SADC yapinga sheria mpya ya Marekani kuhusu uhusiano wa Afrika na Urusi

SADC yapinga sheria mpya ya Marekani kuhusu uhusiano wa Afrika na Urusi

Mkuu humo yumo SA ilo tulilitegemea.Na Ukiona hivyo tayari wameomba mzigo wa mbolea na Wese.Wakati huu ni wakuacha kila mmoja apite njia yake.
soon mtarud west mkiomba misaada , somo la maslai kwa waafrika lipo chini sana , majiran wa urusi wanamkimbia hlf sisi waafrika ndo tunamkimbilia
 
Afrika tumeshachelewa kuvimbiana na mataifa ya magharibi......haya mambo wao waliyawaza miaka mingi nyuma ndio tunashtuka Leo.......Hizo kauli haziakisi utashi wa nafsi zao...
 
Jakaya Kikwete kala shavu tena. Hongera Mzee wetu.
 
Marekani anajikuta nani sijui! ni muda wa kila mtu kusimama kama mwanaume na kuamua maamuzi yako na sio kuambiwa nini cha kufanya na mwanaume mwenzako.

ебать америка.
Ukiona umoja dhaifu kama huu hapa duniani Sadec umeanza kupinga matakwa ya USA ujue tayari ushawishi wake umefukia kikomo.
Russia kaweza kupindua meza.

Kwa hiyo North America watafuata,Asia na hatimae Arabs.
 
Ukiona umoja dhaifu kama huu hapa duniani Sadec umeanza kupinga matakwa ya USA ujue tayari ushawishi wake umefukia kikomo.
Russia kaweza kupindua meza.

Kwa hiyo North America watafuata,Asia na hatimae Arabs.
wenzio wanapigania maslai nyiny akili zimekaa kimipasho , angalia wanaomuunga mkono Urusi ni wale wenye maslai binafs kwenye ukanda wao mf Brazil , SA , Iran , India , China , N.Korea nk haya mataifa wala hayajali haki na usawa wanajua anachofanya Urusi ni kosa ila wanangalia maslai yao kwanza , sisi ni host na tunajichagulia tuliwe na nan ! ( hapa ndipo nawadharau waafrika hii likuwa fursa ya kuwabana west na kusigb nao mikataba yenye maslai kwetu badala yake tunaenda kwa wenye njaa ambao watatubana kama hawa tunaowakimbia , mataifa yenye akili yana anza kufanya biashara kwa mikataba yenye utashi kwao pia maana wkt huu wazungu hawawez kuleta janja janja. Afrika bado tunahitaj miaka 100 mingine tutawaliwe tukipewa tena uhuru tutakuwa na akili kichwan
 
Fafanua tafadhali.
alie chin akupandish juu , hao uchina na urusi waliish vzr na walio juu ndo wakapanda mpk hapo walipo , waafrika kweny huu mgogoro hatujui kwann tupo upande wa Urusi
 
Kama ilivyo kwa kawaida yake kwa Marekani kujipa namlaka ya kumwambia kila mtu cha kufanya na ambacho si cha kufanya. Safari hii hilo limegonga mwamba kwenye kikao cha wakuu wa nchi za SADC kilichofanyika huko DRC Kinshasa.

"Si vema na haki kwa nchi za Afrika kuingizwa kwenye mzozo ambao hatuna masilahi nao" sehemu ya waraka huo ulisema.

Kitendo cha kulazimisha bara hili kuwa na uhasama na uadui na Urusi ambayo hatuna sababu ya kuilfanya hivyo inainyima Afrika haki ya kushirikiana na yeyote tunaye mtaka.

========

KINSHASA. The Southern African Development Community (Sadc) is unhappy with the decision that the US government was taking against Africa in its [the US’] effort to isolate Russia from the rest of the world.

In a communiqué, adopted during the 42nd Ordinary Sadc Summit of Heads of State and Government in Kinshasa, Democratic Republic of Congo (DRC), leaders of the 16-member southern African bloc castigated a recent US law against Russia in Africa, saying the continent was being unfairly targeted.

“Summit expressed its dissatisfaction against the continent being targeted for unilateral and punitive measures through the ‘Countering Malign Russian Activities in Africa Act’ that was recently adopted by the United States House of Representatives…,” the communiqué reads in part.

It states that Sadc leaders reaffirmed its principled position of non-alignment to any conflicts outside the continent and directed that the matter be included in the agenda of the African Union.

Under the Countering Malign Russian Activities in Africa Act, the US Secretary of State, using “detailed intelligence,” is directed to identify in Africa “local actors complicit in Russian activities.”

In turn, the US may seek to punish those actors in a manner that it deems fit, including through sanctions and in any other way as decided by the US.

Though the so-called “local actors complicit in Russian activities” may only be in line with the US’ definition, what is vivid is the fact that Russia is one of the largest suppliers of arms to Africa, with some estimates saying that the country provides almost half of the continent’s military hardware. The US law comes at a time when most of Africa has largely chosen to remain neutral in its approach to the Ukraine war.

For instance, in April when the UN General Assembly voted to suspend Russia’s membership of the Human Rights Council over the war in Ukraine, it was only 10 out of 54 African states that voted in favour of the resolution, whereas nine were opposed, and 35 abstained or were absent.

But during her recent tour of Africa, the US Permanent representative to the UN Linda Thomas-Greenfield cautioned African countries to stop engaging with sanctioned countries like Russia.

“But I would caution that countries should not engage with countries that have been sanctioned by the United States,” she said in her media engagement during the recent visit.

Ms Thomas-Greenfield’s trip came shortly after Russian Foreign Minister Sergei Lavrov had completed his tour of four African countries - Uganda, Ethiopia, Egypt and the Congo Republic, where he met leaders and rallied the continent to become Moscow allies.

