Sadio Kanuti, Enoc inonga na Peter Banda hawa ni wachezaji wenye vipaji

Sadio Kanuti, Enoc inonga na Peter Banda hawa ni wachezaji wenye vipaji

busha

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
1,712
Reaction score
2,577
Nimekuwa na muda wa kutosha kuwafuatilia kwa kina wachezaji waliosajiliwa na mabingwa wa nchi Simba sports club. Miongoni mwahao wachezaji ni Sadio Kanuti, Peter Banda na Enoc Inonga.

Yote tisa, kumi ni huyu Pape Ousman Sakho, huyu kakosa connection tu, kwa kiwango chake anamudu kucheza ligi kubwa ulaya na akafanya vizuri.

Sakho unaweza hisi ana software maalum ya kucheza soka hongera kwa viongozi wa Simba wanaofanya scouting nzuri ya wachezaji wenye umri mdogo, kiwango bora na nidhamu ya soka.

Kwa wachezaji hawa Simba itafika mbali zaidi kwenye michuano ya kimataifa, hata kama sio msimu huu basi misimu inayokuja tutarajie makubwa Simba kufanya vizuri kimataifa.
 
Umewafuatilia kupitia njia ipi?
Tuwekee ushahidi tujionee sisi pia

BTW usajili ni kubahatisha tu, soka letu halitabiliki unaweza mshusha hata Sadio mane Simba na akaflop,,, yote kwa yote kongole kwa mnyama usajili huu ikawe chachu ya ubingwa wa ligi kuu na CAF.
 
Binafsi namsikitikia sana Djuma Shaabani.

Amekuja kuua kiwango chake pale Yanga.

Yanga ni timu iliyojaa manung'uniko ya kila aina na kutupiana lawama.

Wachezaji hawana furaha, Kocha hana furaha na karibu anaondoka kwa shinikizo la ushindi wa lazima kwakuwa tu Simba inashinda.
Simba ingekuwa mbovu hakungekuwa na malalamiko.

Kuna kocha aliamua kuwakebehi kabisa washabiki ya Yanga alipobwaga Manyanga, simtaji anafahamika.
 
Vipi maoni yako kwa Inonga, Kanuti na Banda nao watu au?
 
Huyo kunati na duncan nyoni tumepigwa ni mizigo mizito tujiandae na maneno toka upande wa pili
 
Vipi maoni yako kwa Inonga, Kanuti na Banda nao watu au?
Sacko
kesha prove yuko vizuri.

Inonga
anahitaji mazoezi na chakula ili kuongeza kasi na nguvu.

Kanutte
bado hajaonesha cheche zake muda utaongea.

Banda pia

Nyoni
yuko vizuri, anatembea na pira biriani bila shida.

Muda utaongea.
 
Huyo kunati na duncan nyoni tumepigwa ni mizigo mizito tujiandae na maneno toka upande wa pili
Huna uhakika na unacho ongea.
Umewaona wapi wakiwa wanacheza ?
Na mara ngapi ?
 
umewaona wapi
Youtube na google kuna kilaa taatifa za hao wachezaji bora kabisa kisajiliwa na Simba.
Mechi mbili za moroco na Arusha zimenitosha kabisa mimi kuwapa sifa za kufanya vema kwenye mashindano ya ndani na nje.
 
Vipi maoni yako kwa Inonga, Kanuti na Banda nao watu au?
Ndio hao nimewafatilia sana bioghraphy zao google,lakini ukitaka kuona ni jinsi gani wanavyo perform uwanja unaweza ingia youtube.
 
Narudia tena kusema Simba ni taasisi kubwa ya soka nchini Tanzania barani Africa na duniani kwa ujumla tunaijenga future ya Simba ijayo.
Simba itakayo toa upinzani wa kimataifa na mfumo wa soka la kisasa ni kuwekeza kwenye damu changa

Simba wanatengeneza future kwa kizazi kipya
Wakati huo huo Yanga wanatengeneza kikosi kwa wachezaji reject
 
Vipi maoni yako kwa Inonga, Kanuti na Banda nao watu au?
Kwa peter Banda naomba niweke neno langu hapa. Huyu jamaa ni mchezaji sio tu mchezaji ila ni mchezaji wa mpira yani ukiwa na Banda tu mmoja inakutosha kufunga Uto pamoja na mashabiki wake.

Source: Mimi binafsi nimeona kwa macho yangu mambo yake.🦁🦁
 
Mbumbumbu mmeshaanza ugoro wenu,timu haijacheza mechi hata moja ya mashindano umeshakuja kuharisha humu
Nyie tunapojadili habari hizi mkae pembeni kabisa. Usajili pekee mliofanya ni wa Msukule wa GSM na Mama J.
FB_IMG_1631647099990.jpg
FB_IMG_1631092687627.jpg
 
Umewafuatilia kupitia njia ipi?
Tuwekee ushahidi tujionee sisi pia...
Simba wachezaji wake muhimu Chama na Merquisone walioondoka mbadala wao umeshapatikana,Banda,Kanuti na Sakho moto wao utauona mechi za mashindano zitakapoanza na hawata flop kama unavyosema.

kwanini nasema hawato flop,Simba aijavurugika kwa kiwango kikubwa,wachezaji wengi wenye chemistry bado wapo,mechi chache walizocheza hao niliowazungumzia kwenye preseason Moroco na Arusha wamesha adapt falsafa ya Simba,ukizingatia kocha ni yuleyule Gomez na hao wachezaji wapya wameshacheza mechi kadhaa za kimataifa walipotoka.
 
Back
Top Bottom