TANZIA SACP Beatus Silla wa Polisi Makao Makuu hatunae tena

TANZIA SACP Beatus Silla wa Polisi Makao Makuu hatunae tena

Huko makao makuu! Alikuwa kwenye kitengo Cha walikuwa bench!
Pressure itakuwa inamsumbua kwa kukosa Urpc
 
Sio lila kifo kina machozi mkuu.
Ref. Kifo cha JIWE. hakikuwa na machozi kwa watu wengi. Mie nikiwa m1 wao
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa hapo chini:
 

Attachments

  • 20250208_152251.jpg
    20250208_152251.jpg
    203.1 KB · Views: 2
Nimepita kwenye mitandao nikakutana na Taarifa ya Msiba wa SACP Beatus Silla ambaye mauti imemkuta akiwa MOI hapo jijini Dar. Kilichonifikirisha ni aina au namna watu/ wachangiaji wengi wakionyesha kufurahishwa na kifo hiki cha Askari wa Polisi.

Nawaomba Polisi, tuangalie sana mwisho wetu vile utakua, unaacha jina gani siku mauti yakikufika? Hii ni hatari sana kwa nchi.
View attachment 3229099
Kumbe na wao wanafariki?
Hata wakifariki woote hao jamaa licha ya kwamba nina ndugu ambao pia ni police mimi sherehe tu.
 
Okay.
Lakini ni kweli kabisa kwamba Wananchi wengi Sana huwa wanajihisi kuwa ni wenye furaha mioyoni mwao pale wanapopata taarifa ya kifo Cha Askari Polisi yoyote yule. Hii ni kutokana na matendo maovu ya baadhi ya Askari Polisi dhidi ya Raia na Wananchi wa kawaida.
Propaganda za Chuki wanazofanya Jeshi la Polisi ndio chanzo cha kuibuka kwa tatizo hili.
Unajua wanasiasa wetu hawajifunzi au hawapati somo kabisa , yale mauaji kama ya Mkuranga na Kibiti yakirudi sasa hivi Polisi watapata tabu sana

Ni wakati wa kurekebisha makosa yao sasa vinginevyo litatokea genge tena na likishaungwa mkono na wananchi tu basi imeisha
 
RIP. Amefia MOI,kwani akipata ajali,ilikuwaje?
Na kwa nini watu wamefurahia kifo chake?
Mi sijawahi kumsikia huyu mtu.
Hii timing of Heaven,we notice it again and again.
Wakati Polisi wako katika ulinzi mkali,mmoja wao anafariki.
It was such a massive security operation.
Nilikuwa naziona helicopter zinapita hapa tena na tena flying very low and very slowly 10 or 29 metres above the ground.
A lot of money is invested in these meetings.
Yote hiyo kuhakikisha unaleta relief to those civilians who are caught in the cross fire of battle.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa hapo chini:
Unajua wanasiasa wetu hawajifunzi au hawapati somo kabisa , yale mauaji kama ya Mkuranga na Kibiti yakirudi sasa hivi Polisi watapata tabu sana

Ni wakati wa kurekebisha makosa yao sasa vinginevyo litatokea genge tena na likishaungwa mkono na wananchi tu basi imeisha
Hali ni mbaya sana kupita kiasi.

Tazama Comments za Watu kuhusiana na masuala haya ya Vifo vya Askari Polisi hapa Tanzania.
 

Attachments

  • Screenshot_20241002_190422_Lite.jpg
    Screenshot_20241002_190422_Lite.jpg
    613.9 KB · Views: 2
Back
Top Bottom