Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Huyo Sabaya ahenyeshwe hadi ajambe cheche tumechoka kuona nchi imejaa wahuni kila ofisi za umma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukatili gani anafanyiwa huyo jambazi?Hiyo kesi imefutwa.
Hakuna kitu kama hicho.
Kafungue tuone kama utakuja na ushahidi wowote.
Kesi za kubumba tu. Ila ni jambo la kikatili mno wanalolifanya.
Kwa bahati mbaya huwa mnakuja na allegations tu without any kind of evidenceHaya unayoona ni mabaya kwa Sabaya ndio njia aliyopitisha watu wengi ili kumfurahisha Magufuli. Tunajua ataachiwa huru pamoja na unyama wote aliofanyia watu, lakini iko siku hiyo jinai yake na wengine wote itafanyiwa kazi. Kwasasa bado ni warmup maana serikali ya CCM inayolinda wakatili bado iko madarakani.
Mkuu kuna kesi ya mauaji hapo? Au kuna kesi alishtakiwa kwa utesaji na akakutwa na hatia? Kimsingi pale hamna kesi ila wanachokitaka ni kumuondolea sifa asije kutumikia utumishi wa umma! Hicho ndo wanakitaka na ndiyo maana unaona wale wengine wamekiri na kuachiwa huru kwa Tsh 1,050,000/= unafikiri Sabaya anashindwa kukiri naye akaachiwa? Nop hashindwi ila kuna kitu anakilinda, ana ndoto nacho na ndiyo maana anakomaa ila kimsingi pale hamna kesi maana kesi ni kumpekua mtu bila utaratibu!usimuhurumie haya ndio malipo yake kwa kutesa na kuua wengine!!!
Kama huna muda wa kufungua kesi kaa kimya usiongee tena.Ukatili gani anafanyiwa huyo jambazi?
Hata kama ikifutwa uhalisia unajulikana kwa aliyoyafanya siwezi kupoteza muda kufungua kesi huyu atalipwa malipo yake kama boss wake.
Muda mfupi baada ya hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi Moshi, Salome Mshasha kuahirisha kesi inayomkabili aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na ndugu zake waliokuwepo mahakamani wameangua vilio mahakamani.
Kesi hiyo namba 2 ya mwaka 2022 imeahirishwa hadi Septemba 26 mwaka huu kwa kutokamilika kwa upelelezi.
Hata hivyo, Sabaya amefikishwa mahakamani hapo leo Septemba 12 akiwa peke yake baada ya wenzake wanne kuachiliwa huru Septemba 6 mwaka huu baada ya kukiri makosa ya uhujumu uchumi na kulipa faini.
Wenzake hao ni pamoja na Sylivester Nyegu, John Aweyo, Nathan Msuya na Antero Assey.
Baada ya kukiri makosa hayo, ambayo ni pamoja na kujitwalia madaraka isivyo halali na kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwa Alex Swai na kula njama na kumnyima na kukandamiza haki yak, mahakama iliwatia hatiani na kutoa amri ya kulipa kila mmoja faini ya Sh50,000 na fidia ya Sh1miloni kwa mwathiriwa.
Awali wakili wa upande wa mashitaka, Sabitina Mcharo, meiieleza mahakama hiyo kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na kumwomba hakimu anayesimamia kesi hiyo kupanga tarehe nyingine jambo ambalo liliwaibua mawakili wa upande wa utetezi.
"Mheshimiwa hakimu shauri hili limekuja kwa ajili ya kutajwa, upelelezi bado haujakamilika hivyo tunaomba uipangie kesi hii tarehe nyingine," aliomba wakili huyo.
Hata hivyo, wakili wa upande wa utetezi, Hellen Mahuna alisema bado wana malalamiko kuhusu kuchelewa kwa upelelezi wa kesi hiyo na kwamba mteja wao Sabaya anaendelea kuteseka.
"Nakumbuka tarehe ya mwisho kuja hapa Agosti 29, 2022, mahakama hii iliagiza upande wa mashitaka waje leo na kutoa mwafaka wamefikia wapi, lakini tumeelezwa kirahisi rahisi tuu kwamba upelelezi bado haujakamlika.
"Tunaiomba hii mahakama imtoe huyu mshitakiwa namba moja maana hatuna hati ya mashitaka ambayo ni ‘proper’ kwa sababu alichofanya DPP ni kwamba hafuati maelekezo na mshitakiwa anendelea kuteseka, tunaomba DPP afuate sheria," amesema.
