Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu tutazaa naeMme kasahau ka Patrobas Katambi kalivyo kuwa kaaitisha vyombo vya habari kumchafua Mbowe na Lisu sasahivi kamejificha kwenye mti wa muhindi
We jamaa hueleweki upo Kama sigara kali yaan nyota inawashwa mbele na nyumaPatrobas Katambi ni kijana msafi sana
Walisachiwa wakakutwa nazoWalishindwa kusema funguo kaondoka nazo mwenye gereji
Tutawatambalizia mkuyenge hadi mtoe cheche matterconeWe jamaa hueleweki upo Kama sigara kali yaan nyota inawashwa mbele na nyuma
Kwa vile tunakujua hautupi shida
Ila hao mabasha zako lazima tuwaingizie chupa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahahaha tushaanza na Sabaya Basha wakoTutawatambalizia mkuyenge hadi mtoe cheche mattercone
Na Marehemu Mzee PombeSabaya alitumwa na nani kuuwa upinzani
Kama ume-mind hivi.Na www unakubali tu hizi porojo hatakama sabay ana mapingufu mengi ila hii hadithi hainamashiko
Ngoja pipa langu la vumbi la congo lifike, nitaanza kuwapitishia mkuyenge kijiwe chenu chote.Hahahaha tushaanza na Sabaya Basha wako
Baada ya kuoga tuu wakampaka mafuta
Mpaka 2025 tutawanyoosha vzr tuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Acheni mara moja kumchafua dikteta pombeNa Marehemu Mzee Pombe
Oil chafu huwa ni chafu tu na haichafuki tena.Acheni mara moja kumchafua dikteta pombe
Kuliko wote africa? i dont think unaijua africa nzima.Sabaya akiwa Dc alikuwa kiongozi mchapakazi kuliko wote Africa
Haki itatendeka , Sabaya atarudi uraiani kupambana na wapinzan wa serikaliKuliko wote africa? i dont think unaijua africa nzima.
unaweza kupeleka file lake mahakamani labda watamfikiria
Strategically, mpango wa CCM chini John Pombe Magufuli akiwatumia viongozi wateule wake baadhi akiwemo huyu Sabaya pamoja na kutumia mifumo ya kiserikali, ilikuwa kumdhoofisha kiuchumi kabisa Mr Freeman Mbowe...
Walijua kabisa, kuwa, ukitaka kulisambaratisha kundi la kondoo (CHADEMA), basi anza kwa kumpiga mchungaji (M/Kiti wa chama - Mr. Mbowe) na kondoo wake wote (wanachama na wafuasi wa chama chake) wote watasambaa na chama kufa.....!!
Cheki mkakati wao;
1. Haribu vitega uchumi vyake vyote, Mfano;
å Jamaa wakaharibu shamba lake maua lenye uuwekezaji wa thamani ya zaidi ya Tshs. 500,000,000
SABABU: Analima kwenye chanzo cha maji kwa miaka zaidi ya 60 tangu kuanzishwa kwa shamba hilo..!!
å Waliifunga na kisha baadaye kulibomoa jengo alilokuwa analitumia kama Night Club [Club Bilicanas] kwa kuwekeza fedha nyingi na kutoa ajira kwa makumi ya watanzania....
SABABU: Eti halipii kodi ya pango la jengo hilo alilokuwa na ubia na NHC...!!
å Mwendazake kwa kuitumia TRA kisiasa, akaamuru kumbakizia kodi kubwa kwenye vitega uchumi vyake ktk biashara yake za hotel huko Moshi - Kilimanjaro...
SABABU: Eti alikuwa halipi kodi ya serikali kwenye biashara zake....!!
å Jamaa wakamfungia bank accounts zote za kwake binafsi na za makampuni yake ya kibiashara na kisha kukomba fedha zote eti ili serikali ipate mapato yake aliyokwepa...!!
LAKINI CHA AJABU;
¶ Pamoja na mikakati hii miovu ya kumdhoofisha huyu mwamba, jamaa hakuwahi ku - give up wa ku - surrender na kisha kujisalimisha CCM..!!!
¶ BADALA YAKE, kila aliyeshiriki ujinga na uhuni huu direct or inderect mmoja mmoja anatolewa relini na shina la uovu lenyewe (Mwendazake Magufuli) likakatwa na kutupwa na kisha kuchomwa moto. Sasa matawi yake (Sabaya, Makonda, Dotto James, Chalamil, Polepole, Bashiru, Ndugai nk ) moja baada ya jingine hayana pa kujishikiza, yananyauka na kujifia yenyewe...
Freeman Mbowe anaendelea ku restore kila kilichoharibiwa kimoja baada ya kingine. Na CHADEMA hao tena wanakuja kwa speed ya Nyambizi....!
2. Fungulia kesi za kisiasa za kutosha za makosa ya kubumba tu ili mradi sisi ni serikali, tutahakikisha anaozea jela mpaka aseme, jamani eeeeh, basi tuyamalizeni tu. Nipeni kadi ya CCM....!!
[emoji848][emoji849][emoji19]Patrobas Katambi ni kijana msafi sana
Haki kutendeka sio tu kuachiwa. but also anaweza kuwa convicted. kisheria nayo ni haki.Haki itatendeka , Sabaya atarudi uraiani kupambana na wapinzan wa serikali
Let the law take its courseHaki kutendeka sio tu kuachiwa. but also anaweza kuwa convicted. kisheria nayo ni haki.
Hizi kashfa kwa dikteta magufuli zitawagharimuOil chafu huwa ni chafu tu na haichafuki tena.