Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Rayvanny bet kachukulia nje ya ukumbi..Sasa ndomana nikakwambia burnaboy anauspecial gani kumzidi rayvanny...?kuanzia kutambulika kimataifa na kadhalika...?unajua kuwa BET ya Kwanza rayvanny kachukua 2017, burnaboy BET ya kwannza kachukua 2019...?Sasa Nani zaidi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hivi ni kweli?Rayvanny bet kachukulia nje ya ukumbi..
Burna boy bet kachukulia ndani ya ukumbi..
Kuna tofauti kubwa sana hapo
Unalazimisha kwa vigezo vyako ulivyojitungia.Yani wabongo bhana Ni empty set.Sijasema kuchukua,walau baba lao au jeje iwe recognizable kwenye nomination.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mwalimu wako aliteseka sana.Hapa umeongea fact,it means The weekend, Diamond,Rayvanny na Zuchu ni level moja.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app