Sabuni ya jamaa inayotengenezwa nchini Kenya imekuwa ikifanya vizuri sana kwenye soko hapa Tanzania kwa miaka mingi sasa, kiasi ambacho imezifunika sabuni nyingi sana za kufulia hapa nchini.
Swali langu ambalo nataka kuwauliza wadau, je, ni kweli watanzania wameshindwa kabisa kuanzisha viwanda bora vya ku-compete na sabuni ya jamaa?...kwa nini tuendelee kuwanufaisha majirani zetu miaka yote hiyo?
Swali langu ambalo nataka kuwauliza wadau, je, ni kweli watanzania wameshindwa kabisa kuanzisha viwanda bora vya ku-compete na sabuni ya jamaa?...kwa nini tuendelee kuwanufaisha majirani zetu miaka yote hiyo?