Sabaya atoa machozi Mahakamani, adai aliweka rehani uhai wake kuitumikia Serikali mpaka akatumiwa watu kumuua

Sabaya atoa machozi Mahakamani, adai aliweka rehani uhai wake kuitumikia Serikali mpaka akatumiwa watu kumuua

Mshitakiwa namba moja Lengai Ole Sabaya katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili na wenzake amejikuta akitokwa na machozi mahakamani wakati akitoa ushahidi wake kama sehemu ya utetezi wake.
"Niliweka uhai wangu rehani kwa kufanya kazi za serikali,mpaka nikatumiwa watu kuniua" https://t.co/HkwBRDIo86View attachment 2088232

Cha kumshauri Sabaya aende kwa Hawa watu wawili Magesa Mulongo na Ndugai. Hawa watampa ushauri mzuri kuhusu CCM na serikali yake.

1. Magesa Mulongo alipambana na CHADEMA Arusha lakini alipotumbuliwa kwa kupigana na katibu tawala wa mkoa kwenye kikao hakuna anayemkumbuka kabisa amebaki Kama toilet paper.

2. Spika Ndugai alipambana na CHADEMA bungeni na kuwafanyia dhihaka za Kila aina na aibu zote ikiwemo kumtimua Lissu kwenye ubunge akidhani anaifurahisha CCM. Lakini siku alipoteleza ulimi, Ni CCM hao hao walimgeuka na kutaka ajiuzuru pamoja na kuomba msamaha lakini hakusamehewa.

Ukipewa nafasi serikalini watumikie wananchi sio chama.
 
Cha kumshauri Sabaya aende kwa Hawa watu wawili Magesa Mulongo na Ndugai. Hawa watampa ushauri mzuri kuhusu CCM na serikali yake.

1. Magesa Mulongo alipambana na CHADEMA Arusha lakini alipotumbuliwa kwa kupigana na katibu tawala wa mkoa kwenye kikao hakuna anayemkumbuka kabisa amebaki Kama toilet paper.

2. Spika Ndugai alipambana na CHADEMA bungeni na kuwafanyia dhihaka za Kila aina na aibu zote ikiwemo kumtimua Lissu kwenye ubunge akidhani anaifurahisha CCM. Lakini siku alipoteleza ulimi, Ni CCM hao hao walimgeuka na kutaka ajiuzuru pamoja na kuomba msamaha lakini hakusamehewa.

Ukipewa nafasi serikalini watumikie wananchi sio chama.
Upo sawa kamanda
 
Serikali gani ilimtuma akaunde genge la kupora wananchi? Serikali ya wapi ilimtuma kuunda genge la kufanya utapeli, wizi wa silaha, uhujumu wa mali za wananchi, ubakaji, vitisho na kila aina ya uchafu?

Huyu anataka kuichafua na kuichongea serikali kwa wananchi. Huyu anapaswa afungwe miaka mia moja kisha ashonwe mdomo wake.
 
Hakuna mtu aliyetumwa kumuua Sabaya, ila kuna watu ambao walijihami sawa sawa kuwa wakikutana na Sabaya ama zake ama zao.

Huyu JAMBAZI mpumbavu alikuwa anamtegemea mwanadamu. Mwanadamu mwenyewe Magufuli aliyekuwa na VVU +Pacemaker+ Diabetes+ Mental +COVID 19, LAZIMA angekufa tu.

Wajanja walijuwa kuwa Magufuli HATOBOI 2023, wakakaa kimya, ila WAPUMBAVU wakamuona kama mungu mtu, wakamuabudu

Tafta pesa, fedha, faranga, money, mpunga, ngawira, mshiko, hela, mapene ili upate utulivu wa akili sio kuja hapa ukiwa umelewa gongo ya kimba Na kuropoka hovyo kwa ulevi wa kipunguani!
 
Mshitakiwa namba moja Lengai Ole Sabaya katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili na wenzake amejikuta akitokwa na machozi mahakamani wakati akitoa ushahidi wake kama sehemu ya utetezi wake.
"Niliweka uhai wangu rehani kwa kufanya kazi za serikali,mpaka nikatumiwa watu kuniua" https://t.co/HkwBRDIo86View attachment 2088232
Angetaka kuitumikia Nchi angeenda DRC Congo,na Msumbiji kupambania Taifa akiwa mstari wa mbele.

Sasa sijui kukata watu maskio na kuwapigilia misumari,kupora nk ndio kuitumikia Nchi? 😆😆
 
Mshitakiwa namba moja Lengai Ole Sabaya katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili na wenzake amejikuta akitokwa na machozi mahakamani wakati akitoa ushahidi wake kama sehemu ya utetezi wake.
"Niliweka uhai wangu rehani kwa kufanya kazi za serikali,mpaka nikatumiwa watu kuniua" https://t.co/HkwBRDIo86View attachment 2088232
Kudhulumu watu ndio kujiweka rehani? Anavuna aliyopanda atulie,,sindano iingie vizuri
 
Alitakiwa ajue. Kwa serikali yeye ni tool tu. Anaweza kuwa replaced and vanished muda wowote.
Inaonekanaalijiwekea uhakika 100%. Ndio haya yana mkuta
Alikuwa ndugu yake hawezi kufa.
 
