Wakili wa shetani JF-Expert Member Joined Nov 22, 2022 Posts 1,726 Reaction score 3,391 Jan 7, 2024 #1
Wakili wa shetani JF-Expert Member Joined Nov 22, 2022 Posts 1,726 Reaction score 3,391 Jan 7, 2024 Thread starter #2 Hivi Yanga na Simba hawawezi kukaa pamoja na kujenga uwanja mmoja ambao watatumia wote?
Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 37,630 Reaction score 47,434 Jan 7, 2024 #3 Utafiti unasema nyasi bandia sio nzuri kiafya. Material zinazotumikia kutengeneza zinapelekea magonjwa kama kansa. Wenzetu huko ulaya wameanza kuondoa hizo nyasi na kurudi zile za asili.
Utafiti unasema nyasi bandia sio nzuri kiafya. Material zinazotumikia kutengeneza zinapelekea magonjwa kama kansa. Wenzetu huko ulaya wameanza kuondoa hizo nyasi na kurudi zile za asili.
M Masegense Senior Member Joined Feb 5, 2015 Posts 114 Reaction score 199 Jan 7, 2024 #4 Wakili wa shetani said: Hivi Yanga na Simba hawawezi kukaa pamoja na kujenga uwanja mmoja ambao watatumia wote? Click to expand... Hilo ni wazo zuri mkuu, ila kwa siasa za simba na yanga hicho kitu hakiwezekani.
Wakili wa shetani said: Hivi Yanga na Simba hawawezi kukaa pamoja na kujenga uwanja mmoja ambao watatumia wote? Click to expand... Hilo ni wazo zuri mkuu, ila kwa siasa za simba na yanga hicho kitu hakiwezekani.
Watch UR6 Senior Member Joined Oct 23, 2023 Posts 147 Reaction score 231 Jan 9, 2024 #5 Wakili wa shetani said: Hivi Yanga na Simba hawawezi kukaa pamoja na kujenga uwanja mmoja ambao watatumia wote? Click to expand... Tatizo mazindiko, kila timu ina Mtaalam wake.
Wakili wa shetani said: Hivi Yanga na Simba hawawezi kukaa pamoja na kujenga uwanja mmoja ambao watatumia wote? Click to expand... Tatizo mazindiko, kila timu ina Mtaalam wake.
Wakili wa shetani JF-Expert Member Joined Nov 22, 2022 Posts 1,726 Reaction score 3,391 Jan 9, 2024 Thread starter #6 Watch UR6 said: Tatizo mazindiko, kila timu ina Mtaalam wake. Click to expand... Point. Lakini si wafanye kama wanavyozindikaga kwa mkapa.
Watch UR6 said: Tatizo mazindiko, kila timu ina Mtaalam wake. Click to expand... Point. Lakini si wafanye kama wanavyozindikaga kwa mkapa.
fimboyaasali JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 8,617 Reaction score 8,244 Jan 15, 2024 #7 Wakili wa shetani said: Hivi Yanga na Simba hawawezi kukaa pamoja na kujenga uwanja mmoja ambao watatumia wote? Click to expand... hizi ni wazo zuri sana Sent using Jamii Forums mobile app
Wakili wa shetani said: Hivi Yanga na Simba hawawezi kukaa pamoja na kujenga uwanja mmoja ambao watatumia wote? Click to expand... hizi ni wazo zuri sana Sent using Jamii Forums mobile app
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 22,976 Reaction score 22,564 Jan 16, 2024 #8 Wakili wa shetani said: Hivi Yanga na Simba hawawezi kukaa pamoja na kujenga uwanja mmoja ambao watatumia wote? Click to expand... Wanavyopenda kulogana mbona itakuwa shughuli hapo
Wakili wa shetani said: Hivi Yanga na Simba hawawezi kukaa pamoja na kujenga uwanja mmoja ambao watatumia wote? Click to expand... Wanavyopenda kulogana mbona itakuwa shughuli hapo
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Jan 16, 2024 #9 Wakili wa shetani said: View attachment 2864453View attachment 2864454 Click to expand... Wenye matumbo mapana wamejaamo jagwani na msimbaziš¤£
Wakili wa shetani said: View attachment 2864453View attachment 2864454 Click to expand... Wenye matumbo mapana wamejaamo jagwani na msimbaziš¤£