Keen
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 617
- 170
Na wakifukuzwa pia jibu lipo; kusoma chuo haukuwa mpango wa bwana au bwana ana kusudio lake na litatimia!!!!!
Imeandikwa, ...mshike sana elimu maana wengi wataangamia kwa kukosa maarifa. Hakika mtihani watafanya na wataendelea na chuo kwani ndio mpango wa Bwana, fuatilia.