Sadio Mane ageuka bondia, Bayern yamfungia

Sadio Mane ageuka bondia, Bayern yamfungia

Yaani lazima atasemwa yeye tu
Aliyeanzisha ugomvi ataachwa.
Ni ubaguzi tu na kutaka kumchafua kijana wetu huyu mwenye nidhamu katika kazi na maisha yake kwa ujumla.

Kati ya waislam safi hapa duniani,na huyu jamaa yupo.
Kwamba unamjua kiasi hicho? Mane ni black, Sane ni half-caste. Kwa wazungu hawa wawili hawana tofauti, wote ni blacks tu.
 
Yaani lazima atasemwa yeye tu
Aliyeanzisha ugomvi ataachwa.
Ni ubaguzi tu na kutaka kumchafua kijana wetu huyu mwenye nidhamu katika kazi na maisha yake kwa ujumla.

Kati ya waislam safi hapa duniani,na huyu jamaa yupo.
Amemuita black shit, ila yeye kaachwa. Yaani mtu akutukane halafu unaambiwa umuombe msamaha. Fu@&##ck Sane
 
Lazima alikorofishwa
Mane na ugomvi wapi na wapi!

Nani kamtibua huyu Ustadh jamani[emoji3064]
Hadi amereact hivyo basi amevumilia akashindwa.
Wasiharibu CV yake,ni mchezaji mwenye nidhamu na mshika dini mzuri sana.
Unaeza kuta Sanê kamuita mwenzie choko au basha au shoga kabisa ama unaeza kuta kamwambia wewe nyani tu bora mimi half cast alafu naishi Ulaya kwa uraia wa kuzaliwa,au wewe wakuja una...nywa
 
Wewe ukiitwa mjinga utakataa? Uislam na mpira unahusiana nini?

Jaribu kuwa mwanamichezo acha kutoa maoni kwa kuhemkwa

Yaani lazima atasemwa yeye tu
Aliyeanzisha ugomvi ataachwa.
Ni ubaguzi tu na kutaka kumchafua kijana wetu huyu mwenye nidhamu katika kazi na maisha yake kwa ujumla.

Kati ya waislam safi hapa duniani,na huyu jamaa yupo.
 
Kipa wa bayern munich ni muzungu na mjerumani yeye alitoa maoni wala hakupiga mtu akapigwa faini bilion kadhaa

Waafrika tatizo lenu hamjiamini na uwezo mdogo wa kufikiri ndio mnatetea hata ujinga
Yaani lazima atasemwa yeye tu
Aliyeanzisha ugomvi ataachwa.
Ni ubaguzi tu na kutaka kumchafua kijana wetu huyu mwenye nidhamu katika kazi na maisha yake kwa ujumla.

Kati ya waislam safi hapa duniani,na huyu jamaa yupo.
 
Kwamba unamjua kiasi hicho? Mane ni black, Sane ni half-caste. Kwa wazungu hawa wawili hawana tofauti, wote ni blacks tu.
Lkn kwa wazungu ni heri ya nusu shali kuliko Shari kamili, hivyo kwa sane ni nusu Shari na mane ni Shari kamili[emoji42]
 
Back
Top Bottom