desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,593
- 5,848
Hapo itakuwa alikula marungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo itakuwa alikula marungu
Wacha apigike kima huyu alijiona Mungu mtu kwa sababu ya kuzungumza direkt na mdhamini wake hata akienda kubaka mke wa mtu anapiga simu ikulu anasema anatokomeza wapinzani mzee anakiga vigelegele. Vilio vya aliowatenda mabaya na nguvu za Mungu kumpiga chini yule mzee ndiyo vinamfanya awe mrembo na mpole anasema laiti ningelijua kuwa huyu mzee atakata moto soon nisingelijidai kijogoo ona sasa nimekuwa tetereNimemfahamu sabaya mara alipata mamlaka nikawa naona mwonekano wake wa kujiamini akiwa ktk utendaji na mahojiano kwenye vyombo vya habari.
Lakini mwonekano wa sasa kwa macho namwona akiwa ktk hali tatu. Anajuta sana, amejifunza maisha halisi ya kitaa na mwonekano mwingine anaonekana mwenye kisasi hata tabasam analazimisha.
Wewe unamwonaje?
Hata mje na majani ya maboga na mitarakwa na machozi yenu havisaidii hata wale aliowatenda unyama na kuwabaka ujambazi ubabe na yote mabaya walilia machozi wao, ndugu, jamaa na watu wa karibu yao, Mungu hacheki cheki wala halali mngekwenda ofisini kwa huyu kenge au mngemuita nyumbani kwenu mkamuonya kwa matendo yake ya kinyama au mngekwenda kwa magufuli kumwambia anampeleka mtoto wenu kubaya sasa hivi mnaomba samia aingilie kati mnataka na ndugu aliowatendea maovu wamwombe nini sasa huyo samia?
Jamaa anafungwa.Nimemfahamu sabaya mara alipata mamlaka nikawa naona mwonekano wake wa kujiamini akiwa ktk utendaji na mahojiano kwenye vyombo vya habari.
Lakini mwonekano wa sasa kwa macho namwona akiwa ktk hali tatu. Anajuta sana, amejifunza maisha halisi ya kitaa na mwonekano mwingine anaonekana mwenye kisasi hata tabasam analazimisha.
Wewe unamwonaje?
Samia sio Mungu.. huyu anatumiakia kifungo Cha makosa kimungu.Hata mje na majani ya maboga na mitarakwa na machozi yenu havisaidii hata wale aliowatenda unyama na kuwabaka ujambazi ubabe na yote mabaya walilia machozi wao, ndugu, jamaa na watu wa karibu yao, Mungu hacheki cheki wala halali mngekwenda ofisini kwa huyu kenge au mngemuita nyumbani kwenu mkamuonya kwa matendo yake ya kinyama au mngekwenda kwa magufuli kumwambia anampeleka mtoto wenu kubaya sasa hivi mnaomba samia aingilie kati mnataka na ndugu aliowatendea maovu wamwombe nini sasa huyo samia?
Unadukua tarifa za mahakama?Jamaa anafungwa.
Inbox c hapaNinayemtafuta ana miaka 22. Same person?
duh jamani tunaoamini ktk mungu tumtegemea.Hiki ilikuwa kipindi cha neema
Umejuaje wakati picha imepigwa upande?Ogopa sana mtu anaelia jicho moja tu,lingine halitoi machozi.