Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watawezaje kumuuliza mungu wao?Alishatumikia kifungo.. Aliofanya hivyo ni mwana CCM mwenzenu mbona hamkumuuliza enzi za uhai wake
Naona bado upo kwenye majonzi baada ya kuondokewa na mumeo.Acha kumtegemea Mbowe kula kwako. Dauda hapa angekuambia, kuwa na TIN number yako ili uishi mjini. Utawachukia watu wengi sana kwa kumtegemea Mbowe kuishi kwako.
Walimtetemekea yuke bwana na sahivi hawajui ilikuaje kutoka kwa babu seyaWatawezaje kumuuliza mungu wao?
Hawana tofauti na wapiga zumari maana kila atakacho muimbaji ndiyo hicho wanafanya.Walimtetemekea yuke bwana na sahivi hawajui ilikuaje kutoka kwa babu seya
Mungu wa kweli alishafanya yake.Mbona mnamuwaza sana? Aliwafanya nini hayati? Hizo ndio chuki.
Mkuu umesahau alivyochoma bisibis watu?Habari za Mchana.
Mimi pia naona makosa mengi ya Sabaya ni ya #kisiasa japo mashitaka ni ya #kisheria.
Makosa haya ya kisiasa yanasameheka. Sabaya hatakuwa wa kwanza kusamehewa na mama kwa kumshauri DPP kumfutia makosa yote yanayomkabili na kushawishi ashinde rufaa kwa kesi ambayo tayari amehukumiwa na amekata rufaa.
Naamini akisamehewa atakuwa na adamu, heshima, utii, uadilifu na kufuata sheria
Haya mambo yanawezekana.
Makosa haya yanasameheka.
Kama kutakuwa na mtu mwenye malalamiko basi akafungue kesi kama yeye na sio kusaidiwa na Jamhuri kwa kesi ambayo kwa Jamhuri inaonekana kabisa makosa ni ya kisiasa zaidi.
WEZI KAMA SABAYA hakuna kusamehewaHabari za Mchana.
Mimi pia naona makosa mengi ya Sabaya ni ya #kisiasa japo mashitaka ni ya #kisheria.
Makosa haya ya kisiasa yanasameheka. Sabaya hatakuwa wa kwanza kusamehewa na mama kwa kumshauri DPP kumfutia makosa yote yanayomkabili na kushawishi ashinde rufaa kwa kesi ambayo tayari amehukumiwa na amekata rufaa.
Naamini akisamehewa atakuwa na adamu, heshima, utii, uadilifu na kufuata sheria
Haya mambo yanawezekana.
Makosa haya yanasameheka.
Kama kutakuwa na mtu mwenye malalamiko basi akafungue kesi kama yeye na sio kusaidiwa na Jamhuri kwa kesi ambayo kwa Jamhuri inaonekana kabisa makosa ni ya kisiasa zaidi.
Uko sahihi, utofauti wake Ni kuwa Kuna mmoja anajifanya Hana hatia kwa kuiaminisha jamii mwingine anahatia kwa kuaminishwa na jamii, ila pia mmoja anawatetezi(wanasiasa) mwingine Hana wa kumtetea zaidi MunguHizi kesi ni mtu na mdogo wake, pipa na mfuniko wake. Wote wawili wasamehewe. Warudi mtaani au kwenye siasa lakini wawe na adamu na heshima kwa mama.
#SABAYA naye asamehewe.
Hakuna lisilosameheka. Hata Mungu tunamkosea mara kwa mara lkn mafundisho ya dini na imani vinatuambia tukiomba msamaha na kutubj, tunasamehewa.
Mama SSH, RJMT(PoURT), nakuomba umsamehe Sabaya.
Manake kwanza nichekeeeWale waliojeruhiwa na kuporwa mipesa yao itakuwaje? 100m wengine 90mil daaaaa