Sabaya alitia chumvi kwenye Engine gari la Mbowe

Sabaya alitia chumvi kwenye Engine gari la Mbowe

Ulikuwa wapi kusema haya kabla??
inamaana hadi mwenye gari lake alikuja kulichukua na hakupewa tarifa hizi,

Tutaaminije sisi?? lakini enyi Watanzania, Sabaya ni mtu mmoja mmbaya saaaana, ila yale ambayo mnamkandia na tamaa yenu afie Jera, mtafurahia akifia huko, lakini kawaida ya ubaya, ukiisha kuufanya kwa mwenzako, ni shariti ugeukie upande wako

Ni vyema kutenda wema ukaenda zako, maisha yenyewe yako wapi ndugu zangu, leo uko mzima, kesho maiti, kwa nini chuki?
 
Sabaya hakuna alichobakiza, ni kama amevunja rekodi kwa kufanya kila aina ya dhambi
 
Walishindwa kusema funguo kaondoka nazo mwenye gereji
 
Makonda huko alipo sijui anajipanga vipi,wale wazee aliokuwa anaeatukana hovyo kwenye mikutano huku akiwa amewakodi clauds kurusha vimikutano vyake wanapiga dua
 
Kama Ni kweli hicho kilichoandikwa kumhusu huyu jamaaa, Basi Kuna Mengi Mabaya Tena kuanzia kwa familia yake.

Ila nahisi kabisa atakuwa kajiona mjinga Sana maana CV yake keshaichafua Sana na Kama ana pesa itaisha tu. Maana Jina lake limeshaanza kumsadifu.
 
Nyie wakandamizaji wote mtashughulikiwa
Wanufaika wa vitendo viovu vya Sabaya utawajua kwa komenti zso , any way hata ibilisi hakosi wafuasi Sabaya anamavuvuzela aliokuwa aaenda nayo kwenye hotel za watu kula, kunywa na kulala na kuondoka bila kulipa .
 
Back
Top Bottom