Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Majuzi niliona taarifa kuwa wenzake Sabaya waachiwa huru baada kukiri makosa na kuelewana na DPP kulipa Tsh 1,050,000/= na hivo kutolewa hatiani!
Usishangae! Sio kama Sabaya hapendi kuwa huru, Sio kama Sabaya anashindwa kulipa kiasi hicho cha fedha! Ila nafasi yake katika utumishi wa Umma ndiyo anayoilinda! Kimsingi Sabaya bado ana ndoto za kuwa mtumishi wa Umma, Sabaya akikutwa na hatia atapoteza sifa za kuwa mtumishi wa Umma na hivo atapoteza vingi sana katika maisha yake.
Nawakumbusha kisanga kimoja kuwa aliwah kushtakiwa eti kwakuwa kitambulisho cha TISS! Unafikiri masiahara? Jamaa ni kweli ni kitengo, na anajua kuwa haiwezekani ata kidogo kukutwa na hatia ila kuna mchezo anachezewa na wale ambao wanataka kumkomoa! Na kweli Mh Rais aliingizwa chaka issue ya Sabaya ila afisa kipenyo mzuri sana ambae ananyoosha mambo bila kipindisha.
Usishangae! Sio kama Sabaya hapendi kuwa huru, Sio kama Sabaya anashindwa kulipa kiasi hicho cha fedha! Ila nafasi yake katika utumishi wa Umma ndiyo anayoilinda! Kimsingi Sabaya bado ana ndoto za kuwa mtumishi wa Umma, Sabaya akikutwa na hatia atapoteza sifa za kuwa mtumishi wa Umma na hivo atapoteza vingi sana katika maisha yake.
Nawakumbusha kisanga kimoja kuwa aliwah kushtakiwa eti kwakuwa kitambulisho cha TISS! Unafikiri masiahara? Jamaa ni kweli ni kitengo, na anajua kuwa haiwezekani ata kidogo kukutwa na hatia ila kuna mchezo anachezewa na wale ambao wanataka kumkomoa! Na kweli Mh Rais aliingizwa chaka issue ya Sabaya ila afisa kipenyo mzuri sana ambae ananyoosha mambo bila kipindisha.