SABC washangaa Rais Samia kumteua Tony Blair kuwa mshauri wake

Tusiseme SABC bali tumlenge huyo Mama mwenye hoja. Sioni shida kupata ushauri kutoka kwa world reknown PR guru juu ya COVID 19 stance and other international relations issues especially kwa nchi ambayo 5 years ilichafuka kidiplomasia.

Whether Tony Blair aliunga mkono vita vya Ghuba kwa kumsapoti USA hilo ni suala jingine na halimfanyi asiwe consultant mzuri kwenye firm yake.

Lastly SA wana matatizo makubwa sana ya uchumi kuwa mikononi mwa weupe wachache, huku wao wanishia kuwa walevi na wavivu. At the same time migrant labour toka Zimbbwe, Mozambique na nchi zingine za kusini wakipata kazi na kutajirika wanawachukia na kuwafukuza au kuwaua.
 
Huo ni wivu tu,tony ni mjanha sana katika kutafutia nchi miradi na fedha

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Upo nchi gani wewe..? Hii picha si ya mwaka huu huyo muisrael ndo anaongoza ile tour ya mama ya kuutangaza utalii.. lile igizo sijui litatoka lini.

Hakuna utata hapo...😂
Hio style ya kushikana mikono haina utata??
 
Hivyi Corona ya Tanzania kweli ni ya kutafuta mshauri? Kumbe hiyo tume ya Corona ilikuwa na mazuzu watupu, ndio kaamua kuajili mzungu ambaye hata siyo daktari?

Atalipwa shikingi ngapi?
Huku ni kujipendekeza kwa wazungu matapeli.

Mzee wa Msoga unamuharibia Sana huyu mama.
 
Hoja ya Tonny Blair haiishii hapo tu. Blair ndio alituuzia rada kwa Bei kubwa hadi waingereza wenzake wakaingilia kati
 
Uchambuzi mzuri unaoonyesha dalili zote za mtu aliyesoma halafu akaelimika. Nakuombea Mama akukumbuke siku moja hata kwenye post ya ubalozi mdogo ili ukasaidiane na Balozi wetu huko New York City
 
Bahati yako enzi ya JIWE ungewekwa kwenye kiroba!!! Mama amewafungulia sasa mnajinafasi sio nyie mabwege?
Ingekuwa hivyo humu kusingekuwa na watu kabisa. Jf imebaki salama siku zote, ndio maana hata wakati wa Jiwe tulimtukana vizuri tu humu.
Mama hajamfungulia yoyote, ukitaka kujua hilo tumia jina halisi Facebook au Instagram uone Kama atakuacha.
Juzijuzi tu katoka kukamatwa mchora katuni, yule daktari n.k
 
😁😁 Eti kwny Pandora yumo kaficha pesa zake za kula rushwa?Mlipoambiwa elimu elimu elimu mlibisha.Jifunze tofauti Kwanza Kati ya Tax Avoidance vs Tax Evasion.
 
Uchambuzi mzuri unaoonyesha dalili zote za mtu aliyesoma halafu akaelimika. Nakuombea Mama akukumbuke siku moja hata kwenye post ya ubalozi mdogo ili ukasaidiane na Balozi wetu huko New York City
Muongo huyo anasema kipindi Cha mkapa Tony Blair katusaidia kupunguza madeni wakati ndio alituuzia rada kwa Bei kubwa hadi waingereza wenzake wakaingilia Kati.
 
Hiyo TV inaongoza kwa ubaguzi walimfukuza kazi Robert Malawa kisa baba yake alikua Mzimbabwe na pana mpasuko na rushwa za kumwaga hapo ipo Tume iliundwa kuchunguza matatizo ya SABC sijafatilia majibu yake na taarifa za Xenophobia kipindi mashaba ndio meya wa Johannesburg hiyo TV ndio walikua wasambazaji wakuu wa uchochezi zile fujo hata mambo ya ukabila sijui Wakhosa na Wazulu zipo hapo siwafatilii kama TBC tuu wahuni hao...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…