Sad Truth: Sijivunii na mama wa mtoto wangu

Mwangu legend pole sana sana sema kuna msemo nimesoma kw stry yk sijawahi usikia ( mtoto alikuwa anakuwa kwny kiuno duh hatari)
 
Alaf sio kusema ni mbovu hapana. Mimi mwili wangu ni mdogo, alaf yeye ni mnene na amepanda hewani, alafu mweupe. So mtu yeyote ukimwambia nilikuwa napush ule mwil, ni ngumu kuamini. [emoji28][emoji28][emoji28]
Hahaha dingi hatari sana

Nisipojitetea hapa nitakunya tena[emoji1]

Kwa hiyo mkuu harufu ya niniliu baba na mama hawakuisikia ili wakwambie ukaoge/jisafishe?
 
Ahsante sana kwa stori Legend.

Stori imepiga kila engo(imeburudisha, imeelimisha, imestaajabisha, imeogopesha, imevutia n.k)
 
Dah!! Mwanangu we ni msimulizi mzuri kinyama [emoji23][emoji1787]

Umenikunbusha kisa kimoja hivi, enzi hizo nasoma Kurasini shule ya msingi, nilikuwa nina mwanangu kwao keko, dingi yake anapiga kazi bandari, dingi ni mtu fulani yupo simple, dingi kijana, shingoni ana nyororo ya silva, yule mzee kwa masimulizi ya rafiki yangu alikuwa hashiki fimbo kuchapa mtoto ni mabanzi tu, na hata kaka zake huwa anawagonga tu hachagui umri.

Sasa siku hiyo tumetoka kiskuli mie ubao unagonga akaniambia tupitie maskani tukabonyee kisha ndio nipande gari niende home(kigamboni)

Kufika kwao tunamkuta mzee yupo sebuleni kavimba kimtindo, maana hakunichangamkia kiviiile, kama kawaida yake maana alikuwa ananikubali kinyama jinsi ninavyogonga namba(hisabati) nikahisi kuna jambo, tukampa hi, tukaingia sehemu ya kubonyea.

Ghafla tunasikia kamzozo kuchungulia dingi anawaka kinyama, kumbe braza wake mkubwa alizingua siku hiyo. Sikuwahi kumuona yule mzee kavimba kama vile, japo habari zake nilikuwa nazisikia tu. Nikaona hili chezo halinipiti bure, mwanangu nae akawa kasimama tunachungulia kupitia kale kadirisha ka kupitishia msosi. Upande wa pili naona bimkubwa wake yupo anashuhudia mchezo.

Chezo likaanza mzee kaongea maneno mawili matatu, akaweka banzi la kwanza, akaweka banzi jingine, mabannzi mfululizo, braza akaona nitakufa akawa anaona nitakufa bure, akawa anapangua pangua, mzee akawa anapiga anauliza unataka kupigana, akakunja ngumi sasa yule braza sijui bangi nae akakunja, zikapigwa mbili 3, braza akabahatisha mbili, 3 zikawa zimeingia kwa dingi,nikaona leo mzee anaumbuka dingi hakulalamika akajipanga vizuri, ebana eeh, yule mzee vilimtoka vitu, alipiga ngumi mithili ya rashidi matumla kwenye ubora wake, braza mtu akatoa sauti hafifu mama nakufa, sijui alikula gumi la mbavu[emoji23][emoji1787]
Bimkubwa akaona eeh, asiniulie mwanangu, tumbo la uzazi nahisi lilimcheza kidogo[emoji23][emoji38]

Braza kupata upenyo nduki nene, maza analalamila baba nanii utakuja kuniulia mtoto, mzee likamtoka kubwa kum[emoji2959]ko, ina maana unampenda mwanao kuliko mimi, mbona aliponipiga ulikaa kimya[emoji23], mzee akatoka,
Mwanangu anasema jamaa hakurudi ndani ya siku 3, kuja karudi na baba yake mkubwa kusolve lile swala[emoji23]

Mzee alipiga mithili ya mike tyson
 
Kuna washua hawachapi bakora, wao ni vitasa tu [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…