Sadio Kanuti, Enoc inonga na Peter Banda hawa ni wachezaji wenye vipaji

Sadio Kanuti, Enoc inonga na Peter Banda hawa ni wachezaji wenye vipaji

Peter Banda is overrated,He needs more time to prove.

Pepe ousmane wa kawaida Sana,hata mechi zenyewe alizocheza ni kwa ajili ya physical sio Tecnical, kuthibitisha hili tusubiri game yeyote ya kimashindano wala sio hizi friends match.
 
Binafsi namsikitikia sana Djuma Shaabani.

Amekuja kuua kiwango chake pale Yanga.

Yanga ni timu iliyojaa manung'uniko ya kila aina na kutupiana lawama.

Wachezaji hawana furaha, Kocha hana furaha na karibu anaondoka kwa shinikizo la ushindi wa lazima kwakuwa tu Simba inashinda.
Simba ingekuwa mbovu hakungekuwa na malalamiko.

Kuna kocha aliamua kuwakebehi kabisa washabiki ya Yanga alipobwaga Manyanga, simtaji anafahamika.
mimi namsikitikia sana Farid Mussa ni mchezaji mzuri sana mzawa,Fei toto kuwa Yanga sio timu sahihi kwake,avunje mkataba wake na Yanga ili acheze Simba aonekane kimataifa kwasababu timu ya Simba isha ji- brand kimataifa zaidi kuliko Yanga.
Au aende timu nyingine kubwa africa pale Yanga anapoteza muda tu.
 
Peter Banda is overrated,He needs more time to prove.

Pepe ousmane wa kawaida Sana,hata mechi zenyewe alizocheza ni kwa ajili ya physical sio Tecnical, kuthibitisha hili tusubiri game yeyote ya kimashindano wala sio hizi friends match.
Uko sahihi kabisa,lakini kwenye hizi mechi za kujipima nguvu za Simba ni mechi za kimkakati zaidi,kuna kitu flani unakiona kwa Sackho anacho,ila kama ulivyosema ngoja kiwake tutajua zaidi kama yaliyomo yamo.
 
Binafsi namsikitikia sana Djuma Shaabani.

Amekuja kuua kiwango chake pale Yanga.

Yanga ni timu iliyojaa manung'uniko ya kila aina na kutupiana lawama.

Wachezaji hawana furaha, Kocha hana furaha na karibu anaondoka kwa shinikizo la ushindi wa lazima kwakuwa tu Simba inashinda.
Simba ingekuwa mbovu hakungekuwa na malalamiko.

Kuna kocha aliamua kuwakebehi kabisa washabiki ya Yanga alipobwaga Manyanga, simtaji anafahamika.
Simba imeshinda nini wakati haijacheza mechi ya kimashindano? Coastal tu mmeambulia draw, huu msimu mna kazi kubwa ya kufanya.
 
Umewafuatilia kupitia njia ipi?
Tuwekee ushahidi tujionee sisi pia

BTW usajili ni kubahatisha tu, soka letu halitabiliki unaweza mshusha hata Sadio mane Simba na akaflop,,, yote kwa yote kongole kwa mnyama usajili huu ikawe chachu ya ubingwa wa ligi kuu na CAF.
Acha kujipa moyo uonekane na wewe ulisajili wachezaji wabovu kwasababu syytem ya usajili ni ubahatishaji

Na kama mngelijua hili msinge mpa kocha mechi mbili kwasababu kwasababu mngejua tu kua timu haifanyi vizuri kwasababu ya ubahatishaji wa usajili na sio tatizo la kocha

Lakini hata madau tu ya kununua wachezaji yanatosha kupima kiwango cha mchezaji. Mwenzako anatoa bilion moja anasajili wachezaji wawili, afu we milion 400 umesajili wachezaji 7 afu usiite usajili ubahatishaji?

Hata ukiachana na records za mchezaji kwenye timu yake aliyotokea bado kuna factor nyingi zinaangaliwa, mfano mchezaji kugombaniwa na vilabu vingi vikubwa hiyo inaonesha kua mchezaji yupo perfomance kubwa

Navyo zungumzia records namaanisha uwezo halisi na sio tambo mlizolishwa kua kipa wenu anadaka hadi risasi na mkavimba bichwa.

Sisemei kama wewe ni yanga ila imagine tu
 
Binafsi namsikitikia sana Djuma Shaabani.

Amekuja kuua kiwango chake pale Yanga.

Yanga ni timu iliyojaa manung'uniko ya kila aina na kutupiana lawama.

Wachezaji hawana furaha, Kocha hana furaha na karibu anaondoka kwa shinikizo la ushindi wa lazima kwakuwa tu Simba inashinda.
Simba ingekuwa mbovu hakungekuwa na malalamiko.

Kuna kocha aliamua kuwakebehi kabisa washabiki ya Yanga alipobwaga Manyanga, simtaji anafahamika.
Ile ya kuwaita nyani?

Kama ni hiyo hakuwa kebehi aliongea ukweli
 
Ile ya kuwaita nyani?

