Sabaya aliwahi nikata makofi wakati sikuwa mkosaji. Nimemsamehe

Sabaya aliwahi nikata makofi wakati sikuwa mkosaji. Nimemsamehe

Ilikuwa 2019 maeneo ya kwa sadala wilayani Hai kule kilimanjaro. Baada ya mkutano wa sambaratisha CHADEMA akiwa na wenzake Sabaya huenda alinifananisha na adui yake kisiasa. Aliniita kwenye gari lake pindi alivyomaliza mkutano. Aliniuliza maswali kadhaa kuhusu mikakati inayofanyika na CHADEMA huko maeno ya boma Ng'ombe, sasa nilikataa maana sikuwa najua lolote.

Ile sijakaa sawa aliniziba kibao cha usoni huku baadhi ya watu wakishangaa. Sikuwahi kuwa CHADEMA wala kujihususha na siasa. Nilisikitika na kulaani hilo tukio la kuaibishwa mbele ya umati. Sabaya akawasha ndinga lake v8 nyeusi huyo akatokomea.

Sabaya alivyokamatwa nilishangilia sana na kushukuru mtesi wangu huyu sasa apate cha moto kwa uonevu. Lakini hivi sasa nimejikuta namuonea huruma sana Sabaya, tumeumbwa kutolipiza. Koroho safi namuombea Sabaya anusurike na haya matatizo, kwani naamini kashajifunza sana na anayajutia aliyowahi yatenda.

Nimemsamehe kabisa kwa moyo mweupe Sabaya.
Kama ulishamsamehe usingesema hapa!

Sidhani kama angeachiwa huru ungekuwa na amani uliyonayo sasa.
 
Nimepata funzo hapa kupitia wewe kuwa kama kuna jambo halikuhusu usipeleke pua yako unaweza ukalamba makofi bila kutarajia.

Wewe hukuwa chadema wala ccm,sasa eneo la mkutano wa kisiasa ulienda fata nini kama sio ulimiss makofi ya uso kutoka kwa comrade Sabaya
 
Ndugu mtu anakuchapa makofi unamtazama tu au labda 2019 ulikuwa bado kijana wa form 4
 
Ilikuwa 2019 maeneo ya kwa sadala wilayani Hai kule kilimanjaro. Baada ya mkutano wa sambaratisha CHADEMA akiwa na wenzake Sabaya huenda alinifananisha na adui yake kisiasa. Aliniita kwenye gari lake pindi alivyomaliza mkutano. Aliniuliza maswali kadhaa kuhusu mikakati inayofanyika na CHADEMA huko maeno ya boma Ng'ombe, sasa nilikataa maana sikuwa najua lolote.

Ile sijakaa sawa aliniziba kibao cha usoni huku baadhi ya watu wakishangaa. Sikuwahi kuwa CHADEMA wala kujihususha na siasa. Nilisikitika na kulaani hilo tukio la kuaibishwa mbele ya umati. Sabaya akawasha ndinga lake v8 nyeusi huyo akatokomea.

Sabaya alivyokamatwa nilishangilia sana na kushukuru mtesi wangu huyu sasa apate cha moto kwa uonevu. Lakini hivi sasa nimejikuta namuonea huruma sana Sabaya, tumeumbwa kutolipiza. Koroho safi namuombea Sabaya anusurike na haya matatizo, kwani naamini kashajifunza sana na anayajutia aliyowahi yatenda.

Nimemsamehe kabisa kwa moyo mweupe Sabaya.
Pole sana, ni true story?
 
Ilikuwa 2019 maeneo ya kwa sadala wilayani Hai kule kilimanjaro. Baada ya mkutano wa sambaratisha CHADEMA akiwa na wenzake Sabaya huenda alinifananisha na adui yake kisiasa. Aliniita kwenye gari lake pindi alivyomaliza mkutano. Aliniuliza maswali kadhaa kuhusu mikakati inayofanyika na CHADEMA huko maeno ya boma Ng'ombe, sasa nilikataa maana sikuwa najua lolote.

