- Thread starter
- #21
Mkuu uwe unaandika baada ya kufanya research. Dola 100 iliwekwa kipindi cha MagufuliSi mlilia hizo taratibu ziwekwe. Mlipoambiwa Tanzania hamna corona matusi,kejeli kedekede
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu uwe unaandika baada ya kufanya research. Dola 100 iliwekwa kipindi cha MagufuliSi mlilia hizo taratibu ziwekwe. Mlipoambiwa Tanzania hamna corona matusi,kejeli kedekede
Mwendazake alichoka masimango yenu akawawekea hio biashara. Urithi huo nani atakubali kupunguza chanzo kikubwa cha mapato
unapanic lipa upimweMkuu uwe unaandika baada ya kufanya research. Dola 100 iliwekwa kipindi cha Magufuli
Ndio aweke dola 100. ? Serious?
Ghana dola 150 hata kama ulikotoka ulipima ukiongea airport unapima kwa dola 150Kwani nchi nyingine kupima ni bei gani?
Valid for 72 hoursNaomba kuuliza hii covid certificate inakuwa valid kwamuda gani?
Na iyo certificate serikali si inatoa kwa sh 30 elfu.
You said it allPole sana kiongozi
OP; wakati trump anabana matumizi US nilimuunga mkono, aliwithdraw pesa zake kwenye shirika la kimarekani lililokua linafadhili miradi ya contraceptives. Aisee, tangu siku iyo nilijua effect ya US kwa serikali na labda mtu mmoja mmoja kama mimi ambaye nilikua affected na panga lake ambapo pesa zilikauka kwenye NGOs zilizokua zinategemea full sponsorship
Back to a topic; kila jambo serikali inafanya inafaa izingatie multiplied effects kwenye jamii. Mfano hapo kuna utalii kuja mchini, kuna wanafunzi, wagonjwa, conference attendees nk. Wote hapo hakuna hata mmoja asiye na umuhimu na safari yake ikizingatiwa sasa kwa dunia ilipo si rahisi sana kuwa isolated
Yes.. nililipa..acha kukurupuka naongelea zama hizo hizo za mwenda zake kwani zaidi yake nani mwingine aliyesema Tanzania hamna corona?
unapanic lipa upimwe
Nilikuwa na safari moja nje ya nchi. Kabla ya kuanza safari, nilitakiwa kupima Corona hapa Tanzania ambayo ni dola 100 (231,000), nilivyofika kwenye ile nchi (West Africa). Sheria ya ile nchi ilinilazimu nifanye self isolation kwa siku 7, then nikaenda kupima ile rapid test (ilikuwa Bure),
Wakati wa kurudi Tz, sheria inasema ni lazima nikapime Corona (Certificate inatakiwa kuwa valid ndani ya masaa 72), nilivyokwenda kupima nikalipa dola 50 (~ 115,000)
Nilivyofika Dar Airport, nikatakiwa tena kupima Covid , Ni lazima hata kama una certifacate ya masaa 72, Charge ni dola 25 (57,500)
Kwa hiyo nimejikuta natumia zaidi ya laki 4 kwa return trip moja tuu
Niinaisihi serikali ifikirie kupunguza gharama za kupima Covid kwa wasafiri, Mfano ile dola 100 ni kubwa sana,
Ningewashauri waweke dola 25, (kwa wafanyabiashara na wagonjwa na wanafunzi wanaokwenda nje ya nchi kwa kipindi hiki ni Mzigo mkubwa sana
Mkuu nilipa pale Palestina Sinza
Unatakiwa kufanya booking on below
Wewe mwenyewe ndio unachagua muda na kituo cha kufanya kipimo. Normally majibu ni ndani ya 24hours.. wanakutumia kwenye email yako. Kisha una print ukienda pale airport muda wa kusafiri kuna mtu wao pale. Atakugonge mhuri. Mwanzoni wakati sehemu ya kupimia ilikuwa moja tuu .. pale National Lab. MABIBO .. Ilikuwa foleni kubwa sana..ila baada ya kuwapa hosp nyingi nyingi kupima foleni imepungua sana.. jitahidi kabla ya saa 7 uwe umepimwaThen booking inakupa appointment instantly? Majibu yanachukua muda gani?
Kuna long queue?
Msaada please bas
Je ipo kwenye bima ya afya mfano NHIF, CHIF?Mkuu nilipa pale Palestina Sinza
Unatakiwa kufanya booking on below
Sidhani kama ipo..as lazima ulipe kwa cash .Je ipo kwenye bima ya afya mfano NHIF, CHIF?
hapana ,labda lipa chukua risiti kadai bima yako ikulipeJe ipo kwenye bima ya afya mfano NHIF, CHIF?
Booking ni instantaneous ila ni booking ya siku nzima sio specific time, queue inategemea unaenda kupimia hospital gani, ukienda pale Mabibo foleni ni kubwa ila una uhakika wa kupata majibu mapema zaidi, ukienda hospital binafsi kama Aga Khah au hospital za pembeni Mwananyamala na Amana foleni si kubwa.Then booking inakupa appointment instantly? Majibu yanachukua muda gani?
Kuna long queue?
Msaada please based on your experience.