Tatizo lako bro uliaminiwa kwa kazi maalum ukatumia mwanya huo kuingiza tabia zako za kishetani. Umesababisha sisi vijana wote UVCCM tuonekani wakatili. Jela pekee ndipo unapostahili
 
Kuitumkia serikali kuhakikisha Chadema inakufa Hai
chadema wameamua kulipa kisasi [emoji28].Kuna hadithi fulani nilihadisiwa enzi hizo,Kuna mtumwa mmoja alipendwa Sana na mfalme ,kila alipokwenda mfalme lazma huyu bwana awepo pembeni ya mfalme,Sasa Kuna siku mfalme akafariki,kumbe Sheria za pale zilikuwa ni lazma mfalme azikwe na mtu aliyempenda enz za uhai ,huyu bwana alilia lkn ndo hivyo akazkwa na mfalme. Ukipendwa Sana na mfalme kupita kiasi ,ujue uko hatarini,siku mfalme akaaga dunia ,walah utatamani dunia ipasuke uingie!
 
..kuna watu ndani ya ccm na serikali wana chuki na Sabaya.

..mbona wenzake waliodhulumu na kuumiza wapinzani wanaendelea kudunda mtaani?

..Sabaya ajitafakari alimkosea nani ktk ccm na serikali? Kwanini ametolewa kafara? Why him and not anybody else?
ile familia ya ukweleni .
 
Tafta pesa, fedha, faranga, money, mpunga, ngawira, mshiko, hela, mapene ili upate utulivu wa akili sio kuja hapa ukiwa umelewa gongo ya kimba Na kuropoka hovyo kwa ulevi wa kipunguani!
Watu ambao awajahi kufanya kazi na mjumba mjelajela ndio utawadanganya ila wewe jamaa ulikuwepo pale PANONE siku tulivyoiba Kura za uchaguzi tukanywa pombe bila kulipa.ila freshi mwana mwache mungu amlinde
 
Mshitakiwa namba moja Lengai Ole Sabaya katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili na wenzake amejikuta akitokwa na machozi mahakamani wakati akitoa ushahidi wake kama sehemu ya utetezi wake.
"Niliweka uhai wangu rehani kwa kufanya kazi za serikali,mpaka nikatumiwa watu kuniua" https://t.co/HkwBRDIo86View attachment 2088232
Hana akili huyu.
Kutumikia serikali su kumtumikia Magufuli?
Ndio tatizi la kuwapa vitoto vidogo kazi kubwa zinazohitaji uzoefu na utumishi wa kufuata sheria.
 
Tafta pesa, fedha, faranga, money, mpunga, ngawira, mshiko, hela, mapene ili upate utulivu wa akili sio kuja hapa ukiwa umelewa gongo ya kimba Na kuropoka hovyo kwa ulevi wa kipunguani!
Pimbi mkubwa wewe Buhare !! Hilo jutu lenu ni BAZAZI hata mtumie lugha gani, kufungo kwake HAKIKWEPEKI

Na mimi sitafuti hela bali natafuta ubinadamu. Hela zimemsaidia nini Magufuli na Sabaya??

Matendo mema ndiyo ya msingi, fedha utaziacha hapa hapa
 
Kuuza
Wauza madawa ya kulevya wa Hai ni hatari mno
[/QUOTE

Kuuza dawa za kulevya hakuhalalishi mkuu wa wilaya kuwa jambazi. Wauza madawa washughulikiwe na majambazi washughulikiwe. Tusitafute kichaka Cha kuhalalisha makosa.
 
Muongo huyu matako yake,kazi za Serikali inahusiana nini na kwenda kupora watu maofisini kwao??Jambazi ni Jambazi tu,agongwe miaka 30 mingine Jela iwe fundisho
Hiv akipatikana ana hatia atakuwa hiyo hukumu ataitumikia concurrently na ya sasa au adhababu itaanza mara baada ta hii ya kwanza kuisha,yaani lets 30 jumlisha miaka mingine 30 tena,maana yake 60years? Wanasheria tusaidieni.
 
Kwanza hata huyo mpambe wake anajiita alikuwa afisa kilimo hata sie hatumjui njooni mkague kama daftari la mkuu wa idara ya kilimo Hai kama ashawahi kusaini popote kwenye daftari la mahudhurio kazini. Tunalazimishwa tuwe mashaidi kwa lazima
 
Back
Top Bottom