Kwa kweli kabisa Jumuia ya kikanda inayotufaa sisi ni EAC, hii ya SADC ni mwendelezo tu wa vugu vugu la ukombozi wa nchi za kiafrika ambapo manufaa tunayoyapata huko ni kidogo mno.
Habari wakuu.
Naomba kujuzwa faida za SADC kwa nchi yetu.
Labda uulize nchi yetu ina faida gani kwa SADC?Habari wakuu.
Naomba kujuzwa faida za SADC kwa nchi yetu.
Hizo nchi zote ulizo orodhesha tunapakana nazo hivyo tunanufaika nazo hata bila kuwa SADC, aidha muda si mrefu DRC itakuwa mwanachama la EAC...DRC, Zambia, Malawi, na Msumbiji, ni majirani zetu walioko ktk jumuiya ya SADC.
..Naamini tukijipanga tunaweza kufaidika kwa fursa zinazopatikana ktk nchi hizo.
Hizo nchi zote ulizo orodhesha tunapakana nazo hivyo tunanufaika nazo hata bila kuwa SADC, aidha muda si mrefu DRC itakuwa mwanachama la EAC.
Bila hata kuwa na Jumuia mbili za kikanda Mashariki ya DRC yote inahudumiwa na Tanzania kwa njia zisizo rasmi na hii ni kwa miaka mingi sana. Udhaifu wetu katika kutumia fursa zilizopo ikiwemo eneo la nchi yetu kimkakati ndio kikwazo kwetu kitaifa, ingawa wananchi mmoja mmoja kwa pande zote mbili wananufaika.tatizo liko kwetu sisi Watanzania.
we kuna faida za SADC umeziona?Tuacheni uvivu wa kufikiria . Soma kwanza ndiyo uje na maswali tuache kupenda drama kwenye kila kitu. Kama hujui kusoma tumia muda huu jifunze
Home | SADC
Official website about SADC, its Member States and Secretariat, thematic areas of SADC work and cross-cutting issues, news, events, opportunities, documents and publications.www.sadc.int
kuisoma SADC na faida zake haimaanishi kuwa ina faida. wewe kuna faida za SADC umeziona?Halafu mapumbavu kama hili lipo hapa JF na uzi wa kimatako namna hii?
Jitu limesoma O'Level,hili swali lipo kwenye Civics na tulifanya na kila mtoto alipata A
Eti still huyu mpumbavu alielipiwa ada hajui faida ya regional groupings kama SADC?
Rudisha ada ya mzazi wako kabisa,
Mapumbavu kama haya inatakiwa muuawe kabisa yaani!
Keshokutwa utakuja hapa kutuomba kura tukuchague uwe Mbunge,kichwa maji kama wewe,like really?
HakunaHabari wakuu.
Naomba kujuzwa faida za SADC kwa nchi yetu.
Tabia hiyo inatokana na mfumo wa elimu tulionao. Waalimu waliomfundisha walitumia kiboko na adhabu hata ukikosa moja kati ya kumi. Ndio maana badala ya kuelimisha mtu, anaanza na tusi au kumalizia nalo....Kutumia lugha ya kiswahili katika majukumu yake.
Asante kwa swali.
Jf tumekosa adabu
Mtu anauliza swali haijalishi ni jepesi au gumu badala ya kumjibu wanamshambulia tena kwa kejeli!
Tujifunze kuishi na kila kiumbe cha muumba
Hawa ndio wale darasani wanjiona bora hawataki wengine waulize swaliTabia hiyo inatokana na mfumo wa elimu tulionao. Waalimu waliomfundisha walitumia kiboko na adhabu hata ukikosa moja kati ya kumi. Ndio maana badala ya kuelimisha mtu, anaanza na tusi au kumalizia nalo....
Tutegemee nini kwa mwalimu anayefundisha na fimbo pembeni wakati mwanafunzi nae pamoja na madaftari na kalamu, ana dumu,fagio jembe na reki ?
Ugali una ubaya gani? Kwenu mnakula Nini Hadi useme NO to ugali?Jumuiya za wala Ugali hazina faida yoyote.
Sema NO to Ugali.
Haiwezekani jamii nzima ya wala Ugali ikashindwa kugundua hata Sindano,haiwezekani jamii nzima ya wala Ugali ikawa na Zero IQUgali una ubaya gani? Kwenu mnakula Nini Hadi useme NO to ugali?
Ukiimport gari ambalo kwa sehemu kubwa limetengenezwa SA unapata Msamaha wa tozo?Kuona faida inaategemea mtu na mtu
Mimi importer wa mizigo kutoka South Africa ambayo ipo SADC naona faida yake na exemptions zake kwa members
Sasa wewe huoni ni wewe,mtu na mtu.
Hii kitu ni subjective,kwavile huoni wewe unatuaminisha na wengine eti hakuna faida kwa sisi wote which is not true.