Naye hakimu Mshasha amesema kupokea maelezo ya pande zote mbili na kuuagiza upande wa mashitaka kukamilisha upelelezi wa kesi hiyo ili mshtakiwa ambaye ni Sabaya apate haki yake na kamba mahakama ni chombo ambacho kinatoa haki kwa kila mtu.
Pole sana kwa kutupwa nje ya mfumo mimi nafanya kazi halali na naenjoy maisha sina muda wa kwenda kupokea orders kama mlivyokuwa mnafanya hadi akili na utu mnaweka mfukoni.Wewe ni tarumbeta ya Mbowe na hakuna anayehangaika na wewe.
Kwa bahati mbaya huwa mnakuja na allegations tu without any kind of evidence
Only hearsay.
Hakuna kukaa kimya yaani naona jambazi anatetewa nikae kimya?Kama huna muda wa kufungua kesi kaa kimya usiongee tena.
Mmepewa nafasi hiyo maamuzi yametoka kuwa zile ni sanaa tu.Ushahidi wa maovu ya Sabaya sio wa kutafuta, tungekuwa na mahakama huru kwa maana ya huru, leo hii Sabaya angekuwa jela kwa uchache sio chini ya 20yrs.
Huyo acheni aangue hata maembeMuda mfupi baada ya hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi Moshi, Salome Mshasha kuahirisha kesi inayomkabili aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na ndugu zake waliokuwepo mahakamani wameangua vilio mahakamani.
Kesi hiyo namba 2 ya mwaka 2022 imeahirishwa hadi Septemba 26 mwaka huu kwa kutokamilika kwa upelelezi.
Hata hivyo, Sabaya amefikishwa mahakamani hapo leo Septemba 12 akiwa peke yake baada ya wenzake wanne kuachiliwa huru Septemba 6 mwaka huu baada ya kukiri makosa ya uhujumu uchumi na kulipa faini.
Wenzake hao ni pamoja na Sylivester Nyegu, John Aweyo, Nathan Msuya na Antero Assey.
Baada ya kukiri makosa hayo, ambayo ni pamoja na kujitwalia madaraka isivyo halali na kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwa Alex Swai na kula njama na kumnyima na kukandamiza haki yak, mahakama iliwatia hatiani na kutoa amri ya kulipa kila mmoja faini ya Sh50,000 na fidia ya Sh1miloni kwa mwathiriwa.
Awali wakili wa upande wa mashitaka, Sabitina Mcharo, meiieleza mahakama hiyo kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na kumwomba hakimu anayesimamia kesi hiyo kupanga tarehe nyingine jambo ambalo liliwaibua mawakili wa upande wa utetezi.
"Mheshimiwa hakimu shauri hili limekuja kwa ajili ya kutajwa, upelelezi bado haujakamilika hivyo tunaomba uipangie kesi hii tarehe nyingine," aliomba wakili huyo.
Hata hivyo, wakili wa upande wa utetezi, Hellen Mahuna alisema bado wana malalamiko kuhusu kuchelewa kwa upelelezi wa kesi hiyo na kwamba mteja wao Sabaya anaendelea kuteseka.
"Nakumbuka tarehe ya mwisho kuja hapa Agosti 29, 2022, mahakama hii iliagiza upande wa mashitaka waje leo na kutoa mwafaka wamefikia wapi, lakini tumeelezwa kirahisi rahisi tuu kwamba upelelezi bado haujakamlika.
"Tunaiomba hii mahakama imtoe huyu mshitakiwa namba moja maana hatuna hati ya mashitaka ambayo ni ‘proper’ kwa sababu alichofanya DPP ni kwamba hafuati maelekezo na mshitakiwa anendelea kuteseka, tunaomba DPP afuate sheria," amesema.
Naye hakimu Mshasha amesema kupokea maelezo ya pande zote mbili na kuuagiza upande wa mashitaka kukamilisha upelelezi wa kesi hiyo ili mshtakiwa ambaye ni Sabaya apate haki yake na kamba mahakama ni chombo ambacho kinatoa haki kwa kila mtu.
Wewe ndio uwe na aibu kuzungumza mambo ambayo huna uhakika nayo ukiambiwa uthibitishe.Hakuna kukaa kimya yaani naona jambazi anatetewa nikae kimya?
You should be ashamed of yourself.
Huyu ni mbuzi wa kafara. Atatolewa mfano huku akificha maovu ya wahusika wakuu. Kutoka kwake ni bado sana.suala la muda tu, watamuachia huru.
