Saed Ramovic hawezi kuleta kikombe hata kimoja Yanga

Saed Ramovic hawezi kuleta kikombe hata kimoja Yanga

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Mimi kama mwanachama wa Yanga. Siridhishwi na kiwango na mbinu za coach Saed Ramovic

Huyu alitakiwa awe coach msaidizi apate uzoefu

Sijui Eng Hersi ulimchukua Kwa wasifu gani

Mapungufu yake

1. Hana mbinu nzuri
Saed Ramovic ana mbinu butu mno,
Unaona hata timu inavocheza ni kama haina coach ila ni vipaji na uzoefu wa wachezaji tunapata ushindi

Mfumo wake hauleweki
Anatumia 4 - 4 -2
5_ 3_2
3_5_2
4-5-1

2. Hajui kuongea na media
Nimeshangaa Coach Saed Ramovic kutamka hadharani ati ligi ni dhaifu,
Hii kauli yake ni mbaya itafanya timu pinzani kuikamia Yanga ili kumthibitishia kuwa ligi sio dhaifu

Yaani ni sawa kusema hadharani kuwa mke wangu sio mzuri kama wa Fulani hadharani na huyo mke unae analeta watoto, anakupikia n. K
Hii sio hekima

3. Anashindwa ku manage timu

Kuna wachezaji anawaogopa majina,
Dube, Musonda, Mudathir wanapuyanga anashindwa kuwaweka benchi
Nilishangaa mechi ya kimaamuzi anashindwa kumtoa Musonda na Dube waliokuwa wanakimbia kama hawana vichwa

5. Anataka kuogopwa
Hajui kuishi na wachezaji kama Gamondi, Nabi au angalau kidogo muhindi Fadlu wa Simba
Nilishangaa siku amefika anasema hadharani kuwa hataki starehe Kwa wachezaji, hiyo ilikuwa sio kauli ya kusema hadharani
Angeibadilisha kambini taratibu

6. Hajiamini
Ni mwoga usoni, hajui ana falsafa Gani
Yaani mechi ya kimaamuzi unamwanzisha Musonda unamweka Pacome na Max bench

7. Saed Ramovic ana maneno kuzidi matendo
Aliona mike anabwabwaja tu bila kupima uzito wa kauli zake

Eng Hersi huu msimu nakiri wazi Kwa uweZo mdogo wa coach Saed Ramovic hatutapata ubingwa wa NBC pl
 
Mimi kama mwanachama wa Yanga. Siridhishwi na kiwango na mbinu za coach Saed Ramovic

Huyu alitakiwa awe coach msaidizi apate uzoefu

Sijui Eng Hersi ulimchukua Kwa wasifu gani

Mapungufu yake

1. Hana mbinu nzuri
Saed Ramovic ana mbinu butu mno,
Unaona hata timu inavocheza ni kama haina coach ila ni vipaji na uzoefu wa wachezaji tunapata ushindi

Mfumo wake hauleweki
Anatumia 4 - 4 -2
5_ 3_2
3_5_2
4-5-1

2. Hajui kuongea na media
Nimeshangaa Coach Saed Ramovic kutamka hadharani ati ligi ni dhaifu,
Hii kauli yake ni mbaya itafanya timu pinzani kuikamia Yanga ili kumthibitishia kuwa ligi sio dhaifu

Yaani ni sawa kusema hadharani kuwa mke wangu sio mzuri kama wa Fulani hadharani na huyo mke unae analeta watoto, anakupikia n. K
Hii sio hekima

3. Anashindwa ku manage timu

Kuna wachezaji anawaogopa majina,
Dube, Musonda, Mudathir wanapuyanga anashindwa kuwaweka benchi
Nilishangaa mechi ya kimaamuzi anashindwa kumtoa Musonda na Dube waliokuwa wanakimbia kama hawana vichwa

5. Anataka kuogopwa
Hajui kuishi na wachezaji kama Gamondi, Nabi au angalau kidogo muhindi Fadlu wa Simba
Nilishangaa siku amefika anasema hadharani kuwa hataki starehe Kwa wachezaji, hiyo ilikuwa sio kauli ya kusema hadharani
Angeibadilisha kambini taratibu

6. Hajiamini
Ni mwoga usoni, hajui ana falsafa Gani
Yaani mechi ya kimaamuzi unamwanzisha Musonda unamweka Pacome na Max bench

7. Saed Ramovic ana maneno kuzidi matendo
Aliona mike anabwabwaja tu bila kupima uzito wa kauli zake

Eng Hersi huu msimu nakiri wazi Kwa uweZo mdogo wa coach Saed Ramovic hatutapata ubingwa wa NBC pl
Ligi dhaifu kakutana na timu ngapi na jumla ziko ngapi nadhani ana tatizo gorofani
 
Sawa
 

Attachments

  • yangasc-20250121-0001.jpg
    yangasc-20250121-0001.jpg
    764.4 KB · Views: 3
Niliwaambia mumrudishe kwanza Minziro awajambishe hao kina Aziz Ki hamkunisikia mkaenda kumuokota comedian Saidi Kichwa.

Ila Said Kichwa mnambebesha tu mzigo wa lawama asiostahili. Timu imechoka nilishasema hili tena na tena. Project yenu imekufa, msipogundua mapema mtakuwa na misimu miwili ijayo ya mateso sana na zile goli 6 tulizokuwa tunawapiga zitarudi.
 
Niliwaambia mumrudishe kwanza Minziro awajambishe hao kina Aziz Ki hamkunisikia mkaenda kumuokota comedian Saidi Kichwa.

Ila Said Kichwa mnambebesha tu mzigo wa lawama asiostahili. Timu imechoka nilishasema hili tena na tena. Project yenu imekufa, msipogundua mapema mtakuwa na misimu miwili ijayo ya mateso sana na zile goli 6 tulizokuwa tunawapiga zitarudi.
Simba kuifunga Yanga hilo sahau
Project ipo ila msimamizi ambaye ni coach ndo kilaza
 
Simba kuifunga Yanga hilo sahau
Project ipo ila msimamizi ambaye ni coach ndo kilaza
Endeleeni kukaza fuvu muone kitakachowatokea.

Tatizo hamchezi kwa akili. Mnatumia nguvu kubwa kuzifunga timu za Somalia na Sudani Kusini goli 6, matokeo ambayo hata kwenye rekodi za CAF haziingii, halafu zikija mechi za maana wachezaji wanakuwa wameshachoka. Inabidi muelewe mna wachezaji wazee, hamjui umuhimu wa kutunza energy yao ili wawasaidie.

Yanga pia ina benchi bovu sana, ukiacha first 11, hakuna mchezaji wa maana benchi. Yaani lile tatizo la Simba la misimu miwili nyuma ndiyo limehamia kwenu.
 
Endeleeni kukaza fuvu muone kitakachowatokea.

Tatizo hamchezi kwa akili. Mnatumia nguvu kubwa kuzifunga timu za Somalia na Sudani Kusini goli 6, matokeo ambayo hata kwenye rekodi za CAF haziingii, halafu zikija mechi za maana wachezaji wanakuwa wameshachoka. Inabidi muelewe mna wachezaji wazee, hamjui umuhimu wa kutunza energy yao ili wawasaidie.

Yanga pia ina benchi bovu sana, ukiacha first 11, hakuna mchezaji wa maana benchi. Yaani lile tatizo la Simba la misimu miwili nyuma ndiyo limehamia kwenu.
Kapombe
Shabalala
Ngoma
Mzamiru
Mukwala
Ateba
Camara
Mutale
Kibu
Hawa unawaona under 17 🤣
Hakika Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
 
Back
Top Bottom