Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Jibu hoja wewe, no 666 ndiyo nini? Unatafuta nini vyuoni si ukae kanisani uhubiri injili?
Ni alama ya mnyama!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu hoja wewe, no 666 ndiyo nini? Unatafuta nini vyuoni si ukae kanisani uhubiri injili?
Hapa hakuna masalia ndugu.Pia naomba uthibitishe ni jinsi gani tunayakanyaga maandiko.Kumbe kutii sheria za Mungu ni upotofu!
Someni wakolosai 2:16,17 msihukumiane na mambo ya sabato si kitu.hosea 2:11
Taratibu Mkuu tutawekana sawa tu! Mathayo 12:1-14 ukiisoma utaona kisa cha Mfalme Daudi na Yesu anasema nini juu ya Hilo! Na ukisoma ule mstari wa12. Yesu anasema Ivi, " Of how much more value then is a man than a sheep? Therefore it is lawful to do good on the sabbath" Haya Ndio Yesu aliyowambia mafarisayo! Sasa uvunjifu wa sabato uko wapi hapa kwa yesu na wanafunzi wake? Au moyo wangu ni mgumu nishindwe kuelewa hili? Na biblia Yangu haisemi Yesu alivunja sabato! Ila ukisoma Mathayo 12:10 biblia Yangu inaniambia hao mafarisayo ndo Walikua wanatafuta kosa la kumshitaki kuotokana na uponyaji katika siku ya sabato na Sio kufanya kazi Kama kazi!
Masalia acheni kuwa na infiriorty complex....Unajua mother house Hellen G White kawapotosha sana....Sasa hapa tunajaribu kuwarudisha kwenye mstari....
tuachieni dini yetu...Muogopeni Mungu...kutoka 20.8 ikumbuke siku ya sabato,diku sita fanya kazi ......." hiyo ya yakaisari mpe kaisari ni kwenye mambo ambayo haitakuzuiwa wewe ussitunze sabato takatifu ya Bwana Mungu mfano unatoa sadaka kanisani lakini ni lazima ulipe kodi pia kwa serikali..ndo hapo ya kaisari unampa kaisari...Pambano kuu linaendelea Mungu awe upande wetu.... Mwenye haki ataishi kwa imani...Mungu awabariki wote
Mungu kasema heshimu ikila mamlaka iliyoko duniani maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu. lakin pia akasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, na akasema mshike sana elimu wala usimwache sasa ukiunga mistari hii ni dhahiri kwamba utajua hawa walikosa maarifa tu.
kugomea mtihani hakukuwa sahihi ila walitakiwa wafanye huku wakimshirikisha Mungu awape break through juu ya siku yao ya ibada. mbona Mungu huwa hasemi uongo asemapo njoon tusemezane haja zenu zijulikane kwangu alimaanisha shida kama hizi ndizo tumpelekee na wala tusiamue kwa akili zetu.
ni hatari sana kuchanganya mambo ya Mungu (ya rohoni) na mambo ya mwilini. ukiamua kimwili kimwili haya ndiyo matokeo.
Kwa nini hao wasabato wasiende kusomea uinjilisiti ili wawe wahubiri? Ya Kaisari wamwachie Kaisari! Hivi hao wasabato wakiugua jumamosi hawaendi hospitali? Stupid kabisa!!!!!!!
Swala la kutenda mema juu ya Sabato limejulikana baada ya kusema au hata kipindi kile wakati Torati ndo inaletwa?
Unasoma Biblia kwa kubeep Nina hakika wewe ukisoma Biblia yote utajutia kwanini hukuisoma mapema katika maisha yako.... wewe endelea kusoma katesimu sijui kitu gani kile mkimaliza mnaenda kugonga bia na nguluwe mnyama asiyejichwa na najisiSABATO ILIFUTWA YESU ALIPOKUFA NDO SABABU LEO HAKUNA MTU ANAYESHIKA SABATO.KAMA YUPO NI MNAFIKI.soma kutoka 16:29 Mtu yeyote asitoke mahal pake siku ya sabato..kutoka 35:3 msiwashe moto siku ya sabato.leo wasabato wanabeba viti na kwenda navyo km 3 kanisan.wanapika.unafiki huo wa mafarisayo.matendo 16:10,11
Kwani Yesu aliwachanaje live?
Coments za kuponda hawa jamaa waliofukuzwa hazileti sense kwasababu hiki ni kitu cha kiimani, na hawakufanya mitihan kwa kua imani yao haiwaruhusu, someni maana ya sabato kwanza kabla ya kuanza kuponda, it may seem stupid kwenu kwa kitendo chao lakin kina great impact spiritualy, Mambo ya imani hua yanaonekana ya ajabu in naked eyes, kwa mfano wakati wa Nuhu alijenga safina wakati mvua ilikua haijawahi kunyesha hata siku moja, watu walimuona Nuhu chizi lakini siku mvua iliponyesha ndo walipomkumbuka, Watume waliuliwa kwa ajili ya kutetea walichokiamini.Dont judge imani ya mtu, Believe whatever you want to believe but don't insult imani ya mtu
Aleyn twende na kitu kimoja kimoja! Nilichokua nataka kuweka sawa ni kua Yesu hakuvunja sabato wala hakufanya kazi Kama kazi! Ila alifanya mema siku ya Sabato!
Walichokosea ni kuenda kusoma kwenye taasisi za shetani.... Sunday keepers wote ni watu walichini ya Mfumo wa Mungu jua...na mfumo huu unalindwa kwa nguvu za Shetani
Acha ujinga wewe nani alikuambia jumamosi siyo siku ya kazi? Hivi watu wote wakiamua kupumzika siku ya jumamosi nchi itakalika kweli? Tuseme polisi, majeshi yote, hosptali, sokoni, maduka yote yafungwe, kampuni za simu zisifanye kazi hali itakuwaje? Hivi nyie wasabato mna matatizo gani? Au ndiyo maana wenzenu walitaka kuozea pale JKNIA wakidai kutaka kusafiri bila pasi wala visa!!?
Inaelekea wewe si msomaji wa Biblia ehhh!!!! Yesu alikuwa anawapa makavu live, mpaka mkaamua kumtengenezea njama ya kumuua...
Tafhadhari naomba kujua dhehebu lako kisha nikuoneshe nani amepotosha kati ya ellen au mtu wako unayemuamini unaongea ovyo kwa kuwa unayemuamini kakuruhusu kula Nguluwe na ukila shetani anachekela kuwa upo upande wake
hii imekaaje wakuu, katiba iliyopo inazungumziaje issue hii!