Sadaka itakayokuokoa siku ya Tabu

Sadaka itakayokuokoa siku ya Tabu

Hata kipindi cha manabii walioandikwa katika vitabu vyote vitakatifu....Kuna WAPUMBAVU waliwapinga.
 
Hata kipindi cha manabii walioandikwa katika vitabu vyote vitakatifu....Kuna WAPUMBAVU waliwapinga.
IPO Roho ya Ibilisi nyuma ya wanaopinga watu wasitoe sadaka na ZAKA.

Na wengi ni agents wa shetani, wao wanatoa sadaka Kwa Mizimu na Waganga na wanampa shetani vingi lakini wanawarubuni Wana wa Mungu wasitoe Ili waendelee kukaa kifungoni.

Mungu atusaidie.
 
Mtu mmoja,alimuuliza yesu ofanye nn ili niweze kuurithi ufalme wa mbinguni, akamwbia zitii amri 10 kumi za mungu. Yule mbwana akajibu haya yote niliyafanya tangu nikiwa bado mdogo je nifanye nn kingine? Akamwambia uza mali zalo na uwagawie masikini, hakusema peleka kanisani,hii ina maana sadaka hutoleqa kwa masikini wasiojiweza , uaipelwkw sadaka kanisani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ubarikiwe na BWANA Mungu.
 
Umesomeka vyema.
Changamoto ni pale watumishi wanapozitaka kibabe,na kujipa uhalali as if wamezitafuta wao.
Hii,huathiri utoaji sadaka&zaka makanisani.
Binafsi huwa naziona baraka directly nikiwakumbuka wazazi,wajane,yatima,wahitaji&baadhi ya watumishi ambao huwa naguswa kuwapelekea..tena wakiwa hawajaniomba mimi,ila wamemwomba Mungu aliyewaita.
 
Umesomeka vyema.
Changamoto ni pale watumishi wanapozitaka kibabe,na kujipa uhalali as if wamezitafuta wao.
Hii,huathiri utoaji sadaka&zaka makanisani.
Binafsi huwa naziona baraka directly nikiwakumbuka wazazi,wajane,yatima,wahitaji&baadhi ya watumishi ambao huwa naguswa kuwapelekea..tena wakiwa hawajaniomba mimi,ila wamemwomba Mungu aliyewaita.
Umenena vyema.

Mtumishi wa Kweli halazimishi watu Kutoa sadaka,

Wa Kweli humwomba Mungu waumini wabarikiwe, kisha waguswe mioyo Kutoa Kwa ajili ya INJILI.

Kabla hata hujatoa Kanisani, mwangalie Jirani Yako, ikiwa ana shida msaidie.

Jirani analala njaa msaidie chakula, Jirani anaumwa msaidie, Si vyema ukawasha gari ukapeleka sadaka km 15 Kanisani, ilhali Jirani Yako amelala njaa na Hana uhakika wa kula.

Ubarikiwe .
 
Umenena vyema.

Mtumishi wa Kweli halazimishi watu Kutoa sadaka,

Wa Kweli humwomba Mungu waumini wabarikiwe, kisha waguswe mioyo Kutoa Kwa ajili ya INJILI.

Kabla hata hujatoa Kanisani, mwangalie Jirani Yako, ikiwa ana shida msaidie.

Jirani analala njaa msaidie chakula, Jirani anaumwa msaidie, Si vyema ukawasha gari ukapeleka sadaka km 15 Kanisani, ilhali Jirani Yako amelala njaa na Hana uhakika wa kula.

Ubarikiwe .
Nimejifunza zaidi,barikiwa pia.
 
Umesema vyema mtumishi wa Mungu, lakini mbona Zaka ni 10% ya kile ulichopata
Salaam, Shalom!

INTRODUCTON.

Mungu ameweka sadaka kuwa kitu kinachoendeleza kipato Cha mtoaji maisha yake yote.

(Luke 6:38) Yesu asema, wapeni watu vitu,nanyi mtapewa, kipimo Cha kujaa, na kushindiliwa, na kusukwasukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu. Kwa kuwa kipimo kile mpimacho, ndicho mtakachopimiwa.

Ukipata Laki Moja, ukalipa ZAKA na sadaka 15000k Kwa Mfano, ukabaki na 85,000k matumizi, Ile 15,000k uliyotoa, Mungu huibadili kuwa 100,000k na kukupa tena next time Ili utoaji uendelee, na kamwe hutapungukiwa, usipofanya hivyo, uhitaji na Umaskini utakukumba.

Wapo watu wabaya, wengine agents, wanaodanganya watu wapuuze Kutoa sadaka na ZAKA.

