Kwa kweli kabisa Jumuia ya kikanda inayotufaa sisi ni EAC, hii ya SADC ni mwendelezo tu wa vugu vugu la ukombozi wa nchi za kiafrika ambapo manufaa tunayoyapata huko ni kidogo mno.
..DRC, Zambia, Malawi, na Msumbiji, ni majirani zetu walioko ktk jumuiya ya SADC.
..Naamini tukijipanga tunaweza kufaidika kwa fursa zinazopatikana ktk nchi hizo.