SACP Engelbert Kiondo - Kamishna mwandamizi msaidizi wa polisi anatakiwa kuwa IGP

SACP Engelbert Kiondo - Kamishna mwandamizi msaidizi wa polisi anatakiwa kuwa IGP

Anaweza kuwa anafaa sana.Lakini msisahau nchi hii maaskari wetu wa ngazi za juu wanafanya kazi kwa presha kubwa kwa maagizo ya hovyo kutoka kunakoitwa juu.
 
Yote kwa yote nimshukuru Mungu kwamba kabla sijafa nimefanikiwa kumsikia polisi nwenye akili Tanzania hii akiongea kwa busara na hekima
Hii hotuba iweke lamination
Inafaa kuombea Mkopo bila riba huko WB na IMF
Hotuba kama hizi hutokea kila baada ya miaka 45 hasa kwenye hilo jeshi
 
Anatakiwa na nani? Sema anaweza kuwa IGP.
Lakini yote inategemea seniority aliyo nayo.
Wiki iliyopita tulikuwa tunàambiwa Susan Kaganda practically ameshakuwa IGP.
 
Ukiona majambazi, wauza unga na wahalifu wanapendekeza au wanatuchagulia igp basi ujue kuna kuna jambo lao. Ogopa sana.
 
Huyu bwana ni kichwa hapendi kuyumbishwa vichwa vya namna hii ccm inaogopa vitafanya mapinduzi
 
Haifai hata kwenye nafasi aliyonayo sasa. Ukisikiliza vizuri utagundua kuwa hana anacho simamia isipokuwa anajiona yeye ndiyo anaelewa na yeye ndiyo mwenye haki. pia ana siasa za ukada. Tunataka polisi mwenye intelegence na uwezo wa uongozi kama alivyokuwa afande Said Mwema na siyo aina hii ya polisi amabao ni makada. wanaendesha shughuli za kipolisi as if tupo chini ya ukoloni.
 
Haifai hata kwenye nafasi aliyonayo sasa. Ukisikiliza vizuri utagundua kuwa hana anacho simamia isipokuwa anajiona yeye ndiyo anaelewa na yeye ndiyo mwenye haki. pia ana siasa za ukada. Tunataka polisi mwenye intelegence na uwezo wa uongozi kama alivyokuwa afande Said Mwema na siyo aina hii ya polisi amabao ni makada. wanaendesha shughuli za kipolisi as if tupo chini ya ukoloni.
Well said
 
You are missing the point...Mimi nazungumzia concept sijasema au kuzu gumzia vetting inavyofanyika Tanzania...una jazba Sana Kama ilivyo kawaida ya Ma-Chadema...
Kwangu mimi Tanzania kwa Sasa viongozi wetu wengi hawapatikani kwa vetting. Spoils system ndiyo inayotumika yaani kutunikiwa nafasi za uongozi kwa kujuana, na. Ukada kichama...vetting system ilitumika zaidi wakati wa Nyerere na kidogo Mwinyi...na pengine kidogo Mkapa...kwa Kikwete haikuwepo vetting, kwa Magufuli hakuna vetting..kwa Mama hakuna pia

@gogondwa
Japo ni CCM lakini umeongea point sn
 
Back
Top Bottom