Kila kiumbe kitavuna kilichopanda. Yeye alipanda makofi na uonevu basi ni hivyo hivyo ndivyo atakavyovuna. Mungu aelekeze hukumu yake kulingana na matendo aliofanyia wenzie. Ameen
Kila kiumbe kitavuna kilichopanda. Yeye alipanda makofi na uonevu basi ni hivyo hivyo ndivyo atakavyovuna. Mungu aelekeze hukumu yake kulingana na matendo aliofanyia wenzie. Ameen