Ile sijakaa sawa aliniziba kibao cha usoni huku baadhi ya watu wakishangaa. Sikuwahi kuwa CHADEMA wala kujihususha na siasa. Nilisikitika na kulaani hilo tukio la kuaibishwa mbele ya umati. Sabaya akawasha ndinga lake v8 nyeusi huyo akatokomea.

Sabaya alivyokamatwa nilishangilia sana na kushukuru mtesi wangu huyu sasa apate cha moto kwa uonevu. Lakini hivi sasa nimejikuta namuonea huruma sana Sabaya, tumeumbwa kutolipiza. Koroho safi namuombea Sabaya anusurike na haya matatizo, kwani naamini kashajifunza sana na anayajutia aliyowahi yatenda.

Nimemsamehe kabisa kwa moyo mweupe Sabaya.
Pole mkuu
 
Pole sana, ni true story?
Sijawah kuja hapa kuongea uwongo mkuu. Huyu jamaa alijisahau mwenyewe sidhani hata kama alkuwa anaagizwa, ila nahisi alitumia udhaifu wa magufuli kuchukia upinzani na ile ya kudeal na wakwepa kodi yeye akajiongeza na akazidisha. Sabaya aisee kwa asiye mjua atatetea ila ni shetani kabisa
 
Ilikuwa 2019 maeneo ya kwa sadala wilayani Hai kule kilimanjaro. Baada ya mkutano wa sambaratisha CHADEMA akiwa na wenzake Sabaya huenda alinifananisha na adui yake kisiasa. Aliniita kwenye gari lake pindi alivyomaliza mkutano. Aliniuliza maswali kadhaa kuhusu mikakati inayofanyika na CHADEMA huko maeno ya boma Ng'ombe, sasa nilikataa maana sikuwa najua lolote.

Ile sijakaa sawa aliniziba kibao cha usoni huku baadhi ya watu wakishangaa. Sikuwahi kuwa CHADEMA wala kujihususha na siasa. Nilisikitika na kulaani hilo tukio la kuaibishwa mbele ya umati. Sabaya akawasha ndinga lake v8 nyeusi huyo akatokomea.

Sabaya alivyokamatwa nilishangilia sana na kushukuru mtesi wangu huyu sasa apate cha moto kwa uonevu. Lakini hivi sasa nimejikuta namuonea huruma sana Sabaya, tumeumbwa kutolipiza. Koroho safi namuombea Sabaya anusurike na haya matatizo, kwani naamini kashajifunza sana na anayajutia aliyowahi yatenda.

Nimemsamehe kabisa kwa moyo mweupe Sabaya.
Hongera Sana kwa kuwa na moyo wa kusamehe.
 
Sijawah kuja hapa kuongea uwongo mkuu. Huyu jamaa alijisahau mwenyewe sidhani hata kama alkuwa anaagizwa, ila nahisi alitumia udhaifu wa magufuli kuchukia upinzani na ile ya kudeal na wakwepa kodi yeye akajiongeza na akazidisha. Sabaya aisee kwa asiye mjua atatetea ila ni shetani kabisa
Dah, simjui freshi Sabaya, ila lazima jamaa alikuwa kirambasi, sio kwa hii outcry
 
Hongera Sana kwa kuwa na moyo wa kusamehe.
Alinidhalilisha sana skuile, skuwa na lakumfanya kwa kuogopa ntaweza umizwa na yeye kama niktumia hasira na ule uoga wa watu wakimgwaya kuwa ni usalama wa taifa pia utawala wa magufuli ulivokuwa nahis ningenrudishia ningepata dhoruba kubwa. Nashkuru kwa alchokifanya na nimeshamsamehe atajijua huko jela maskani kwake kisongo
 
Alinidhalilisha sana skuile, skuwa na lakumfanya kwa kuogopa ntaweza umizwa na yeye kama niktumia hasira na ule uoga wa watu wakimgwaya kuwa ni usalama wa taifa pia utawala wa magufuli ulivokuwa nahis ningenrudishia ningepata dhoruba kubwa. Nashkuru kwa alchokifanya na nimeshamsamehe atajijua huko jela maskani kwake kisongo
Dah!!!, Inahitaji ujasiri mkubwa kumsamehe mtu aliyekukosea.
 