GeMuda mfupi baada ya hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi Moshi, Salome Mshasha kuahirisha kesi inayomkabili aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na ndugu zake waliokuwepo mahakamani wameangua vilio mahakamani.
Kesi hiyo namba 2 ya mwaka 2022 imeahirishwa hadi Septemba 26 mwaka huu kwa kutokamilika kwa upelelezi.
Hata hivyo, Sabaya amefikishwa mahakamani hapo leo Septemba 12 akiwa peke yake baada ya wenzake wanne kuachiliwa huru Septemba 6 mwaka huu baada ya kukiri makosa ya uhujumu uchumi na kulipa faini.
Wenzake hao ni pamoja na Sylivester Nyegu, John Aweyo, Nathan Msuya na Antero Assey.
Baada ya kukiri makosa hayo, ambayo ni pamoja na kujitwalia madaraka isivyo halali na kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwa Alex Swai na kula njama na kumnyima na kukandamiza haki yak, mahakama iliwatia hatiani na kutoa amri ya kulipa kila mmoja faini ya Sh50,000 na fidia ya Sh1miloni kwa mwathiriwa.
Awali wakili wa upande wa mashitaka, Sabitina Mcharo, meiieleza mahakama hiyo kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na kumwomba hakimu anayesimamia kesi hiyo kupanga tarehe nyingine jambo ambalo liliwaibua mawakili wa upande wa utetezi.
"Mheshimiwa hakimu shauri hili limekuja kwa ajili ya kutajwa, upelelezi bado haujakamilika hivyo tunaomba uipangie kesi hii tarehe nyingine," aliomba wakili huyo.
Hata hivyo, wakili wa upande wa utetezi, Hellen Mahuna alisema bado wana malalamiko kuhusu kuchelewa kwa upelelezi wa kesi hiyo na kwamba mteja wao Sabaya anaendelea kuteseka.
"Nakumbuka tarehe ya mwisho kuja hapa Agosti 29, 2022, mahakama hii iliagiza upande wa mashitaka waje leo na kutoa mwafaka wamefikia wapi, lakini tumeelezwa kirahisi rahisi tuu kwamba upelelezi bado haujakamlika.
"Tunaiomba hii mahakama imtoe huyu mshitakiwa namba moja maana hatuna hati ya mashitaka ambayo ni ‘proper’ kwa sababu alichofanya DPP ni kwamba hafuati maelekezo na mshitakiwa anendelea kuteseka, tunaomba DPP afuate sheria," amesema.
Naye hakimu Mshasha amesema kupokea maelezo ya pande zote mbili na kuuagiza upande wa mashitaka kukamilisha upelelezi wa kesi hiyo ili mshtakiwa ambaye ni Sabaya apate haki yake na kamba mahakama ni chombo ambacho kinatoa haki kwa kila mtu.
General analiaje?Kosa la ujambazi wa kutumia silaha dhidi ya Bw Msangi February 2021 lililkuwa ubembelezaji?
Wewe labda mgeni humu ndio hatojua ila kiukweli poleni sana kwa kuondokewa na bosi wenu aliyekuwa anatuma na kuona ukatili ni dili leo hii yuko wapi?
Ni wakati saalsa mjue zama zimebadilika nanyi mbadilike mfanye kazi halali na mtende haki.
Yeye alivyokuwa anawapigilia watu misumari kwenye ugoko wao hawakuwa wanateseka? Huyu mjinga alifanya umafia sana na siyo wa kuhurumiwa hata kidogo, ikiwezekana ahukumiwe kifungo cha maisha.Mtu anateseka namna hii kwa ajili ya kufurahisha wengine.
Haya madaraka ni ya muda tu.
Kama sio wao ni watoto au wajukuu wao. Will experience the same treatment.
Yaani haka kajambazi huna cha kukatetea kwa sisi watu wenye utu na akili timamu.Wewe ndio uwe na aibu kuzungumza mambo ambayo huna uhakika nayo ukiambiwa uthibitishe.
Bendera fuata upepo tu.
While you know nothing.
Mmepewa nafasi hiyo maamuzi yametoka kuwa zile ni sanaa tu.
Hawa watu ni wepesi kusahau.Enzi za Magu mlikuwa mnajua kuwa Madaraka ni ya muda?
Kipindi akiwa madarakani alitumia Nyenzo Gani kutesa aliowatesa? The same instrument siyo? Madaraka si milele, alijue hilo! By the way ccm ni ileile haijabadilika awe mpole na aiendee kistaarabu!Kesi ya sabaya ni ya kisiasa tu
This administration knows.
Kutumia madaraka kutesa watu.