Kama ni hiyo hakuwa kebehi aliongea ukweli
Nao Yanga wenyewe wanachangia.
Mara waiite timu yao
Utopolo
mara
Utaputapu.
Ni kwamba hawana umilivu kabisa.
Simba ilikosa ibingwa misimu minne mfululizo na tulivumilia bila kuikebehi timu.
Washabiki wengine wanaenda mbali zaidi kwa sasa hadi wanafikia kujirekodi sinema za Mama J.
Mara baada ya kufungwa ili kujiriwadha.
 
mimi namsikitikia sana Farid Mussa ni mchezaji mzuri sana mzawa,Fei toto kuwa Yanga sio timu sahihi kwake,avunje mkataba wake na Yanga ili acheze Simba aonekane kimataifa kwasababu timu ya Simba isha ji- brand kimataifa zaidi kuliko Yanga.
Au aende timu nyingine kubwa africa pale Yanga anapoteza muda tu.
Mbona kisinda kaonekana kaenda morocco?

Vipi kuhusu dili la mukoko lililokatsliwa?
 
mimi namsikitikia sana Farid Mussa ni mchezaji mzuri sana mzawa,Fei toto kuwa Yanga sio timu sahihi kwake,avunje mkataba wake na Yanga ili acheze Simba aonekane kimataifa kwasababu timu ya Simba isha ji- brand kimataifa zaidi kuliko Yanga.
Au aende timu nyingine kubwa africa pale Yanga anapoteza muda tu.
Yanga imetoa wachezaji wengi zaidi wanaocheza kimataifa zaidi ya Simba. Simba ilikuwa na vipaji viwili navyo vimeondoka wamebakia kusema wanaandaa timu ya vijana ambayo nayo haina uwezo wa kufika popote.
 
Mbona kisinda kaonekana kaenda morocco?

Vipi kuhusu dili la mukoko lililokatsliwa?
Huyo usipoteza naye muda ni wale wajinga wa Rage. Simba imeuza wachezaji wawili, Yanga imeuza mmoja na ikakataa kumwuza mwingine, hivyo hakuna tofauti ya kubwa ya wachezaji waliouzwa.
Usajili wa Yanga kwa msimu huu ni mzuri, kocha awe na akili tu, hiki kikosi kinaweza kumfunga yoyote.
 
Binafsi namsikitikia sana Djuma Shaabani.

Amekuja kuua kiwango chake pale Yanga.

Yanga ni timu iliyojaa manung'uniko ya kila aina na kutupiana lawama.

Wachezaji hawana furaha, Kocha hana furaha na karibu anaondoka kwa shinikizo la ushindi wa lazima kwakuwa tu Simba inashinda.
Simba ingekuwa mbovu hakungekuwa na malalamiko.

Kuna kocha aliamua kuwakebehi kabisa washabiki ya Yanga alipobwaga Manyanga, simtaji anafahamika.
Juma shabani gari ya mkaa ile trip Moja shamba trip ya pili gereji,hayati hans pope alitaka kumleta simba akafuatilia ishu yake akaghairi,ana enka inamsumbua sana hata national team hachezi,yanga tumepigwa tena
 
Yanga imetoa wachezaji wengi zaidi wanaocheza kimataifa zaidi ya Simba. Simba ilikuwa na vipaji viwili navyo vimeondoka wamebakia kusema wanaandaa timu ya vijana ambayo nayo haina uwezo wa kufika popote.
Walioondoka Simba ni moto wa kifuu, waliokuja wapya ni moto wa gesi.
 
Ndio hao nimewafatilia sana bioghraphy zao google,lakini ukitaka kuona ni jinsi gani wanavyo perform uwanja unaweza ingia youtube.
youtube huwa inaonesha wachezaji wote mafundi hakuna wabovu.
 
youtube huwa inaonesha wachezaji wote mafundi hakuna wabovu.
Nimewaona pia video zao kwenye mechi nne za preseason,mdau aliyenionyesha izo video aligoma kabisa kunirushia,nilimuuliza kwanini akunipa jibu ila akanambia michuano ikianza wataziachia.ni mdau maarufu ndani ya club ya Simba.
 
Nimewaona pia video zao kwenye mechi nne za preseason,mdau aliyenionyesha izo video aligoma kabisa kunirushia,nilimuuliza kwanini akunipa jibu ila akanambia michuano ikianza wataziachia.ni mdau maarufu ndani ya club ya Simba.
So uliona wanaupiga mwingi au ndio tumepigwa
 
So uliona wanaupiga mwingi au ndio tumepigwa
maneno mengi mtu unaweza usiaminike sana na wadau,ngoja inyeshe nakuhakikishia Simba hii akuna mahala panapovuja.bati msauzi og,paa la kisasa full gepsam bord. yani Simba imeng'aa mpaka nahisi kuumwa.
 
Unaweza thibitisha hilo? Au ndo kila propaganda unaruka nayo tu.

Halafu huyo ibwenge ndo nani?
Kisinda na mukoko yanga mliazimwa tu kwa muda na ibengwe sio mali yenu
 
Back
Top Bottom