Sabaya alitia chumvi kwenye Engine gari la Mbowe

Sabaya alitia chumvi kwenye Engine gari la Mbowe

Mme kasahau ka Patrobas Katambi kalivyo kuwa kaaitisha vyombo vya habari kumchafua Mbowe na Lisu sasahivi kamejificha kwenye mti wa muhindi
Hapa JF wapo waliopewa kazi maalum (specialised) ya kutandaza “ubaya” wa Mbowe tu. Ni watu wasiokuwa na chembe ya integrity.

Ni vyema kuwa wanaomfahamu Mbowe vizuri kama Slaa, Kafulila, n.k. huwa wanajirudi na kukaa kimya mambo yao yakiwa sawa.
 
Jamaa ana roho mbaya sana. Kuwa mpinzani ndani ya nchi hii yataka moyo wa chuma.
Kwanini uwe mpinzani kwenye nchi?wote lengo letu Ni moja kuijenga Tanzania ya Leo iwe Bora,Mama yetu SSH anafanya kazi kwa weredi kwaio sioni Kama upinzani una tija kwa sasa
 
Kama alikuwa anafanya haya yote kwa kisingizio eti katumwa basi akili zake hazina akili zakutosha, hata huko kwa mkewe atakuwa punguani hivyo hivyo
 
Ulikuwa wapi kusema haya kabla??
inamaana hadi mwenye gari lake alikuja kulichukua na hakupewa tarifa hizi,

Tutaaminije sisi?? lakini enyi Watanzania, Sabaya ni mtu mmoja mmbaya saaaana, ila yale ambayo mnamkandia na tamaa yenu afie Jera, mtafurahia akifia huko, lakini kawaida ya ubaya, ukiisha kuufanya kwa mwenzako, ni shariti ugeukie upande wako

Ni vyema kutenda wema ukaenda zako, maisha yenyewe yako wapi ndugu zangu, leo uko mzima, kesho maiti, kwa nini chuki?
Ubaya anafanyiwa na maafisa magereza huko saa hizi .... sio sisi shekh wangu!
 
Back
Top Bottom