Noma haya ndo maneno sasamaneno mengi mtu unaweza usiaminike sana na wadau,ngoja inyeshe nakuhakikishia Simba hii akuna mahala panapovuja.bati msauzi og,paa la kisasa full gepsam bord. yani Simba imeng'aa mpaka nahisi kuumwa.
Unaongea as if we ni gadiola hujawahi kuona mechi za simba na hao wachezaji wapya unaanza kubwatuka tuPeter Banda is overrated,He needs more time to prove.
Pepe ousmane wa kawaida Sana,hata mechi zenyewe alizocheza ni kwa ajili ya physical sio Tecnical, kuthibitisha hili tusubiri game yeyote ya kimashindano wala sio hizi friends match.
Huyu Fei Toto akitaka ngazi ya kwenda nje aje Simba.mimi namsikitikia sana Farid Mussa ni mchezaji mzuri sana mzawa,Fei toto kuwa Yanga sio timu sahihi kwake,avunje mkataba wake na Yanga ili acheze Simba aonekane kimataifa kwasababu timu ya Simba isha ji- brand kimataifa zaidi kuliko Yanga.
Au aende timu nyingine kubwa africa pale Yanga anapoteza muda tu.
Hakika, msimu mmoja tu ananunuliwa.Huyu Fei Toto akitaka ngazi ya kwenda nje aje Simba.
Hivi kuna kipindi na wewe huwa unahoji!?[emoji3]hongera!umewaona wapi
Ha ha ha ha ha,wanawapenyezea za chini chini kwenye kile wanachokiona wakiwa nao uwanjani,na Ajib na Mkude wanayaweza sana haya maumbea umbea[emoji23][emoji23]Izi match za kirafiki wachezaji hua wanatueleza huku mtaani
Niliwahi kumuona Wilker Da Silva huko kabla hajatua msimbazi nikasema huyu mchezaji mbona hana Akili? Anaachaje kwenda EPL au La Liga akafumanie nyavu huko aje TZ?youtube huwa inaonesha wachezaji wote mafundi hakuna wabovu.