Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Nyie wakandamizaji wote mtashughulikiwaNenda ukakae nae pale kisongo... Kama ulikuwa unanufaika na ujinga wake kamtetee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie wakandamizaji wote mtashughulikiwaNenda ukakae nae pale kisongo... Kama ulikuwa unanufaika na ujinga wake kamtetee
Mmemkimbia mataga mwenzenu Sabaya si mlimpamba sana. Kamwokoeni sasaNyie wakandamizaji wote mtashughulikiwa
Ananyea ndoo Kisongo. Nenda kwanza kamfariji acha porojo hapa.Na www unakubali tu hizi porojo hatakama sabay ana mapingufu mengi ila hii hadithi hainamashiko
Sheria itachukua mkondo wake.mmemkimbia mataga mwenzenu Sabaya si mlimpamba sana. Kamwokoeni sasa
Patrobas Katambi ni kijana msafi sanaMme kasahau ka Patrobas Katambi kalivyo kuwa kaaitisha vyombo vya habari kumchafua Mbowe na Lisu sasahivi kamejificha kwenye mti wa muhindi
Na aliye na shetani kwa muda huu, john jiweSabaya alitumwa na nani kuuwa upinzani
Kweli kabisa, umenikubusa mbali sana mkuuNamfananisha Sabaya na yule Maliyamungu wa enzi za Iddi Amin Dada
Leta yakwako yenye mashiko,wakati wenu wa udhalimu umeishapita sasa hivi mnalia na kusaga meno hanna pa kushikilia.Let's ya
Na www unakubali tu hizi porojo hatakama sabay ana mapingufu mengi ila hii hadithi hainamashiko
Na www unakubali tu hizi porojo hatakama sabay ana mapingufu mengi ila hii hadithi hainamashiko
Unamfahamu kwa lipi? Maana mi namfahamu kwa roho mbayaKwa tunaomfahamu Sabaya, hizi tuhuma zote anazopewa ni za kutungwa na wanaccm, tutasimama nae hadi apate haki zake.
Ana usafi gani yule? yani ni mchafu kuanzia meno yake na kuendeleaPatrobas Katambi ni kijana msafi sana
Wanufaika wa vitendo viovu vya Sabaya utawajua kwa komenti zso , any way hata ibilisi hakosi wafuasi Sabaya anamavuvuzela aliokuwa aaenda nayo kwenye hotel za watu kula, kunywa na kulala na kuondoka bila kulipa .Nyie wakandamizaji wote mtashughulikiwa