirambo. Ngoja niache kuongea hiki kijrerumani nisije nikapigwa ban! Tuko pamoja.
 
kwa nini hao wasabato wasiende kusomea uinjilisiti ili wawe wahubiri? Ya kaisari wamwachie kaisari! Hivi hao wasabato wakiugua jumamosi hawaendi hospitali? Stupid kabisa!!!!!!!

Stupid_kabisa ndugu hilo tusi naimani mungu atakuwa na kufanya juu yako. Tusirumbane.
 
Last edited by a moderator:
SABATO!! Hii ndiyo dini ya ajabu kabisa duniani na ndiyo iliwafanya Wajita kuwa wabishi, majivuno, ujuaji, kudharau dini za wenzao na zaidi ya yote kuwa masikini. Wapare wana nafuu kidoogo maana kuna dini nyingi kubwa huko Upareni kama KKKT. Wao Wapare walibaki na ubahili ingawa ubishi pia wamo. Mimi siyo Mkabila lakini ukweli hiyo Sabato ilikoanzia imewaathiri watu wengi.
 
ila we unachekesha, unajua hii nchi ina uhuru wa dini, kuwepo kwa wasabato wachache si kigezo cha kuwakandamiza imani zao. kusoma, kufanya mitihani siku ya sabato ni dhambi kwa msabato yoyote, basi na jumapili watoe hyo mitihani ili kuwe na usawa.
Huwa tunafanya sana mitihani Jumapili, na Ijumaa pia. Sijawahi sikia wanafunzi wanakataa kufanya mitihani Jumapili sababu ni siku ya Bwana.
hawa Wasabato ndo zao kwenye vyuo vingi tu..... wanajidai wao ndo Wakristu kuliko Yesu Mwenyewe. Yesu alifanya kazi siku ya Sabato na hakuhesabiwa kuwa ni dhambi, sembuse wao.
 
ila we unachekesha, unajua hii nchi ina uhuru wa dini, kuwepo kwa wasabato wachache si kigezo cha kuwakandamiza imani zao. kusoma, kufanya mitihani siku ya sabato ni dhambi kwa msabato yoyote, basi na jumapili watoe hyo mitihani ili kuwe na usawa.

I second you.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…