Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siro ana tabia ya kununanuna ?Sirro atamnunia huyu jamaa.
Vetting ya Aina yako itatupatia viongozi wa ajabu...vetting ni process siyo unamsikia mtu anatoa speech halafu unaishia hapoKma mimi ndo nafanya vetting basi this hyu anafaa kuwa askari mkuu wetu.
Alaa ndo huyu sio
Kweli mchambuzi huna makali ya kuchambua.Sirro atamnunia huyu jamaa.
Kumbuka, turufu ya ccm ni ujinga!! hivyo polisi Kama huyu, hana nafasi kwa maccm.
Na Mimi nashangaaVetting ya Aina yako itatupatia viongozi wa ajabu...vetting ni process siyo unamsikia mtu anatoa speech halafu unaishia hapo
Umeangalia Part aHuyu mzee ana akili sana aiseee
MUNGU ambariki sana.
Hili ni Jambo la kumshukuru MunguYote kwa yote nimshukuru Mungu kwamba kabla sijafa nimefanikiwa kumsikia polisi nwenye akili Tanzania hii akiongea kwa busara na hekima
Sio kwa kiwango cha weledi wa huyu Askari.Wanabadilikaga hawa anavyozidi kupanda cheo na wingi wa molasisi unaongezeka kichwani na ubongo unayeyuka mwisho wa siku kichwa kinajaa molasisi na ndipo tatizo linapoanzia