Saed Ramovic hawezi kuleta kikombe hata kimoja Yanga

Saed Ramovic hawezi kuleta kikombe hata kimoja Yanga

Kapombe
Shabalala
Ngoma
Mzamiru
Mukwala
Ateba
Camara
Mutale
Kibu
Hawa unawaona under 17 🤣
Hakika Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Nilidhani leo umeamua kuongea mpira kumbe yale yale tu.

Energy ya hao wote uwanjani unaweza kulinganisha na wanachokupa sasa hivi kina Aucho, Pacome, Diarra, Dube na wengine hapo utopoloni?

Pia hauoni rotation ya kina Zimbwe/Nouma, Ngoma, Mukwala/Ateba?
 
Nilidhani leo umeamua kuongea mpira kumbe yale yale tu.

Energy ya hao wote uwanjani unaweza kulinganisha na wanachokupa sasa hivi kina Aucho, Pacome, Diarra, Dube na wengine hapo utopoloni?

Pia hauoni rotation ya kina Zimbwe/Nouma, Ngoma, Mukwala/Ateba?
Ramovic anashindwa kutumia rasirimali zilizopo
Una Mkude, sure boy, Abuya, mudathir
Max, Chama, Pacome, Aziz ki,
Faridi,Nkane, Ikangalombo,
Dube, Musonda, Mzize, unamwacha Baleke unabaki na Musonda
Baca, Job, Mwamnyeto
 
Ramovic anashindwa kutumia rasirimali zilizopo
Una Mkude, sure boy, Abuya, mudathir
Max, Chama, Pacome, Aziz ki,
Faridi,Nkane, Ikangalombo,
Dube, Musonda, Mzize, unamwacha Baleke unabaki na Musonda
Baca, Job, Mwamnyeto
Hivi unajua hata kinachoendelea kwenye timu yako kweli? Saidi Kichwa kaja kakuta Baleke tayari ni kama ameshaachwa maana hata Gamondi hakuwa anamtumia. Huyo tapeli mpya wa kikongo katambulishwa juzi na mkadanganywa mtamuona Jmosi kumbe hawezi kuchezea uto CAF. Max mgonjwa. Musonda unamuweka pande mbili huku unamkandia huku unamsifia. Nadhani hauko sawa kisaikolojia.
 
Hivi unajua hata kinachoendelea kwenye timu yako kweli? Saidi Kichwa kaja kakuta Baleke tayari ni kama ameshaachwa maana hata Gamondi hakuwa anamtumia. Huyo tapeli mpya wa kikongo katambulishwa juzi na mkadanganywa mtamuona Jmosi kumbe hawezi kuchezea uto CAF. Max mgonjwa. Musonda unamuweka pande mbili huku unamkandia huku unamsifia. Nadhani hauko sawa kisaikolojia.
Mwanachama wa Rage
 
Maisha yanaenda kasi sana, leo shabiki lia lia wa uto anamlilia Chama, Baleke, Mkude na Mwenda. Kweli kila jambo lipe muda.....
Hao ni wafanyakazi sio Wanachama wa Simba kama wewe
Mchezaji anahama
Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
 
Hao ni wafanyakazi sio Wanachama wa Simba kama wewe
Mchezaji anahama
Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Aliyekwambia wanachama hawahami ni nani? Muulize GSM, Priva, Manara na wengine mlionao huko utopoloni waliokuja kuvuna kwa wajinga
 
Aliyekwambia wanachama hawahami ni nani? Muulize GSM, Priva, Manara na wengine mlionao huko utopoloni waliokuja kuvuna kwa wajinga
Hao wamehama mkabaji mambumbumbu tu huko Ukoloni
 
Back
Top Bottom