Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Ukifa, majukumu yako yanakuwa yameisha.Binadamu kila ahsubuhi huwaza jinsi ya kuifanya future yake kuwa poa
Hujua kuna mambo ya lazima kabisa yatamtokea mf. njaa, kuumwa au kuokota mchumba barabarani n.k
Hujiandaa kwa kutembea na kinga, kuwa na bima na pesa ya kula
Lakini kifo kipo mbele yetu na tunajua ni lazima kije kwanini tusijiandae kama tu tunashindwa kujiandaaa kwa kujitakasa basi tununue
-jeneza
-sanda
Na tibook sehemu ya kuzikwa
Msisumbue watu ikiwezekana weka na bajet hata ya 1M kabisa alafu hapo unahaki ya kula rambirambi zako au kuwaachia watoto
SawaaaBinadamu akifa amekufa tu, mbwembwe za kaburi za nini?
Ukifa unaweza kutupwa porini uliwe na wanyama, au utupwe mtoni uliwe na mamba yote ni maziko.
Si lazima kuvaa sanda wala kuwekwa kwenye jeneza, kuzikwa Kuna namna nyingi mkuu.
Kama ulijiwekea hazina kwa unaowaacha, yaani utu, kujali, kupenda wengine, kuwajibika,basi utazikwa kwa heshima hakuna haja kujiandalia hicho uitacho makao
SawaaUkifa, majukumu yako yanakuwa yameisha.
Yaliyobaki, watafanya uliowaacha
Halaf cha kushangaza mtu anafanya sherehe ya kuzaliwa badala ya kujijengea kaburiBinadamu kila ahsubuhi huwaza jinsi ya kuifanya future yake kuwa poa
Hujua kuna mambo ya lazima kabisa yatamtokea mf. njaa, kuumwa au kuokota mchumba barabarani n.k
Hujiandaa kwa kutembea na kinga, kuwa na bima na pesa ya kula
Lakini kifo kipo mbele yetu na tunajua ni lazima kije kwanini tusijiandae kama tu tunashindwa kujiandaaa kwa kujitakasa basi tununue
-jeneza
-sanda
Na tibook sehemu ya kuzikwa
Msisumbue watu ikiwezekana weka na bajet hata ya 1M kabisa alafu hapo unahaki ya kula rambirambi zako au kuwaachia watoto
Kweli maana mtu anakufa Watu wanaanza kujipa Kazi zinazowazidi uwezo Mara kuchangishana tumzike wapi na mawalama mengi na kukosana juu.Binadamu kila ahsubuhi huwaza jinsi ya kuifanya future yake kuwa poa
Hujua kuna mambo ya lazima kabisa yatamtokea mf. njaa, kuumwa au kuokota mchumba barabarani n.k
Hujiandaa kwa kutembea na kinga, kuwa na bima na pesa ya kula
Lakini kifo kipo mbele yetu na tunajua ni lazima kije kwanini tusijiandae kama tu tunashindwa kujiandaaa kwa kujitakasa basi tununue
-jeneza
-sanda
Na tibook sehemu ya kuzikwa
Msisumbue watu ikiwezekana weka na bajet hata ya 1M kabisa alafu hapo unahaki ya kula rambirambi zako au kuwaachia watoto
KweliHalaf cha kushangaza mtu anafanya sherehe ya kuzaliwa badala ya kujijengea kaburi
KabisaKweli maana mtu anakufa Watu wanaanza kujipa Kazi zinazowazidi uwezo Mara kuchangishana tumzike wapi na mawalama mengi na kukosana juu.
MTU weka plan
Kesho Yako Ni muhimu Sana kuiwazia
Kweli kabisaWewe umeandaa?
Jamii zinachukulia kama uchuro hivi,si unaona hata ilivyo kwenye kuandika wosia!
Hata hili la kuandika kitabu cha historia ya maisha yako mwenyewe angali upo hai nalo kwa wengine ni mwiko.