SABAYA atinga mahakamani na Jezi ya YANGA

Huyu Sabaya atakua amehongwa tu na Moo au Wallace Karia ili atuhujumu kuelekea mechi ya ngao ya jamii.

Yanga hatuna majambazi, majangili na wahujumu uchumi kama ilivyo upande wa pili. Kama kuna mbumbumbu anayebisha, aje hapa nimtajie orodha ya viongozi wahalifu kutoka upande wa pili.
 
nikisema "Sabaya wa yanga ni hatari" sitakula ban kweli??? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Sishangai kabisa mhuni kama huyu kuwa mwanauto. Ni mshamba, mnajisi madaraka na hana chembe ya ubinadamu, characteristics zote za utopolians 🤣🤣


Tulia dawa iingie
 
Jela uwa kinapigwa cha ndimu mahabusu wa Simba Vs Yanga,wahabusu wa Yanga wamekomaa ugoko utadhani reli ya TAZARA kima hawa[emoji23]
 
Sishangai kabisa mhuni kama huyu kuwa mwanauto. Ni mshamba, mnajisi madaraka na hana chembe ya ubinadamu, characteristics zote za utopolians [emoji1787][emoji1787]



Tulia dawa iingie
Kuna waliojaribu kumpindua raisi wa nchi ikishindikana wapo Msimbazi huko, hapo hujaweka mamafia ya kutakatisha fedha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…