Sabaya afikishwa Mahakamani, Mawakili wake wasema Sabaya ni mgonjwa, yaahirishwa hadi Juni 20, 2022

Sabaya afikishwa Mahakamani, Mawakili wake wasema Sabaya ni mgonjwa, yaahirishwa hadi Juni 20, 2022

Mahakama imeombwa kusikiliza kwa haraka Kesi ya mh Ole Sabaya kwa sababu mtuhumiwa huyo ni mgonjwa.

Wakili wa Ole Sabaya amesema mteja wake ana uvimbe kichwani alioupata akiwa kazini

Source ITV habari
Huo uvimbe una uhusiano gani na kazi? Kwani alikuwa akifanya kazi ya kupasua mawe kwa kutumia kichwa?

Ifahamike tu yeye ni mgonjwa! Tosha. Na pia kwa mtazamo wangu, hiyo siyo sababu ya msingi ya kusikilizwa haraka kwa hiyo kesi.

Yeye aendelee tu kuvuta subira. Haki itapatikana tu muda ukifika. Kama atakula mvua za kutosha, au atatoka kimchongo mchongo! Itafahamika tu.
 
Nijuwavyo, mshitakiwa akiugua kesi inasogezwa mbele au inaghairshwe hadi apone... Hili la kusikiliza kesi kwa mwendokasi kisa mshitakiwa mgonjwa kwangu ni jipya.. Nirekebishwe kama nimekosea
Urekebishwe na nani, pambana tu na hali yako.
 
Nijuwavyo, mshitakiwa akiugua kesi inasogezwa mbele au inaghairshwe hadi apone... Hili la kusikiliza kesi kwa mwendokasi kisa mshitakiwa mgonjwa kwangu ni jipya.. Nirekebishwe kama nimekosea
Hakuna marekebisho hapo, nikama kesi ya mbowe tu ilivyo kwenda first ili awahi juice magogoni.
 
Huo uvimbe aliupata akiwa kwenye kazi zake za ujambazi au akiwa DC hapo Hai maana alikua na kazi nyingi huyo kibaka.
Mkuu ungewahi mahakamani ukatoe ushahidi wa huo ujambaziwake ingeleta maana badala ya kutomboka humu kama njegima.
 
Mahakama imeombwa kusikiliza kwa haraka Kesi ya mh Ole Sabaya kwa sababu mtuhumiwa huyo ni mgonjwa.

Wakili wa Ole Sabaya amesema mteja wake ana uvimbe kichwani alioupata akiwa kazini

Source ITV habari
Bwashe hii iendane ba uthibitisho wa Daktari ambaye hana vinasaba vya ulegacy.
 
Mahakama imeombwa kusikiliza kwa haraka Kesi ya mh Ole Sabaya kwa sababu mtuhumiwa huyo ni mgonjwa.

Wakili wa Ole Sabaya amesema mteja wake ana uvimbe kichwani alioupata akiwa kazini

Source ITV habari
Bwashe hii iendane ba uthibitisho wa Daktari ambaye hana vinasaba vya ulegacy.
 
Wachaga wanavyojua madawa ya kishirikina, tayari washamtumia bomu, kaanza kuumwa
 
Hata mimi nashangaa,unasema Mashtaka ya kitoto wakati mwenzako analala saa 12 jioni kwa Filimbi na kuamshwa saa 12 asubuhi kwa Filimbi,lile Bata alilozoea kulila pale Arusha kwenye mahoteli na maeneo mbalimbali ya starehe halipo tena halafu wewe unasema Mashtaka ya kitoto,akili zako zipo matakoni
Kuna watu ukifikiria akili zao haziko tofauti na za Sabaya.

Eti mashtaka ya kitoto. Hawa watu hata hawajali uhuru wa mtu. Na hawajali hata uhuru kwa bosi wao wa zamani. Ni watu wa ajabu sana
 
Back
Top Bottom