balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Dr Kumbuka na Aden Rage na Le Mutuz wote SimbaWahuni wa ajabu kabisa
Imetolewa kwa hisani ya Mama J na Amba Rutty
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr Kumbuka na Aden Rage na Le Mutuz wote SimbaWahuni wa ajabu kabisa
Imetolewa kwa hisani ya Mama J na Amba Rutty
Aveva,Wambura ,Rage,Papa la Msofe na Bagen wote mikiaHuyu Sabaya atakua amehongwa tu na Moo au Wallace Karia ili atuhujumu kuelekea mechi ya ngao ya jamii.
Yanga hatuna majambazi, majangili na wahujumu uchumi kama ilivyo upande wa pili. Kama kuna mbumbumbu anayebisha, aje hapa nimtajie orodha ya viongozi wahalifu kutoka upande wa pili.
Walikuwa na sababu za msingi kupindua nchi, Simba haina viongozi washamba wenye akili mbovu kama yule anaevaa tie na scarf zenye bendera ya taifa.Kuna waliojaribu kumpindua raisi wa nchi ikishindikana wapo Msimbazi huko, hapo hujaweka mamafia ya kutakatisha fedha.
Huyu na Bashite hakuna tofauti.Walikuwa na sababu za msingi kupindua nchi, Simba haina viongozi washamba wenye akili mbovu kama yule anaevaa tie na scarf zenye bendera ya taifa.