Kila mtu anazo siku njema, na zipo pia siku za taabu mbele yetu, Leo nitazungumzia sadaka kama funguo Moja wapo muhimu itakayokutoa katika siku za taabu mbele Yako.

MADA: JINSI GANI SADAKA INAVYOWEZA KUKUSAIDIA WAKATI WA TAABU.

Mpendwa, tupitie shuhuda ZIFUATAZO zitakazoongeza Imani Yako na uhakika wa kupita salama wakati Ule mbaya.

SHUHUDA NO. 1

(Matendo ya mitume 9:36-43)

Hapa Petro, anamfufua Dorkas aliyekuwa amekufa baada ya kuombwa sana na watu waliokuwa wakinufaika na sadaka alizokuwa akitoa Dorkas. Na sadaka hizo, hazikuwa pesa, Bali alitoa nguo alizokuwa akishona na kuwapa wajane na watumishi na watu wengine Kwa Upendo.

Alipokufa, watu waligoma kumzika wakisema, Mama huyu hakustahili kufa sababu ya sadaka zake. Na Kweli, Petro alimwombea Kwa Jina la YESU na akafufuka na kurudi kuwa hai tena.

USHUHUDA No. 2

Mama mmoja aliyekuwa tasa, alimwomba Mungu apewe mtoto Kwa miaka mingi bila kuchoka, Ilipofikia muda wa Mungu kumjibu ombi lake, alimtuma Malaika wake aliyekuja nyumbani Kwa mwonekano wa mtu maskini, asiye na uwezo wa kukodi nyumba ya kulala. Mama yule pamoja na kuwa katika shida na uhitaji wa pesa, alimpokea mtu yule na kumkaribisha nyumbani Yeye na familia yake, walishiriki naye chakula na Kisha, walimpa chumba Cha kulala, na siku iliyofuata, mtu yule aliaga na kuondoka, hazikupita siku kadhaa, mama yule alishika ujauzito Kutoka Kwa mume wake wa NDOA na baada ya miezi tisa,alizaa mtoto wa kiume Kwa uwezo wa Mungu. Jiulize asingetoa sadaka Kwa kumkarimu mgeni, nini kingetokea?

USHUHUDA NO. 3

Mtu mmoja alizoea kuwapa chakula watoto yatima mtaani, Kila alipowaona, aliwaita na kununua chakula Kwa ajili Yao Kwa furaha, na hakuwa tajiri, HAPANA, alipenda kufanya hivyo kama sadaka yake Kwa BWANA sababu Yesu aliagiza kuwajali yatima na wajane.

Siku moja, Jirani ya mtu huyo aliyekuwa mshirikina, alimwendea Kwa mganga na Kutoa sadaka Ili mtu huyo auliwe kichawi, mganga alipokea sadaka na kutuma kundi la mapepo Ili wamtoe uhai.

Mtu yule alipokuwa amelala, aliota ndoto kuwa, kundi la mapepo wenye silaha wamekuja nyumbani kwake, walifika katika nyumba yake hiyo alivyokuwa akiishi pekeake, na baada ya mapepo hayo kufika, yalikwenda kitandani alipolala mtu yule Ili yamuue,

Cha kushangaza, kitandani, mapepo Kila yalipoangalia, alionekana mtoto mdogo amelala Badala ya mtu yule.

Mapepo Yale yalizunguka chumba kizima kumtafuta mtu yule na yasimwone na yakaondoka kumrudia mganga.

Mtoto yule aliyeonekana kitandani Badala ya mlengwa, ilikuwa ni ushahidi juu ya sadaka iliyofanyika msaada wakati wa TAABU, kuwa sadaka Kwa watoto yatima, ilimwokoa na MAUTI wakati wa TAABU.

USHUHUDA NO. 4

Baba mmoja wa familia, akapata uvimbe katika mguu wake, maumivu yalipozidi, Akaenda hospitali, baada ya vipimo, Daktari alimwambia baba yule kuwa, mguu wako unatakiwa ukatwe haraka maana una cancer inayokua Kwa Kasi sana.

Mtu yule, allimwambia daktari ampe muda Ili aishirikishe familia yake. Alipomshirikisha mkewe ambaye alikuwa mwana maombi, alimtia moyo na kumwambia tuombe, Mungu anaweza kukuponya cancer usikatwe mguu.

Waliomba Kwa siku kadhaa na mabadiliko hayakuonekana Kwa haraka, wakakubaliana kuendelea na maombi. Mtu yule siku moja akiwa njiani kuelekea kufanya check up ya mguu wake, akakutana na mtu mmoja njiani aliyemsimamisha na kumwomba pesa kidogo Ili anunulie chakula, mgonjwa yule wa mguu alimjibu Kwa hasira mtu yule akisema, Sina pesa Mimi, Mimi Nina matatizo na ninaenda hospitali, usinisunbue.

