Sabuni ya jamaa na Tanzania ya viwanda

Point yako ni nini hasa ndugu? Unataka kusema serikali ndio imefanya viwanda vya sabuni visitengeneze bidhaa bora itakayoshindana katika soko la kimataifa? Nafikiri na sekta binafsi ina nafasi yake katika uboreshaji wa teknolojia na ubunifu.
 
Unilever ni third part company.anakuwa kama master supplier wa bidhaa nyingi.sio kwamba ndio watengenezaji
 
Nilichokiona katika uzi huu ni kwamba watu wameathiriwa vibaya na siasa kiasi cha kwamba baya lolote lile nchini basi lazima siasa ihusike. Sasa huu si werevu bali ni ujinga.
 
Kitu kingine Tanzania ni big consumer hivyo serikali km ina nia ya viwanda ijaribu kufanya ushawishi kwa baadhi ya makampuni makubwa kama jamaa kuja kufunga viwanda vyao huku ikiwa itatoka malighafi kutoka nje zitatozwa kodi kubwa kuingiza. Mimi naamini vitu vinavyotoka kenya ni very quality kuliko vya tanzania.kuanzia brookside,maziwa mazuri yale huwezi kufananisha na azam.

Au toss sabuni ya unga ufananishe na puff sijui ya mo dewji yaani very low quality kbs.au mafuta ya kupikia ya fresh fri ufananishe na safi yaani tofauti kabisa.mtanzania hajali quality anajali quantity tu!mi nshaachaga kutumia vitu vya kibongo bongo hata wali nakula pishori tu!huu mchele unaambiwa wa mbeya kula wanamix na kitumbo
 
Sio sabuni tu,hata madawa na bidhaa zingine wenzetu wako vizuri,sisi ubabaishaji mwingi
 
Wametoa nyinhine inaitwa whitewash nayo ni bora kuliko jamaa, na bado wanaile takasa kwa hyo 1 ya kwao,2 ya kwao 3 pia yakwao
 
Kuna sabuni inaitwa "White wash" ya kipande, ipo vizuri japo cjui ni ya tz au kenya
 
Hivi kwann mnadharaugi toothpicks? Ungejua technology ya kuzitengeneza ilivyo ngumu ni mara 100 kuliko kutengeneza sabuni.
Sabuni hata watoto wangu wa darasa la nne kuna siku wakiamuaga wanatengenezea jikoni na tunafulia vizuri tu
Hakuna mtu aliyedharau kitu hapo mkuu,just facts tuu ,tatizo letu ni kwamba hatufanyi kitu to perfection,thats all,so iwe sabuni,stics or anything,thats what i ment mkuu
 
Mo Dewj alitengeneza sabuni kama Jamaa but ubora wake ulikua hafifu sana, hakudum hata sokoni.
 
Huenda ukawa sahihi kwa mtazamo wako.
 
Hii sabuni ya mbuni enzi za Chama kushika hatamu hazikuwa nyingi madukani. Tuliuziwa kwa ratio pamoja na sukari batterries, khanga na vitenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…