Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hapa naona umeamua kuleta taarifa ya furaha, badala ya kinyume chake.Nimepita kwenye mitandao nikakutana na Taarifa ya Msiba wa SACP Beatus Silla ambaye mauti imemkuta akiwa MOI hapo jijini Dar. Kilichonifikirisha ni aina au namna watu/ wachangiaji wengi wakionyesha kufurahishwa na kifo hiki cha Askari wa Polisi.
Nawaomba Polisi, tuangalie sana mwisho wetu vile utakua, unaacha jina gani siku mauti yakikufika? Hii ni hatari sana kwa nchi.
View attachment 3229099
Amen, kila nafsi itaonja mautiApumzike Kwa Amani
Kha, kumbe? Mpwa huu ni msiba ujue, huyu nae ana familia na ndugu ujueHapa naona umeamua kuleta taarifa ya furaha, badala ya kinyume chake.
AmenDaah!! Mzee wetu, apumzike kwa amani..
Kwanini familia ilikuwa haimuonyi kutotumika kuminya haki za wapinzani?Kha, kumbe? Mpwa huu ni msiba ujue, huyu nae ana familia na ndugu ujue
Nimepita kwenye mitandao nikakutana na Taarifa ya Msiba wa SACP Beatus Silla ambaye mauti imemkuta akiwa MOI hapo jijini Dar. Kilichonifikirisha ni aina au namna watu/ wachangiaji wengi wakionyesha kufurahishwa na kifo hiki cha Askari wa Polisi.
Nawaomba Polisi, tuangalie sana mwisho wetu vile utakua, unaacha jina gani siku mauti yakikufika? Hii ni hatari sana kwa nchi.
View attachment 3229099
Kazi ya CCM hioOkay.
Lakini kweli kabisa kwamba Wananchi wengi Sana huwa wanajihisi kuwa ni wenye furaha mioyoni mwao pale wanapopata taarifa ya kifo Cha Askari Polisi yoyote yule. Hii ni kutokana na matendo maovu ya baadhi ya Askari Polisi dhidi ya Raia na Wananchi wa kawaida.
Propaganda za Chuki wanazofanya Jeshi la Polisi ndio chanzo cha kuibuka kwa tatizo hili.
Now they are reaping what they sowKazi ya CCM hio