Alipofika hospitali, daktari alimwambia inabidi mguu ukatwe haraka, na Kweli akakubali mguu wake ukatwe na kupuuza maombi.

Kumbe, Mungu alikwisha sikia maombi yake walipoomba na mkewe, akamtuma Malaika ambaye ndiye mtu yule aliyemjaribu njiani Kwa kuomba sadaka kidogo ya CHAKULA na hakutoa, Malaika yule alikuwa amekuja na mguu mpya, spea Kutoka Mbinguni ambayo ingewekwa ikiwa angeshinda jaribu. Mtu yule alibaki na ulemavu na baadae alikufa Kwa cancer iliyorudi tena sehemu ingine. Sadaka ni muhimu, hata Ukiwa katika magumu, sadaka itakutoa katika magumu siku ya Taabu.

NB: Usisubiri nyakati za taabu ndo utoe sadaka, utakuwa umechelewa. Anza sasa.

Ikiwa hujampa Yesu maisha Yako, fuatisha Sala ifuatayo;

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE. NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO. AMEN

Amen.🙏
 
Mkuu Rabbon hongera sana kwa uzi wako, nimebarikiwa sana na hiyo sala ya toba, ingekua vyema kama hiyo sala ungeiweka kwenye kila thread yako humu, ata kama mtu mmoja atakiri kwa Mungu wetu ni ushindi mkubwa sana!!

Hakika tupo nyakati za hatari!!
 
Mkuu Rabbon hongera sana kwa uzi wako, nimebarikiwa sana na hiyo sala ya toba, ingekua vyema kama hiyo sala ungeiweka kwenye kila thread yako humu, ata kama mtu mmoja atakiri kwa Mungu wetu ni ushindi mkubwa sana!!

Hakika tupo nyakati za hatari!!
Ubarikiwe pia.

Thread nyingi nimekuwa nikiweka,

Na watu kadhaa wameokolewa na kumkiri Yesu kupitia maandiko Mungu anayonipa kuweka hapa.
 
Umesema vyema mtumishi wa Mungu, lakini mbona Zaka ni 10% ya kile ulichopata
AGANO la kale ZAKA ilikuwa 10%.

AGANO jipya ZAKA ni 100%, Mungu akamtoa mwanaye wa pekee,

Na Yesu Anamwambia yule tajiri, uza vyote ulivyonavyo Kisha wapewe maskini, ujiwekee hazina Mbinguni.

Sadaka na ZAKA AGANO jipya uongozwe na Roho mtakatifu. Si 10% pekee.

Ubarikiwe.
 
Lakini kafara kwa shetani mnatoa, unapoenda kwa mganga kupeleka kuku ndio sadaka
Wengine wanaua Hadi watoto wao Kwa kafara Ili wapate Mali za Giza.

Halafu hao ndio wa kwanza kudanganya watu wa Mungu wasitoe sadaka na ZAKA.

Mungu atusaidie Wana wa Mungu tuondokane na ukata Kwa Kutoa sadaka kufungua malango yetu ya kiuchumi,shukrani, na ulinzi katika siku za taabu.

Amen
 
Kuna kitabu nimeanza kukisoma kinaitwa RELIGIONS EXPOSED, aisee mpaka naanza kua na mashaka na Imani yangu na Kwa mbali naanza kumuelewa ndugu Kiranga
 
Hahaa. Kwa nini mkuu?

Tutaelewana tu polepole.
Jamaa ameongea vitu vingi sana vinavyofikirisha humo🤔 ndani. Mfano kama story ya Nuhu alivyoambiwa achukue pairs za wanyama awaweke kwenye safina. Inasemekana alikua middle east, sasa kuna wanyama wengine mfano polar bears , au kangaroo alikua anasafiri vipi hadi Australia kwenda kuwachukua nakuja kuwapakia? Na mfano mnyama kama tembo peke yake mmoja anakula tons of food per day same as rhino. Je, aliweza kustore chakula kiasi cha kutosha mfano kulisha species labda nne tu tofauti za rhino? And our God being all loving and merciful kwanini hakuna muua nyoka tusije wote kuja kua condemned? Na alivyomlaani nyoka kwamba atakua anatembelea tumbo, je before that alikua anatembea upright? Na nyoka kula dust is it true nyoka leo wanakula mavumbi? Bado naendelea kukisoma hiki kitabu aisee najifunza mengi sana. Mfano mamajusi waliiifata nyota iliyokua inatembea hadi ikawaonesha alipozaliwa masihi but in real sense nyota hazifanyi movement. Bado moyo unakua mgumu kusadiki what I have been told and my faith is based on fiction!
 
Back
Top Bottom