Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 14,809
- 11,825
Yesu mwenyewe alijiita yeye ndie Bwana wa Sabato. Tena akaivunja Sabato na akasema 'Nahitaji Rehema'.
Weka ushahidi wewe Pimbi.... msiwe wapotoshaji kwenye maswala ambayo yanaweza kuwacost maisha ya watu wengi... Alisema sikuja kuivunja torati wala kuitengua....