MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
TBCInaoneshwa chanel gani?
Mkuu ni kama bonanza fulani lakutangaza bia ya safariMashindano ya ndondo?
Safari lager kumbe wana timu?Inacheza ligi gani?
Sisikilizi vipindi vya michezo siku hizi naomba mwenye kujua anijibu
Hivi ukiuliza hii timu ya safari ni kutoka Ligi daraja la ngapi, utajibiwa nn?
Safari ndo kina Nani.? Lager.?
Ni timu ya wachezaji mkosanyiko kutoka mikoa kadhaa waliochujwa ktk michujo yao wakapata timu ..ni promo ya bia yao naona...timu yao ilikua na makocha kama Sekilojo Chambua na Jamhuri KiweloMashindano ya ndondo?
Safari lager kumbe wana timu?Inacheza ligi gani?
Sisikilizi vipindi vya michezo siku hizi naomba mwenye kujua anijibu
Ni timu ya wachezaji mkosanyiko kutoka mikoa kadhaa waliochujwa ktk michujo yao wakapata timu ..ni promo ya bia yao naona...timu yao ilikua na makocha kama Sekilojo Chambua na Jamhuri Kiwelo
HahahahahaAhaa, Kumbe walevi Waliochangamka kidogo Wa Safari Lager Wenye unafuu kdg Kusukuma Kabumbu...!
Umeeleweka!
Wanashutia Tecno Camon.Jamani hizi camera za televishen yetu ya taifa refa anaweza akatekwa na watekaji wasionekane khaa.
Nunueni camera nzuri jamani Kwan Kodi SI tunatoa
Bado Hawa log inModerator game ishaisha hii ondoa live