Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Tusiseme SABC bali tumlenge huyo Mama mwenye hoja. Sioni shida kupata ushauri kutoka kwa world reknown PR guru juu ya COVID 19 stance and other international relations issues especially kwa nchi ambayo 5 years ilichafuka kidiplomasia.Shirika la habari la South Africa walikuwa na mjadala kuhusu Mama Samia kumteua Tony Blair kuwa mshauri wake.
Hoja ya wachambuzi haikuwa kwa nini Tony Blair Bali ilikuwa credibility ya Tony Blair.
Wanasema Tony Blair hana credibility, hivyo kumteua kuwa mshauri ni kosa na wanashangaa imekuwaje Tanzania nchi iliyopigania ukombozi kufanya kitu kama hicho.
Mimi binafsi kwenye hili sijui hata nisimamie wapi maana sijui pa kuanzia, ngoja tuendelee kusubiri wajuvi wakilichambua kwa hoja.
View attachment 1987100
Whether Tony Blair aliunga mkono vita vya Ghuba kwa kumsapoti USA hilo ni suala jingine na halimfanyi asiwe consultant mzuri kwenye firm yake.
Lastly SA wana matatizo makubwa sana ya uchumi kuwa mikononi mwa weupe wachache, huku wao wanishia kuwa walevi na wavivu. At the same time migrant labour toka Zimbbwe, Mozambique na nchi zingine za kusini wakipata kazi na kutajirika wanawachukia na kuwafukuza au kuwaua.