During Mr Lavrov’s visit to Uganda, President Yoweri Museveni extolled Russian-African friendship and the key role that the world’s largest country [Russia] played as a partner in the struggle against colonialism in Africa.

“Whenever issues come up and some people want us to take positions against Russia, we say ‘but you people, these people have been with us for the last 100 years, how can we be automatically against them?’” Museveni said in July.

“We have even forgiven our former enemies, the colonialists, the ones who have colonised us, the ones who had actually taken slaves from here and who did bad things. We have forgiven them and we are working them,” he said.

“I am pro-myself. And I deal with other people according to how they relate with my own interest,” he said.

But according to Ms Thomas-Greenfield, it was not the US’ duty to make choices for African countries in whatever manner they choose.

“We’re not asking Africans to make any choices between the United States and Russia – for me, that choice would be simple – to look at the long, abiding relationship that we’ve had with the continent, the US investments on the continent of Africa, and for African countries not to buy into Russia’s disinformation and misinformation campaign to indicate that somehow this is a war between the United States and Russia,” said Ms Thomas-Greenfield on August 2 ahead of her trip.

Meanwhile, issues pertaining to peace and security took a centre stage during the 42nd Ordinary Sadc Summit of Heads of State and Government in Kinshasa whereby leaders received updates on the security situation in Cabo Delgado Province, in the northern part of the Republic of Mozambique.

According to the communiqué, the summit approved the extension of the Sadc Mission in Mozambique (Samim) and its related processes.

“The summit commended Samim Personnel Contributing Countries (PCCs) for their solidarity and sacrifice in supporting the mission, and expressed condolences to the governments and families of the nine deceased Samim personnel who died in the theatre of operations,” reads the document in part.

Furthermore, the communiqué says the summit welcomed the establishment of the Sadc Regional Counter-Terrorism Centre (Sadc-RCTC) in the United Republic of Tanzania (URT), as an institution for the coordination of counter terrorism activities in the region.

The summit urged member states to strengthen cooperation and information sharing on terrorism, radicalism and violent extremism, the document said.

“The summit approved the appointment of H.E Dr Jakaya Mrisho Kikwete, former President of the United Republic of Tanzania and H.E. Paramasivum Pillay Vyapoory, former Vice President of the Republic of Mauritius as the Chairperson and Deputy Chairperson of the Panel of Elders (POE), respectively,” reads the communiqué in part.

“This is a Sadc structure with the mandate to facilitate the prevention, management and resolution of significant inter and intra-state conflicts, and is supported by the Mediation Reference Group (MRG),” adds the document.

Also, the summit endorsed a theme of the 42nd Sadc Summit of Heads of State and Government, titled: “Promoting industrialization through, agro-processing, mineral beneficiation, and regional value chains for inclusive and resilient economic growth’’.

According to him, the theme takes into account the current operating environment in the region and the urgent need to enhance the roll out of Sadc industrialization and market integration programmes as contained in the Regional Indicative Strategic Development Plan (RISDP) 2020-2030.

Furthermore, the communiqué says the summit received a progress report on the implementation of the mechanism in the honour of Sadc founders, and in recognition of their legacy and contribution to Sadc, it handed over medals to the family representatives of the nine (9) respective founders of Sadc.

“It mandated the chairperson of the organ to coordinate the process leading up to the unveiling of the Statue in memory of the late President Julius Kambarage Nyerere at the African Union (AU) headquarters,” reads the document.

Source: The Citizen
Ungetoa swahili version Mkuu, ili tukienda US wakatuuliza na sisi tupite mlemle tusitofautiane na wakuu wetu
 
wenzio wanapigania maslai nyiny akili zimekaa kimipasho , angalia wanaomuunga mkono Urusi ni wale wenye maslai binafs kwenye ukanda wao mf Brazil , SA , Iran , India , China , N.Korea nk haya mataifa wala hayajali haki na usawa wanajua anachofanya Urusi ni kosa ila wanangalia maslai yao kwanza , sisi ni host na tunajichagulia tuliwe na nan ! ( hapa ndipo nawadharau waafrika hii likuwa fursa ya kuwabana west na kusigb nao mikataba yenye maslai kwetu badala yake tunaenda kwa wenye njaa ambao watatubana kama hawa tunaowakimbia , mataifa yenye akili yana anza kufanya biashara kwa mikataba yenye utashi kwao pia maana wkt huu wazungu hawawez kuleta janja janja. Afrika bado tunahitaj miaka 100 mingine tutawaliwe tukipewa tena uhuru tutakuwa na akili kichwan

Ni kweli kabisa kwamba kipindi hiki tunaweza kuwa na upper hand when negotiating with the west. Lkn suala la kuleta sheria isiyo na maana, kwamba ukifanya ushirikiano na Urusi katika maeneo fulani, vikwazo vinakuhusu, hilo siyo la kulifumbia macho. Tunapaswa tueleze wazi kutoridhika na hilo bila kupepesa macho.
 
Acheni kuwa omba omba kwanza, huwezi kuwa unatembeza bakuli kuomba halafu unajipiga kifua kuwa wewe ni mwanaume mwenye maamuzi yako yoyote hata yasio na akili.
Marekani anajikuta nani sijui! ni muda wa kila mtu kusimama kama mwanaume na kuamua maamuzi yako na sio kuambiwa nini cha kufanya na mwanaume mwenzako.

ебать америка.
 
Viongozi wa afrika wengi demokrasia sio kipaumbele chao,wanamuunga mkono urusi kwa faida za kisiasa kuliko kiuchumi.
 
Back
Top Bottom