Wachaga kwenye kulinda CHADEMA mko imara Sana , kumbe ma-DC wanaendesha magari siku hizi

USSR

Kwani ma DC hawaruhusiwi kuendesha Magari?
Mbona umeandika pumba Sana we fala,
Ila ndio akili zako zilivyo kisoda
 
Imeniuma sna kwani sabay kufungwa miaka 30 hakika nimenufaika na sabaya kwa namna fln nikiwa singida alinilipia kunyoa na kununua kuku wa kuchoma wanne tukaenda nae kula Hapo amenity lodge aliko fikia ..hakika tulifurahi mm na rfk angu ambae alinitambulisha kwa sabaya mpk Sasa cwez kusahau tukio lile Lkn pia alivyokuja dar kuojiwa na clouds nilikutana nae na alinipata pesa pia za kupunguza ukali wa maisha all most laki sita HV cwezi kumsahau ..pmj na mambo aliyotendea wengine mm nimenufaika kwa namna fln .. cna uadui nae
 
Ilikuwa 2019 maeneo ya kwa sadala wilayani Hai kule kilimanjaro. Baada ya mkutano wa sambaratisha CHADEMA akiwa na wenzake Sabaya huenda alinifananisha na adui yake kisiasa. Aliniita kwenye gari lake pindi alivyomaliza mkutano. Aliniuliza maswali kadhaa kuhusu mikakati inayofanyika na CHADEMA huko maeno ya boma Ng'ombe, sasa nilikataa maana sikuwa najua lolote.

Ile sijakaa sawa aliniziba kibao cha usoni huku baadhi ya watu wakishangaa. Sikuwahi kuwa CHADEMA wala kujihususha na siasa. Nilisikitika na kulaani hilo tukio la kuaibishwa mbele ya umati. Sabaya akawasha ndinga lake v8 nyeusi huyo akatokomea.

Sabaya alivyokamatwa nilishangilia sana na kushukuru mtesi wangu huyu sasa apate cha moto kwa uonevu. Lakini hivi sasa nimejikuta namuonea huruma sana Sabaya, tumeumbwa kutolipiza. Koroho safi namuombea Sabaya anusurike na haya matatizo, kwani naamini kashajifunza sana na anayajutia aliyowahi yatenda.

Nimemsamehe kabisa kwa moyo mweupe Sabaya.
Alikuita kwenye gari lake akakuzaba kibao huku watu wakishuhudia na wakashangaa then akawasha ndinga yake V8 akasepa!
 
Ilikuwa 2019 maeneo ya kwa sadala wilayani Hai kule kilimanjaro. Baada ya mkutano wa sambaratisha CHADEMA akiwa na wenzake Sabaya huenda alinifananisha na adui yake kisiasa. Aliniita kwenye gari lake pindi alivyomaliza mkutano. Aliniuliza maswali kadhaa kuhusu mikakati inayofanyika na CHADEMA huko maeno ya boma Ng'ombe, sasa nilikataa maana sikuwa najua lolote.

Ile sijakaa sawa aliniziba kibao cha usoni huku baadhi ya watu wakishangaa. Sikuwahi kuwa CHADEMA wala kujihususha na siasa. Nilisikitika na kulaani hilo tukio la kuaibishwa mbele ya umati. Sabaya akawasha ndinga lake v8 nyeusi huyo akatokomea.

Sabaya alivyokamatwa nilishangilia sana na kushukuru mtesi wangu huyu sasa apate cha moto kwa uonevu. Lakini hivi sasa nimejikuta namuonea huruma sana Sabaya, tumeumbwa kutolipiza. Koroho safi namuombea Sabaya anusurike na haya matatizo, kwani naamini kashajifunza sana na anayajutia aliyowahi yatenda.

Nimemsamehe kabisa kwa moyo mweupe Sabaya.
Hongera unamoyo wa kipekee saana
 
Back
Top Bottom