Sadio Mane ageuka bondia, Bayern yamfungia

Sadio Mane ageuka bondia, Bayern yamfungia

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
70,791
Reaction score
98,334
[emoji599] Bayern have suspended Sadio Mané after his fight with Leroy Sané after Man City game when he punched Sané in his face after having an argument during the match.

Bayern announce that Mané will not be in the squad against Hoffenheim. In addition, the Senegalese will be fined. https://t.co/3ZL3aKbWx5


Je ni bora angebaki Liverpool?
 
na vile hawajatoa sababu ya ugomvi halafu ni mtu mweusi, lazima itapokelewa negatively.
Yaani lazima atasemwa yeye tu
Aliyeanzisha ugomvi ataachwa.
Ni ubaguzi tu na kutaka kumchafua kijana wetu huyu mwenye nidhamu katika kazi na maisha yake kwa ujumla.

Kati ya waislam safi hapa duniani,na huyu jamaa yupo.
 
Ah kawaida hiyo yote mapito huwezi fanya kazi ulaya ukiwa mweusi alafu usitegemee kubaguliwa.
Dah nimeumia[emoji3064]
Jamaa ni mtu poa sana na amevumilia mengi.
Naona sasa wanataka kujaribu CV yake kwa nguvu.

Huyo Sane anataka Mane achafuke.
Wamuache kijana wa watu jamani,ana watu wengi nyuma yake wanamtegemea.
 
Back
Top Bottom