Sabaya akithibitisha Mahakamani kuwa Mbowe na genge lake walitaka kumuua itakuwaje?

Mwambie akuonyeshe RB ya polisi Kama alienda kutoa taarifa ya kutaka kuuawa na Mbowe,

Mwambie mume wako ameçhelewa asubili kunywa debe.
 
Note. Sabaya na Sirro ni mashahidi upande wa Mbowe si Jamhuri na Kibatala ndiye aliyeomba wawepo siyo Jamhuri.
 

Yaani itakuwa nchi ya ajabu kama mtu kama sabaya ambaye ni mtuhumiwa wa kutesa watu na kuiba pesa za watu eti ndiyo awe shahidi wa serikali! itakuwa kazi rahisi sana kwa watetezi
 
Note. Sabaya na Sirro ni mashahidi upande wa Mbowe si Jamhuri na Kibatala ndiye aliyeomba wawepo siyo Jamhuri.
So akijakuthibitisha madai ya kutaka kuuliwa na jamaa zako?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],beberu limeona hana dili tena,.Hana miaka 2,lazima arudi tz,maana maisha yatakuwa magumu
Keshaanza kujipendekeza eti kesi ya mbowe Ni nyepesi Kama pamba, anataka aseme anakuja kumtoa Mbowe kumbe anarudi mazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…