SABAYA atinga mahakamani na Jezi ya YANGA

Aveva,Wambura ,Rage,Papa la Msofe na Bagen wote mikia
 
Kuna waliojaribu kumpindua raisi wa nchi ikishindikana wapo Msimbazi huko, hapo hujaweka mamafia ya kutakatisha fedha.
Walikuwa na sababu za msingi kupindua nchi, Simba haina viongozi washamba wenye akili mbovu kama yule anaevaa tie na scarf zenye bendera ya taifa.
 
Amesoma alma za nyakati. Kuna kipindi inabidi utafute namna gani wachache utawateka kihisia pamoja na mabaya uliyonayo na kwa kiasi Fulani japo kidogo amefanikiwa. Rejea Jana ya KIGOGO kuwa ingia Simba kwa staili ya uhamasishaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…