Sabaya bado ana ndoto za kuwa mtumishi wa Umma! Msimcheke, anasimamia anacho kiamini

Sabaya bado ana ndoto za kuwa mtumishi wa Umma! Msimcheke, anasimamia anacho kiamini

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Majuzi niliona taarifa kuwa wenzake Sabaya waachiwa huru baada kukiri makosa na kuelewana na DPP kulipa Tsh 1,050,000/= na hivo kutolewa hatiani!

Usishangae! Sio kama Sabaya hapendi kuwa huru, Sio kama Sabaya anashindwa kulipa kiasi hicho cha fedha! Ila nafasi yake katika utumishi wa Umma ndiyo anayoilinda! Kimsingi Sabaya bado ana ndoto za kuwa mtumishi wa Umma, Sabaya akikutwa na hatia atapoteza sifa za kuwa mtumishi wa Umma na hivo atapoteza vingi sana katika maisha yake.

Nawakumbusha kisanga kimoja kuwa aliwah kushtakiwa eti kwakuwa kitambulisho cha TISS! Unafikiri masiahara? Jamaa ni kweli ni kitengo, na anajua kuwa haiwezekani ata kidogo kukutwa na hatia ila kuna mchezo anachezewa na wale ambao wanataka kumkomoa! Na kweli Mh Rais aliingizwa chaka issue ya Sabaya ila afisa kipenyo mzuri sana ambae ananyoosha mambo bila kipindisha.
 
Akikatiza kijiji chochote katika wilaya ya Hai akitembea kwa mguu kuku atawika mara mbili tu mtasikia taarifa ya jeshi la polisi.
 
wenye macho ya twiga wezake inaonesha wamegeuzwa kua mashahidi waserikali

---- wamekubali makosa ya uhujumu uchumi nakupewa faini ndogo kabisa na hiyo million 1
 
Majuzi niliona taarifa kuwa wenzake Sabaya waachiwa huru baada kukiri makosa na kuelewana na DPP kulipa Tsh 1,050,000/= na hivo kutolewa hatiani!

Usishangae! Sio kama Sabaya hapendi kuwa huru, Sio kama Sabaya anashindwa kulipa kiasi hicho cha fedha! Ila nafasi yake katika utumishi wa Umma ndiyo anayoilinda! Kimsingi Sabaya bado ana ndoto za kuwa mtumishi wa Umma, Sabaya akikutwa na hatia atapoteza sifa za kuwa mtumishi wa Umma na hivo atapoteza vingi sana katika maisha yake.

Nawakumbusha kisanga kimoja kuwa aliwah kushtakiwa eti kwakuwa kitambulisho cha TISS! Unafikiri masiahara? Jamaa ni kweli ni kitengo, na anajua kuwa haiwezekani ata kidogo kukutwa na hatia ila kuna mchezo anachezewa na wale ambao wanataka kumkomoa! Na kweli Mh Rais aliingizwa chaka issue ya Sabaya ila afisa kipenyo mzuri sana ambae ananyoosha mambo bila kipindisha.
Naona majambazi mlioko uraiani mnamtetea mshirika wenu.
Inawezekanaje walioshitakiwa kwa makosa yale yale wakiri makosa yeye akapona? Asihusike?
 
Brother wangu mmoja hakukimbia umande kama sisi yuko pale jirani na st peter njia ya kuingia masaki ndio ofisini kwao. Anasema hajawai muona sabaya sasa sabaya ni TISS
 
Kile mitambulisho kilichokua kama cha mwanafunzi wa darasa la 7
 
Mwenye mamlaka ya kuthibitisha ilo ni Mahakama ila tu ngoma hii ni geresha tu
Zamani ilikuwa ukisema mtu ni kitengo anaonekana wa maana, ila sasa toka wamejazwa uvccm ili kuilinda CCM isitokee madarakani, wamekuwa tu kama kundi la intarhamwe.
 
Majuzi niliona taarifa kuwa wenzake Sabaya waachiwa huru baada kukiri makosa na kuelewana na DPP kulipa Tsh 1,050,000/= na hivo kutolewa hatiani!

Usishangae! Sio kama Sabaya hapendi kuwa huru, Sio kama Sabaya anashindwa kulipa kiasi hicho cha fedha! Ila nafasi yake katika utumishi wa Umma ndiyo anayoilinda! Kimsingi Sabaya bado ana ndoto za kuwa mtumishi wa Umma, Sabaya akikutwa na hatia atapoteza sifa za kuwa mtumishi wa Umma na hivo atapoteza vingi sana katika maisha yake.

Nawakumbusha kisanga kimoja kuwa aliwah kushtakiwa eti kwakuwa kitambulisho cha TISS! Unafikiri masiahara? Jamaa ni kweli ni kitengo, na anajua kuwa haiwezekani ata kidogo kukutwa na hatia ila kuna mchezo anachezewa na wale ambao wanataka kumkomoa! Na kweli Mh Rais aliingizwa chaka issue ya Sabaya ila afisa kipenyo mzuri sana ambae ananyoosha mambo bila kipindisha.
Ondoa upuuzi huu hapa
 
Majuzi niliona taarifa kuwa wenzake Sabaya waachiwa huru baada kukiri makosa na kuelewana na DPP kulipa Tsh 1,050,000/= na hivo kutolewa hatiani!

Usishangae! Sio kama Sabaya hapendi kuwa huru, Sio kama Sabaya anashindwa kulipa kiasi hicho cha fedha! Ila nafasi yake katika utumishi wa Umma ndiyo anayoilinda! Kimsingi Sabaya bado ana ndoto za kuwa mtumishi wa Umma, Sabaya akikutwa na hatia atapoteza sifa za kuwa mtumishi wa Umma na hivo atapoteza vingi sana katika maisha yake.

Nawakumbusha kisanga kimoja kuwa aliwah kushtakiwa eti kwakuwa kitambulisho cha TISS! Unafikiri masiahara? Jamaa ni kweli ni kitengo, na anajua kuwa haiwezekani ata kidogo kukutwa na hatia ila kuna mchezo anachezewa na wale ambao wanataka kumkomoa! Na kweli Mh Rais aliingizwa chaka issue ya Sabaya ila afisa kipenyo mzuri sana ambae ananyoosha mambo bila kipindisha.
What's this? Are really serious?
 
TIZZ ilikuwa wakati wa Mwalimu. Hii ya sasa ni kituko!
 
Back
Top Bottom