Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Anaonewa Mane wetu[emoji3064]This [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaonewa Mane wetu[emoji3064]This [emoji1787][emoji1787]
Mhm hizi sentimwnts zenu ndio zinatufanyaga kuchukulia kazi poa.Dah nimeumiq[emoji3064]
Jamaa ni mtu poa sana na amevumilia mengi.
Naona sasa wanataka kujaribu CV yake kwa nguvu.
Huyo Sane anataka Mane achafuke.
Wamuache kijana wa watu jamani,ana watu wengi nyuma yake wanamtegemea.
Sane ni mzungu?Mane ni mtu poa sana
Very humble
Hadi amefika hiyo hatua ujue alikerwa kiasi cha kushindwa kuzuia hasira yake.
Na hivi ni mwafrica basi ndio atakandiwa hadi basi.
Ila ninachojua Mane ni mtu poa sana.Mhm hizi sentimwnts zenu ndio zinatufanyaga kuchukulia kazi poa.
Mbona hao hao bayern walikuwa na kuffo na walikuwa wanamkodia hadi private jet toka ghana kwenda germany kiwahi mechi?
Hapo kinafuatwa taratibu za kazi tuu.
Una uhakika gani kwamba si yeye kaanzisha?Yaani lazima atasemwa yeye tu
Aliyeanzisha ugomvi ataachwa.
Ni ubaguzi tu na kutaka kumchafua kijana wetu huyu mwenye nidhamu katika kazi na maisha yake kwa ujumla.
Kati ya waislam safi hapa duniani,na huyu jamaa yupo.
Ndio dawa yake maana lengo la fain ni kuhakikisha kwa hicho kitu hakirudiwi tenaKhan ana faini hizo yule kipa kwa kuongea tu alipigwa faini bilioni 3.5
Kuteleza kupo yeye ni binadamu anakosea ila hili halimaanishi kuwa yeye sio mtu poa.Ila ninachojua Mane ni mtu poa sana.
Ameteleza tu.
Haya ndio manenoWaafrica mnapenda kuonewa huruma, eti kijana mpole, sijui hambo, hambo ya nyoko. Kwani mmewahi kuishi na mane nyie.
Mnapenda kubaguliwa, huyo dogo kamtwanga mwenzie makonde, lazima aadhibiwe.
Hata huyo Salah naye mbona mara kibao amemnunia Klopp kwa kumfanyia sub.Kumbuka him vs Salah kisa Pass [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hadi akatolewa.. h
Wewe una hakika gani kama kaanzisha yeye?[emoji3064]Una uhakika gani kwamba si yeye kaanzisha?
Hao watu wa mbele wanaogopa sana kesi za ubaguzi hivyo sidhani kama usemacho ninkweli
Embu wamwache Mane wako jamn, hivi hawawezi kuona ulivyoumia?Wewe una hakika gani kama kaanzisha yeye?[emoji3064]
Na wote ni wa SenegalSane ni mzungu?
No, mzee Sane ni msenegal.. ndugu moya hao🤣🤣🤣Sane ni mzungu?
Mpolee ila mkorofi wa chini chini 🤣🤣🤣🤣🤣Anaonewa Mane wetu[emoji3064]
KabisaEmbu wamwache Mane wako jamn, hivi hawawezi kuona ulivyoumia?
Hapana jamani 😂Mpolee ila mkorofi wa chini chini 🤣🤣🤣🤣🤣